DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lamivudine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lamivudine
Tatizo ni kampeni za miaka ya 90 za kuzuia ukimwi zilisisitiza watu kuuogopa ugonjwa na ilitengeneza mass hysteria....Watanzania bwana,sijui mtaacha lini Stigmatization,no wonder tutaendelea kuuana kwa hayo mambo ya sirisiri....waacheni watu wajitokeze wawe huru ili tuweze kuwafahamu kwenye jamii zetu
Kabisaaa yaanWatanzania bwana,sijui mtaacha lini Stigmatization,no wonder tutaendelea kuuana kwa hayo mambo ya sirisiri....waacheni watu wajitokeze wawe huru ili tuweze kuwafahamu kwenye jamii zetu
Mweee kuongea rahisi mzabzab hapa nimejitokeza nikiwaomb mbususu mnanikwepa kama ukoma. Wacha twende kisirisiri tuendelea kuuana tuu ndio inapendezaWatanzania bwana,sijui mtaacha lini Stigmatization,no wonder tutaendelea kuuana kwa hayo mambo ya sirisiri....waacheni watu wajitokeze wawe huru ili tuweze kuwafahamu kwenye jamii zetu
Ungejitokeza?Kabisaaa yaan
NdyooooUngejitokeza?