Makontena 115 ya sukari iliyofichwa yakamatwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar Makonda

Makontena 115 ya sukari iliyofichwa yakamatwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar Makonda

Natamani nitukane wote wanaofanya usanii katika hili,ila sizonje anapenda huu usanii na ndio mwanzilishi
 
Kama yapo ICD ina maana yamehifadhiwa hayajafichwa!! Waache siasa! Hayo mengine yanaenda nje nchi na hata Ushuru hayajalipiwa! Utasemaje yamefichwa?? Unawezaje kufich kontena kwenye Bandari kavu??
Nadhani TRA wanaweza kutoa maelezo mazuri kuhusu hili sakata.
Pia inakuwaje kila siku sukari inakamatwa na bado watu waendelee kuficha? tena maeneo wanayofichia yanajulikana.
Ni bora sasa tungesikia sukari ikiamatwa mapangoni, misituni na kwenye mashimo!
 
Zitafichuliwa tani zote za sukari na mtataja visingizio vyote...

#hapakazitu
 
Ufanyaji kazi wa serikali ya Magufuli unatia kichefuchefu....

Waache kukimbizana na sukari iliyozalishwa nchi za watu, waende kwa wakulima wa Miwa wakaulize kwa nini wameachana na Kilimo cha miwa

I salute you mkuu sio sukari tu
waende kuuliza ni kwa nini watu wameacha kulima kahawa tumbaku na mazao yote ya biashara
 
Mh Makonda, Sukari ina muda wake na ikipitiliza muda ule hakika lazima iharibiwe. Sasa kama walienda kuficha huko, waendelee. Suluhisho la kumaliza tatizo la sukari si kugundua zilizofichwa bali ni kuzalisha zaidi. Tuna ardhi nzuri, maji mengi (mito) ila zana za kuzalisha miwa hatuna. Sio kwamba hazipo duniani bali uwezo wa kuzinunua (mtu binafsi) Hatuna, Tunahitaji kuwezeshwa. Serekali iwasaidie wenye nia ya kulima miwa. Viwanda vya sukari vianzishwe kwa makusudi. Nendeni hapo chini hapo Madagaska mkajionee wenyewe kilimo cha miwa. Kwa nini tusichague kamkoa kamoja tu kakawa maarufu kwa kilimo cha miwa? Mfano Zanzibar?
Tatizo la uhaba waa sukari halikuanza mwaka huu au awamu hii ya JPM. Kama mnataka sifa za kweli, itafuteni dawa na dawa ni kuongeza uzalishaji.wa miwa na kuongeza viwanda vya sukari.
 
Mh Makonda, Sukari ina muda wake na ikipitiliza muda ule hakika lazima iharibiwe. Sasa kama walienda kuficha huko, waendelee. Suluhisho la kumaliza tatizo la sukari si kugundua zilizofichwa bali ni kuzalisha zaidi. Tuna ardhi nzuri, maji mengi (mito) ila zana za kuzalisha miwa hatuna. Sio kwamba hazipo duniani bali uwezo wa kuzinunua (mtu binafsi) Hatuna, Tunahitaji kuwezeshwa. Serekali iwasaidie wenye nia ya kulima miwa. Viwanda vya sukari vianzishwe kwa makusudi. Nendeni hapo chini hapo Madagaska mkajionee wenyewe kilimo cha miwa. Kwa nini tusichague kamkoa kamoja tu kakawa maarufu kwa kilimo cha miwa? Mfano Zanzibar?
Tatizo la uhaba waa sukari halikuanza mwaka huu au awamu hii ya JPM. Kama mnataka sifa za kweli, itafuteni dawa na dawa ni kuongeza uzalishaji.wa miwa na kuongeza viwanda vya sukari.

Mkuu itakayo expire itawekwa kwenye mifuko na itaonesha ina expire 2020
 
duhh maajabu,.bandari kavu,.yaani icd wanaficha sukari????
icd kazi yake ninini???????
tena ktk kontena,.khaaaa
hawa sasa wanaona watz wajinga,.....
mwisho wa sifa hua ni aibu
 
Mkuu itakayo expire itawekwa kwenye mifuko na itaonesha ina expire 2020

kabila01'
Mkuu, umekula vingapi? Usikumbuke shuka kumekucha. Hukumbuki yule jamaa aliyekamatwa na chupa za ku fungashia upya tomato sosi kule Iringa? Aliishia wapi ka si kurudi sokoni na gea mpya? Hukumbuki yule alikamatwa kule Moshi akipaki Konyagi mwitu kwenye chupa mpya za Konyagi? Aliishia wapi, mbona biashara inaendelea? Si juzi kati tumeona mifuko tani ngapi sijui ya kufungashia Sukari? Dawa ni kushusha bei Pwaaaaa wafe kwa BP. Serekali iondoe kodi kubwa kwenye uzalishaji wakione cha mtoto. Wataitoa wenyewe
 
Back
Top Bottom