Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
siku hizi vidonge hivyo vinatumika sana na wafugaji wa nguruwe kuwanenepesha, kama ni eneo lenye mabanda ya nguruwe ondoa shaka ni mambo ya wafugaji tuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii kitu huwa inanikasirisha sana yani mitaa imezagaa pedi ,nafikiri makampuni yanayotengeneza haya mapedi yalazimishwe kutengeneza vimitambo vidogo vya incinerator mitaani piaPedi zilizotumika, pampasi, condom zilizotumika zimechukua nafasi ya mifuko ya plastiki.. Kila mtaa zimetapakaa
hivi kiboboru kwa kiswahili kinaitwaje.Ila ninabuni tu, sio Kagera kweli!!
Nguchiro?Sio kiboboru ni kibobori, jina la kilugha ila ni kamnyama kadogo kanakosimama kwa kutumia miguu ya nyuma. Kana tabia ya kufukua mbegu za mahindi uliyopanda ili apate chakula. Nitatafuta jina kwa kiswahili.