Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Wazo zuri sana haifai kuhusisha tukio la ufuska na ufisadi na tukio muhimu la kumkumbuka Hayati Rais NyerereMoja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.
Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.
Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyotz ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Angetulia tuuuu.....Mako naee....hivi RC wapi sasa??? Amshukuru sana saa 100Moja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.
Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.
Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyotz ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Kwamba asingekuwa anakula ugali?Angerudi Mwitongo akale mamung'unya kwa chengu na furu.Angetulia tuuuu.....Mako naee....hivi RC wapi sasa??? Amshukuru sana saa 100
RC RukwaAngetulia tuuuu.....Mako naee....hivi RC wapi sasa??? Amshukuru sana saa 100
Mwenge ukakae makumbushoMoja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.
Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.
Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Anamaliza uzee wake na chochote kitu.....si haba !!Kwamba asingekuwa anakula ugali?Angerudi Mwitongo akale mamung'unya kwa chengu na furu.
CorrectMoja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.
Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.
Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Huyu hata kabla hajala teuzi wakati tunakaa naye Uzunguni - Arusha tulikuwa tunapiga naye mvinyo safi kabisa,na Rose Garden hapo DSM.Anamaliza uzee wake na chochote kitu.....si haba !!
Nakuelewa sana mkuu....ana source kibao za mpunga lakini RC si haba pia....chako ni chako zaodi kupewa wife ( jaji) au cut familia au watoto.......hoja iko hapoHuyu hata kabla hajala teuzi wakati tunakaa naye Uzunguni - Arusha tulikuwa tunapiga naye mvinyo safi kabisa,na Rose Garden hapo DSM.
Hivyo usifikiri kuwa anababaika na uRC.
Naunga mkono hojaMoja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.
Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.
Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Acha woga wewe. Ninyi ndiyo mnaacha mambo yanaharibika kwasabb tu mnalinda vyeo na nafasi zenu za uongozi. Jinga kabisaAngetulia tuuuu.....Mako naee....hivi RC wapi sasa??? Amshukuru sana saa 100
Maboya tuuu....Acha woga wewe. Ninyi ndiyo mnaacha mambo yanaharibika kwasabb tu mnalinda vyeo na nafasi zenu za uongozi. Jinga kabisa