rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
Mbona hawauzi sasa?Kama yapo ICD ina maana yamehifadhiwa hayajafichwa!! Waache siasa! Hayo mengine yanaenda nje nchi na hata Ushuru hayajalipiwa! Utasemaje yamefichwa?? Unawezaje kufich kontena kwenye Bandari kavu??