Mkuu hayo ni mawazo yako na huna haki yoyote ya kuzuia mtu mwingine kutoa mawazo yake,wewe kama unaishangilia ccm sawa na wanaoshabikia wapinzani ni haki yao.ccm wote ni majizi tu na hilo litabaki kuwa ni mtazamo wa kila mpenda haki ktk nchi hii,na hawatakiwi kupewa nafasi ya kuliongoza tena taifa letu.
Ni mwanachama wa kudumu wa maji ya ilala.
Zakumi nafurah kwamba nimekuona huku, leo.Zakumi kafanya nini tena kule? Anakuleteani shida gani kule? Haya ngoja niwaachie great thinkers yenu na mimi nirudi huku uswekeni.
Anyway, kikatiba sifa za kuwa rais anazo. Sifa zilizobakia ni za ziada tu. Rais wa Tanzania hatakiwi kuwa technician au mkuu wa kamati ya ufundi.
Akitumia ujeshi wake na kufuata script anaweza kuwa rais mwenye mafanikio mazuri tu.
Ulikuwa una hoja lakini umeshindwa kuisimami na ndio maana walio wengi wamekudis ...q. sio kuwa ndani ya CCM hakuna watu wema, wazarendo, wenye kuweza kuwatendea haki wenzao...ndio kusema yaliyokea kwa Zitto ndani ya CDM sio kusema CDM yote ina haiba ya Zitto, Samson Mwigamba na Kitla Mkumbo ..au yaliyotokea CUF sio kusema haiba ya Mzee Hamad Rashid ni sawa na Wanacuf wote.Kugeneralize mambo ni ufinyu wa kujituma kujua ukweli wa jambo..
Kuna watu makini ndani ya vyama vyetu vya siasa kuanzia CCM, CDM, CUF, navinginevyo wana uwezo thabiti wa kupambana na matatizo mazito yanayotusibu kama Rushwa, Wizi, Ufisadi, Maendeleo...lakini jinsi ya kuwaweka na kusimamia Taifa.Kwa kuwa tunao walalamika kuwa wanalitafuna Taifa wako ndani ya MFUMO [System] wa Taifa letu.Wengine ni viongozi, watendaji wakuu, watendaji wadogo na hata wananchi wa kawaida.Na popote penye ufisadi au wizi fahamu kuna mahusiano ya kimaslahi pia ...na jambo linapo husu maslahi tambua lina husu hatima ya VITA katika kutengua hatima hiyo.
Tunaposema Taifa liko kwenye Mtanziko wa UFISADI NA RUSHWA ndio kusema sio Viongozi tu hata sie wananchi wa kawaida tuna mchango wetu kwa kuwa mfumo pia uliojengwa HAKUNA RAIA wa kawaida anae weza kusimama na kusema jambo la UFISADI na RUSHWA bila kusukwa sukwa na mfumo wetu.Hivyo kuna tatizo la kitaifa la Ufisadi na Rushwa lakini si kweli kuwa kila RAIA wa Tanzania ni mla Rushwa na Fisadi kama ambavyo wewe unavyotaka kutuaminisha kuwa Wanccm wote ni tatizo.Jenga hoja kwa misingi ya kujenga FACTS.
Lowassa muongo.Hata Lowasa kwenye hotuba yake alisema alishiriki vita vya Kagera
Kule ndiko wapi? Niambieni na mimi jamani nikamfuate Zakumi kule kwani huyu ni mtani wangu wa jadi.Zakumi nafurah kwamba nimekuona huku, leo.
jaman chonde chonde usiondoke kule manake sasa ukiondoka wewe tutabak na nani tena?
BTW mpaka sasa kuna kitu ambacho hakiko sawa kwa watanzania nacho ni wengi wetu hatujui sifa za rais wa nchi hii zinatakiwa ziwe zipi. hizi za kikatiba ni zile za ujumla lkn wasifu wa ndani je tunataka mtu yupi?
hilo bado ni changamoto na sijui kama media na wanaharakati wameweza kutoa elimu ya uraia ya kutosha kwa raia kwa muda huu uliobaki.
Lowassa muongo.
Baada ya mkutano wa jana na wakazi wa Butiama hapa Mwitongo -eneo hili ni Mwitongo,lakini nyumba nilisema nimeibatiza jina " Sananda".
Baada ya ule mkutano mdogo wa jana,leo Makongoro atakutana na Jenerali Musuguri kabla na kwenda Dodoma kuchukua fomu.
Ni ajabu hawa watu wanavyopigana vijembe kabla fomu hazijachukuliwa. Jenerali Musuguri ni native wa Butiama.
Ingekuwa vizuri kama wagombea uongozi wanaofika hapa wangekuwa wanakwenda kumsalimu.
Jenerali inaelekea siku hizi anaifikiria ile vita tu;jinsi ilivyokuwa kashkash kubwa na jinsi walivyofanikiwa kushinda.
Hapa sasa urais nchi hii ni kwa watoto wa marais tu. Kwan inavyoelekea wameshajipanga. Anaingia makongoro miaka kumi. Akitoka anaingia hussein mwinyi miaka kumi akitoka anaingia ridhiwan. Miaka kumi. Wengine cjui kama kwa mpango wa urais wa kuridhiana cjui itakuwaje.
teh tehNa Karume Jr ilikuwa kama utani na pombe zake,mara huyo Ikulu
Zakumi nafurah kwamba nimekuona huku, leo.
jaman chonde chonde usiondoke kule manake sasa ukiondoka wewe tutabak na nani tena?
BTW mpaka sasa kuna kitu ambacho hakiko sawa kwa watanzania nacho ni wengi wetu hatujui sifa za rais wa nchi hii zinatakiwa ziwe zipi. hizi za kikatiba ni zile za ujumla lkn wasifu wa ndani je tunataka mtu yupi?
hilo bado ni changamoto na sijui kama media na wanaharakati wameweza kutoa elimu ya uraia ya kutosha kwa raia kwa muda huu uliobaki.
Moja ya sifa ya kuchaguliwa kushika nchi,kwa nchi nyingi duniani,ni kushiriki vita vyevyote vya nchi yako ukipambana mstari wa mbele. Ingawa hii si sifa pekee balo inalipa. USA na Israel wanajali sana hilo. Lets see!
Wenye uwezo wa kuongoza nchi kwa sasa ni slaa au makongoro
Kule ndiko wapi? Niambieni na mimi jamani nikamfuate Zakumi kule kwani huyu ni mtani wangu wa jadi.
Baro ongezea hapo :-
6. Ndiye candidate atakayerudisha Katiba ya WARIOBA
7. Ndiye candidate atakayeweza kukemea rushwa na ufisadi bila kumumunya maneno
8. Ndiye candidate atakayeleta heshima kwenye chama, mahakama, polisi, magereza, jeshi, usalama n.k kuna makanjanja wengi wameibuka kwenye hizi nyanja muhimu.
9. Anaweza kurudisha matumaini kwa wanyonge maana wamepoteza matumaini
10....
11....
Queen Esther
Mnajipea sifa tu, Makongoro ana zaidi ya miaka 60 na hajawahi ata kuwa mkuu wa wilaya alafu leo aruke urais?mnaota ndoto za mchana.
Baro ongezea hapo :-
6. Ndiye candidate atakayerudisha Katiba ya WARIOBA
7. Ndiye candidate atakayeweza kukemea rushwa na ufisadi bila kumumunya maneno
8. Ndiye candidate atakayeleta heshima kwenye chama, mahakama, polisi, magereza, jeshi, usalama n.k kuna makanjanja wengi wameibuka kwenye hizi nyanja muhimu.
9. Anaweza kurudisha matumaini kwa wanyonge maana wamepoteza matumaini
10....
11....
Queen Esther
Mnajipea sifa tu, Makongoro ana zaidi ya miaka 60 na hajawahi ata kuwa mkuu wa wilaya alafu leo aruke urais?mnaota ndoto za mchana.
Kama unatafuta wale ambao angalu waliwahi kuwa wakuu wa wilaya; basi kiingereza unatafuta kitu kinaitwa "STATUS QUO" yaani hutaki mabadiliko ya aina yoyote bali wale tu waliokulia katika utawala uliotufikisha hapa. Ningekushauri uweke nguvu yako kwa wale ambao hawajawahi kuwa na uongozi serikalini kwa ngazi yoyote- siyo waziri wala mkuu wa wilaya.