Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Km unakutana nayo mara kwa mara dizain unapewa isharaHii ni ishara mbaya sana.
siku ya tano leo nakutana na makopo ya kubebea ARV kwenye haka kamtaa ninakoishi.
Yanatupwa tu yani hadi watoto wanayachezea kabisa.
leo ndio nimejua kuna kopo za vidonge 30, 90 hadi 100
Hii nchi kwa maeneo ya mjini kuna rate kubwa ya mambukizi ya UKIMWI.
View attachment 2636390
Sioni sehemu ilipoandikwa ARVHii ni ishara mbaya sana.
siku ya tano leo nakutana na makopo ya kubebea ARV kwenye haka kamtaa ninakoishi.
Yanatupwa tu yani hadi watoto wanayachezea kabisa.
leo ndio nimejua kuna kopo za vidonge 30, 90 hadi 100
Hii nchi kwa maeneo ya mjini kuna rate kubwa ya mambukizi ya UKIMWI.
View attachment 2636390
lamivudineSioni sehemu ilipoandikwa ARV
Umejuaje kama ni makopo ya kubebea ARV?Hii ni ishara mbaya sana.
siku ya tano leo nakutana na makopo ya kubebea ARV kwenye haka kamtaa ninakoishi.
Yanatupwa tu yani hadi watoto wanayachezea kabisa.
leo ndio nimejua kuna kopo za vidonge 30, 90 hadi 100
Hii nchi kwa maeneo ya mjini kuna rate kubwa ya mambukizi ya UKIMWI.
View attachment 2636390
Duh! kumbe kweliiiNjoo usikie huku jambo National Anthem
Famchezo Nini!Duh! kumbe kweliii
😅😅 mmmh! hatari sanaFamchezo Nini!
nina akili nyingi..Umejuaje kama ni makopo ya kubebea ARV?