Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Yupo sahihi,mwenge ni laana,unauchanganyaje na Siku ya baba wa Taifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiufupi anasema Mwenge unanajisi kumbukizi ya Baba yake.Moja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.
Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.
Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Ajiandae kufurushwaMoja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.
Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.
Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Hicho ni kilio cha Mohamed SaidKenya tuliowaiga walifuta Kenyatta Day siku ya kukumbuka kifo cha Kenyatta wakaibadili kuwa mashujaa day na sababu walitoa ni.kuwa Kenyatta hakupigania uhuru akiwa peke yake wengi walishiriki hivyo wakaiita mashujaa day ambapo hukumbukwa wote waliopigania uhuru
Hata sisi iko haja hiyo ili iwepo ya kuwakumbuka wote wakiwemo akina Kawawa nk
Wazo la maanana sana. Kuchanganya ni kuua shughuli mwalimu na kuweka mkazo wa Mwenge au vijana. N i wazo la wale wanaotaka kujineemesha na kipatoNaunga mkono hoja
Ni muelekeo mbaya sana wa kikundi fulani amcho nadhani taiFA LIANGALIE KWA MAKINIAngeuliza pia kwann HOTUBA za Mwl Nyerere zimeadimika TBC?
Uzunguni haile selasie road..tunapiga mvinyo na kina Maganga..nakina Aron (R.I.P)Huyu hata kabla hajala teuzi wakati tunakaa naye Uzunguni - Arusha tulikuwa tunapiga naye mvinyo safi kabisa,na Rose Garden hapo DSM.
Hivyo usifikiri kuwa anababaika na uRC.
Babati Mdudu kwa 5G....Wazo zuri sana haifai kuhusisha tukio la ufuska na ufisadi na tukio muhimu la kumkumbuka Hayati Rais Nyerere
Sema mbegu tamu pia wanayo banaBabati Mdudu kwa 5G....
Hivi Nyerere alipigania uhuru gani. Semeni alienda kuchukua uhuru kwa niaba ya watanzania na sio kuupigania coz uhuru wa Tanzania ulikuwa mezani. Uhuru wa nchi mbalimbali ulikuwa mezani baada ya wakoloni kujua ni muda Sasa wa kuachia makoloni na kuja kukolonize kivingine.Kenya tuliowaiga walifuta Kenyatta Day siku ya kukumbuka kifo cha Kenyatta wakaibadili kuwa mashujaa day na sababu walitoa ni.kuwa Kenyatta hakupigania uhuru akiwa peke yake wengi walishiriki hivyo wakaiita mashujaa day ambapo hukumbukwa wote waliopigania uhuru
Hata sisi iko haja hiyo ili iwepo ya kuwakumbuka wote wakiwemo akina Kawawa nk
Si sawa na "sisi" kajamba-nani!Yeye kula atakula tu kwa sababu hana mauzauza tena.Anamaliza uzee wake na chochote kitu.....si haba !!
Siyo kweliMtu akifa, na habari zake huishia hapo...
Uhuru so chombo fulani kwamba ukipanda juu ya mti unakiona kileeee,halafu unashuka na kuanza kukipigania.Uhuru ulitafutwa/kupiganiwa kwa njia tofautitofauti.Hiyo ya kukaa na kupatana au mikutano ikiwa mojawapo ukiacha ile ya mapambano ya silaha kutegemea unatumia akili au miguvu.Hivi Nyerere alipigania uhuru gani. Semeni alienda kuchukua uhuru kwa niaba ya watanzania na sio kuupigania coz uhuru wa Tanzania ulikuwa mezani. Uhuru wa nchi mbalimbali ulikuwa mezani baada ya wakoloni kujua ni muda Sasa wa kuachia makoloni na kuja kukolonize kivingine.
Moja wa watoto wa Mwl Nyerere aliyepo ktk siasa na utumishi wa umma, hafurahishi siku ya kumbukizi ya kifo Cha baba yake kuchanganywa na shughuli nyingine ya serikali.
Makongoro ameyatoa ya Moyoni mbele ya Rais Samia aliyetumia siku hiyo kuuzima mwenge mjini Babati Manyara. RC Makongoro ameshauri siku ya kifo Cha baba yake ibaki kwa kumbukizi ya kifo Cha Mwl Nyerere tu na sio kuchanganywa na mambo ya serikali.
Lengo la serikali kuzima mwenge kila tarehe 14 October ni kuashiria kuzima kwa nyota ya Taifa Mwl Nyerere ambaye aliasisi mwenge huo.
Wewe jiulize kwanini uhuru wa nchi nyingi za kiafrika ulianza kupatikana by 1960... Na kwanini isiwe 1930,, 1940. Wakoloni walijua ni muda wa kuachia makoloni Yao. Huwezi sema Nyerere alipigania uhuru, uhuru ulikuwa mezani ni nani ashawishi kuuchukua tuUhuru so chombo fulani kwamba ukipanda juu ya mti unakiona kileeee,halafu unashuka na kuanza kukipigania.Uhuru ulitafutwa/kupiganiwa kwa njia tofautitofauti.Hiyo ya kukaa na kupatana au mikutano ikiwa mojawapo ukiacha ile ya mapambano ya silaha kutegemea unatumia akili au miguvu.
Siyo kweli
Akale madegere [emoji23][emoji23]Kwamba asingekuwa anakula ugali?Angerudi Mwitongo akale mamung'unya kwa chengu na furu.
Na hayo pia ni mawazo yako.Tunapoelekea utatueleza kwamba,kama ungezaliwa na early 1930s ingekukuta,basi ungepambania uhuru wa Tanganyika.Wewe jiulize kwanini uhuru wa nchi nyingi za kiafrika ulianza kupatikana by 1960... Na kwanini isiwe 1930,, 1940. Wakoloni walijua ni muda wa kuachia makoloni Yao. Huwezi sema Nyerere alipigania uhuru, uhuru ulikuwa mezani ni nani ashawishi kuuchukua tu