Makongoro Nyerere ashauri kumbukizi ya Hayati Mwl Nyerere isichanganywe na shughuli nyingine

Makongoro Nyerere ashauri kumbukizi ya Hayati Mwl Nyerere isichanganywe na shughuli nyingine

Yesu Kristu alikufa akafufuka
Unapoandika sio kweli, je ushawahi kuona mtu kafa na karudi kuendeleza alipoishia?

Mhubiri 9
5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.
 
Kenya tuliowaiga walifuta Kenyatta Day siku ya kukumbuka kifo cha Kenyatta wakaibadili kuwa mashujaa day na sababu walitoa ni.kuwa Kenyatta hakupigania uhuru akiwa peke yake wengi walishiriki hivyo wakaiita mashujaa day ambapo hukumbukwa wote waliopigania uhuru

Hata sisi iko haja hiyo ili iwepo ya kuwakumbuka wote wakiwemo akina Kawawa nk
Kuna vitu havina hata manufaa yoyote. Iwepo Nyerere day au isiwepo haisaidii kitu.


Mambo mangapi ya muhimu aliacha Nyerere yamefutwa?

Sasa hivi hata Hotuba za Nyerere TV zinakwepa, suese hiyo Nyerere day
 
Moja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.

Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.

Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Naye asione kuwa baba ake ndiyo mmiliki wa Tanzania kumbe alituachia matatizo kibao
 
Moja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.

Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.

Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Huu mwenge haua faida yoyote zaidi ya hasara na laana kwa taifa kwa uchafu unaondelelea kila sehemu unakopita na kulala.
 
Kila mahala Panapo fanyika mkesha wa mwenge asubuhi yake kunaokotwa mamia ya condom zilizotumika kwa nini?
Au inakua ni kuazimisha ngono salama?
 
Moja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.

Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.

Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Kinachoniudhi ni viongozi kusema tuyaishi maisha ya Mwalimu huku wakiishi maisha ya anasa kwa fedha ya serkali.Kwa mfano mishahara mikubwa magari makubwa (v8)maposho makubwa,misururu ya magari mikubwa,nk huku maisha kwa wananchi yakiendelea kuwa magumu.Mwal hakufanya anasa hizo
 
Moja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.

Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.

Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
inafanana na Baba yetu wa Taifa kweli au tumepigwa mchana kweupe?

Makongoro atuambie kama inafanana na baba yake!
 

Attachments

  • nyerere.jpeg
    nyerere.jpeg
    117.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom