shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,430
- 3,547
ARV ni makundi ya dawa sio jina la dawa.Sioni sehemu ilipoandikwa ARV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ARV ni makundi ya dawa sio jina la dawa.Sioni sehemu ilipoandikwa ARV
Ni kweli ukimwi kila kona lakini utashangaa kuna wanaJF members wengine wanaendekeza eti kimasihara. Na wanajisifu wameuza mechi.Hii ni ishara mbaya sana.
siku ya tano leo nakutana na makopo ya kubebea ARV kwenye haka kamtaa ninakoishi.
Yanatupwa tu yani hadi watoto wanayachezea kabisa.
leo ndio nimejua kuna kopo za vidonge 30, 90 hadi 100
Hii nchi kwa maeneo ya mjini kuna rate kubwa ya mambukizi ya UKIMWI.
View attachment 2636390
Utam utam jamani. Wee unakulaje na ndom? Sii upige nyeto tuuNi kweli ukimwi kila kona lakini utashangaa kuna wanaJF members wengine wanaendekeza eti kimasihara. Na wanajisifu wameuza mechi.
Halafu ukishawajua??Mi mwenyewe hii kitu ilinishangaza kuona makopo na yale makaratasi ya maelezo yakizagaa mitaani bila kudhibitiwa kama takataka, ilianza kunipa mtihani wa kubaini ni kina nani mtaani kwangu wanatumia hizi dawa
Dolutegravir, Lamivudine na Tenofir, huo mchanganyiko ndiyo ARV ingawa si lazima ichanganywe hata ikiwa haijachanganywa, yaani ikiwa Lamivudine au Tenofovir peke yake bado itaitwa hivyo.Sioni sehemu ilipoandikwa ARV
Siyo kuku tu, pia ng'ombe na nguruwe.Shukuru wewe unayaona unakua alerted
But mengine nasikia wanawapaga kuku wanenepe ,ondoa shaka
Swali Ka kijinga kabisaUmejuaje kama ni makopo ya kubebea ARV?
Naona ugonjwa umeshazoeleka kiasi kwamba waathirika hawajali kujulikana, wanatupa kopo tu. Mwanzoni ilikuwa siri, aibu na fedheha!Hii ni ishara mbaya sana.
siku ya tano leo nakutana na makopo ya kubebea ARV kwenye haka kamtaa ninakoishi.
Yanatupwa tu yani hadi watoto wanayachezea kabisa.
leo ndio nimejua kuna kopo za vidonge 30, 90 hadi 100
Hii nchi kwa maeneo ya mjini kuna rate kubwa ya mambukizi ya UKIMWI.
View attachment 2636390
Ni kweli ukimwi kila kona lakini utashangaa kuna wanaJF members wengine wanaendekeza eti kimasihara. Na wanajisifu wameuza mechi.
Hujatumia akili yako kujiongezaSioni sehemu ilipoandikwa ARV
Sikio la kufa halisikii dawa.Hii ni ishara mbaya sana.
siku ya tano leo nakutana na makopo ya kubebea ARV kwenye haka kamtaa ninakoishi.
Yanatupwa tu yani hadi watoto wanayachezea kabisa.
leo ndio nimejua kuna kopo za vidonge 30, 90 hadi 100
Hii nchi kwa maeneo ya mjini kuna rate kubwa ya mambukizi ya UKIMWI.
View attachment 2636390
Dawa zina majina yake, haziandikwi kama hivyo ulivyotarajiaSioni sehemu ilipoandikwa ARV
Ili muanze kuwatenga, kuna JAMII nyingine wakisikia hivyo wataanza kunyoosheana vidole. Hata ww usingependa kuanza kujulikana iwapo ungepata ugonjwa kama huoWatanzania bwana,sijui mtaacha lini Stigmatization,no wonder tutaendelea kuuana kwa hayo mambo ya sirisiri....waacheni watu wajitokeze wawe huru ili tuweze kuwafahamu kwenye jamii zetu
Ukota yote yapeleke hospitalHii ni ishara mbaya sana.
siku ya tano leo nakutana na makopo ya kubebea ARV kwenye haka kamtaa ninakoishi.
Yanatupwa tu yani hadi watoto wanayachezea kabisa.
leo ndio nimejua kuna kopo za vidonge 30, 90 hadi 100
Hii nchi kwa maeneo ya mjini kuna rate kubwa ya mambukizi ya UKIMWI.
View attachment 2636390
nikishawajua niwashauri namna ya kuteketeza hayo makopo na karatasi ili zisizagae hovyo mitaani. Makopo mengine huwa yana mabaki ya dawa watoto wanaweza kuokota na kuanza kula hizo dawa bila ushauri wa daktariHalafu ukishawajua??
🤣🤣🤣Hata nlkuwa siyajui na staki niyajue
🚮Hii ni ishara mbaya sana.
siku ya tano leo nakutana na makopo ya kubebea ARV kwenye haka kamtaa ninakoishi.
Yanatupwa tu yani hadi watoto wanayachezea kabisa.
leo ndio nimejua kuna kopo za vidonge 30, 90 hadi 100
Hii nchi kwa maeneo ya mjini kuna rate kubwa ya mambukizi ya UKIMWI.
View attachment 2636390