Makosa kadhaa katika kutoa Pepo (Exorcism). Mapepo/Majini hayaombewi yanafukuzwa

Haelewi anachoongea. Unajua hii tabia ya kuwasifia sifia waganga wa kienyeji waliomo humu jukwaani imewafanya baadhi ya watu wakawa wajinga.
 
Exactly
 
Kama upo dar njoo ujionee ninavyoyafurumusha Kwa jina la Yesu iwe pepo,mini,au mzimu yaani ni chap Kwa haraka

Usipende kujifungia kwenye kibubu tembea uone na ujifunze Mengi mkuu
 
Uto
Utoto raha sana .mawigi hata ww waweza yatengeneza ni aidha nyuzi za kijijini kwenu za miti unazitreat .au unayeyusha hii mikospoya plastic unatengeneza.vipodozi ni matunda na magamba ya miti unaya choma kitaalamu .kuzimu panahusikaje???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…