Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hata mkutira pia.Akale madegere [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mkutira pia.Akale madegere [emoji23][emoji23]
Ccm watashindwa kutawalaMwenge ukakae makumbusho
Unapoandika sio kweli, je ushawahi kuona mtu kafa na karudi kuendeleza alipoishia?
Mhubiri 9
5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.
Kuna vitu havina hata manufaa yoyote. Iwepo Nyerere day au isiwepo haisaidii kitu.Kenya tuliowaiga walifuta Kenyatta Day siku ya kukumbuka kifo cha Kenyatta wakaibadili kuwa mashujaa day na sababu walitoa ni.kuwa Kenyatta hakupigania uhuru akiwa peke yake wengi walishiriki hivyo wakaiita mashujaa day ambapo hukumbukwa wote waliopigania uhuru
Hata sisi iko haja hiyo ili iwepo ya kuwakumbuka wote wakiwemo akina Kawawa nk
Naye asione kuwa baba ake ndiyo mmiliki wa Tanzania kumbe alituachia matatizo kibaoMoja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.
Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.
Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
RukwaAngetulia tuuuu.....Mako naee....hivi RC wapi sasa??? Amshukuru sana saa 100
Huu mwenge haua faida yoyote zaidi ya hasara na laana kwa taifa kwa uchafu unaondelelea kila sehemu unakopita na kulala.Moja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.
Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.
Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Ni ushetani tupuHuu mwenge haua faida yoyote zaidi ya hasara na laana kwa taifa kwa uchafu unaondelelea kila sehemu unakopita na kulala.
RightKuna vitu havina hata manufaa yoyote. Iwepo Nyerere day au isiwepo haisaidii kitu.
Mambo mangapi ya muhimu aliacha Nyerere yamefutwa?
Sasa hivi hata Hotuba za Nyerere TV zinakwepa, suese hiyo Nyerere day
Solikuizi Kuna kunguni wa Mama piaChawa Wa Mama Hawawezi Kukubali Hili
Zamani Uzimaji Mwenge Haukuwa Na Mambo Mengi Sana
aaaaahhhhhhaaaaaaKiufupi anasema Mwenge unanajisi kumbukizi ya Baba yake.
Kinachoniudhi ni viongozi kusema tuyaishi maisha ya Mwalimu huku wakiishi maisha ya anasa kwa fedha ya serkali.Kwa mfano mishahara mikubwa magari makubwa (v8)maposho makubwa,misururu ya magari mikubwa,nk huku maisha kwa wananchi yakiendelea kuwa magumu.Mwal hakufanya anasa hizoMoja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.
Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.
Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
inafanana na Baba yetu wa Taifa kweli au tumepigwa mchana kweupe?Moja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.
Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.
Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.