Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Ufanyaji kazi kwa sifa huwa una gharama zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
silolijua sawa na usiku wa giza.Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amebaini sukari zaidi ya makontena 115 iliyofichwa kwenye bandari kavu ya PMP, Mkuu wa Mkoa ametoa taarifa kuwa kuna zaidi ya Makontena 162 na sio 115 kama ilivyoripotiwa hivyo ameagiza zoezi la ukaguzi wa sukari liendelee kwenye Bandari kavu hiyo.
VItu vingine ni ujinga tu.
Eti amegundua,,,,He has discovered.. hahahahahaha
Tujadili hapo kwenye nyekundu na sio usanii wa sukariKina Makonda na Ally S Hapi msituletee usanii fanyeni kazi,msitoe statement kabla hamjajiridhisha 100%,sukari ipo kwenye kontena ICD/Bandarini mnasema imefichwa? ona Zakaria/TRA wamewaumbua kwamba kontena za bandarini zilikuwa zinasubiri taratibu za utoaji,huku napokaa sukari ni 2200-2500 na ipo bwelele sijui hiyo scarcity ni ya wapi? Tunataka tujadili LU-MI-GU na Device zake hizo 14 huku alilamba 99% ya malipo kabla hata hajafanya kazi.
Hapo sasa.....makontena 162 yamefichwa....really?? kwenye bandari kavu??
Wandishi wetu ni shida sana. Unawezaje kuficha kontena 162? In fact zoezi zima la kamata kamata tumekurupuka sana, hatukujipanga kukabili upungufu wa sukari baada ya kuzuia imports.Hapo sasa.....makontena 162 yamefichwa....really?? kwenye bandari kavu??