Makongoro Nyerere ashauri kumbukizi ya Hayati Mwl Nyerere isichanganywe na shughuli nyingine

Makongoro Nyerere ashauri kumbukizi ya Hayati Mwl Nyerere isichanganywe na shughuli nyingine

Moja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.

Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.

Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Kiufupi anasema Mwenge unanajisi kumbukizi ya Baba yake.
 
Bajeti ya kukimbiza mwenge wa Uhuru mwaka 2024 ni Tsh ngapi?

2. Kwanini serikali inaomba fedha zakukimbiza mwenge mitaani, na kwa watukishi wa Umma kama bajeti hiyo ipo?

3. Ni nani anaratibu mapato na matumizi ya mbio za mwenge wa uhuru?
 
Moja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.

Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.

Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Ajiandae kufurushwa
 
Kenya tuliowaiga walifuta Kenyatta Day siku ya kukumbuka kifo cha Kenyatta wakaibadili kuwa mashujaa day na sababu walitoa ni.kuwa Kenyatta hakupigania uhuru akiwa peke yake wengi walishiriki hivyo wakaiita mashujaa day ambapo hukumbukwa wote waliopigania uhuru

Hata sisi iko haja hiyo ili iwepo ya kuwakumbuka wote wakiwemo akina Kawawa nk
Hicho ni kilio cha Mohamed Said
 
Kenya tuliowaiga walifuta Kenyatta Day siku ya kukumbuka kifo cha Kenyatta wakaibadili kuwa mashujaa day na sababu walitoa ni.kuwa Kenyatta hakupigania uhuru akiwa peke yake wengi walishiriki hivyo wakaiita mashujaa day ambapo hukumbukwa wote waliopigania uhuru

Hata sisi iko haja hiyo ili iwepo ya kuwakumbuka wote wakiwemo akina Kawawa nk
Hivi Nyerere alipigania uhuru gani. Semeni alienda kuchukua uhuru kwa niaba ya watanzania na sio kuupigania coz uhuru wa Tanzania ulikuwa mezani. Uhuru wa nchi mbalimbali ulikuwa mezani baada ya wakoloni kujua ni muda Sasa wa kuachia makoloni na kuja kukolonize kivingine.
 
Hivi Nyerere alipigania uhuru gani. Semeni alienda kuchukua uhuru kwa niaba ya watanzania na sio kuupigania coz uhuru wa Tanzania ulikuwa mezani. Uhuru wa nchi mbalimbali ulikuwa mezani baada ya wakoloni kujua ni muda Sasa wa kuachia makoloni na kuja kukolonize kivingine.
Uhuru so chombo fulani kwamba ukipanda juu ya mti unakiona kileeee,halafu unashuka na kuanza kukipigania.Uhuru ulitafutwa/kupiganiwa kwa njia tofautitofauti.Hiyo ya kukaa na kupatana au mikutano ikiwa mojawapo ukiacha ile ya mapambano ya silaha kutegemea unatumia akili au miguvu.
 
Moja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.

Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.

Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
 
Uhuru so chombo fulani kwamba ukipanda juu ya mti unakiona kileeee,halafu unashuka na kuanza kukipigania.Uhuru ulitafutwa/kupiganiwa kwa njia tofautitofauti.Hiyo ya kukaa na kupatana au mikutano ikiwa mojawapo ukiacha ile ya mapambano ya silaha kutegemea unatumia akili au miguvu.
Wewe jiulize kwanini uhuru wa nchi nyingi za kiafrika ulianza kupatikana by 1960... Na kwanini isiwe 1930,, 1940. Wakoloni walijua ni muda wa kuachia makoloni Yao. Huwezi sema Nyerere alipigania uhuru, uhuru ulikuwa mezani ni nani ashawishi kuuchukua tu
 
Siyo kweli

Unapoandika sio kweli, je ushawahi kuona mtu kafa na karudi kuendeleza alipoishia?

Mhubiri 9
5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.
 
Wewe jiulize kwanini uhuru wa nchi nyingi za kiafrika ulianza kupatikana by 1960... Na kwanini isiwe 1930,, 1940. Wakoloni walijua ni muda wa kuachia makoloni Yao. Huwezi sema Nyerere alipigania uhuru, uhuru ulikuwa mezani ni nani ashawishi kuuchukua tu
Na hayo pia ni mawazo yako.Tunapoelekea utatueleza kwamba,kama ungezaliwa na early 1930s ingekukuta,basi ungepambania uhuru wa Tanganyika.
 
Back
Top Bottom