Makosa ndani ya Makala ya Mama Maria Nyerere Kutimiza Miaka 93

dingi na uwongo mligombana ,hongera sana
 
Hivi unadhani kila kitu lazima kiandikwe? Unajua Nyerere aliolea kwa nani akiwa anafundisha Tabora? Huyo Sykes wako unamtukuza hadi unaboa
Kolola,
Usikasirike na kutumia lugha zisizofaa.

Kama uko "bored," unajitoa katika huu mjadala.
"Sykes wako."

Wangu mimi au mzalendo aliyepigania uhuru wa Tanganyika na rafiki wa Nyerere?

Historia yake ipo kwenye kitabu atakae anasoma.

Nimealikwa kumzungumza University of Iowa, Northwestern University Marekani na Zentrum Moderner Orient (ZMO), Ujerumani.

Nani anaemtukuza Abdul Sykes?
Ni mimi au vyuo hivyo?

Nani anaemtukuza Abdul Sykes ni mimi au ni wasomaji wa kitabu chake kinachokwenda sasa chapa ya 5?

Nani anaemtukuza Abdul Sykes ni mimi au nyinyi mnaojadili historia hii ambayo yeye alihusika?
 
Kwa vile wewe ni mtu mzima, nadhani umenielewa kuhusu huyo Sykes wako
 
Kwa vile wewe ni mtu mzima, nadhani umenielewa kuhusu huyo Sykes wako
Kolola,
Tulia.
Ondoa hamaki huu ni mjadala tu.
Tunapambanisha hoja.

Jiepushe na hiyo lugha, "Sykes wako."

Mimi sijakuelewa.
Nifafanulie.
 
Sijui kwanini sikuzaliwa zamani hizo za uhuru inaonekana maisha yalikuwa na mvuto wake hata wakati wadogo maisha yalikuwa na mvuto wake tofauti na sasa
 
Samahani Mzee wangu kwanza Salaam.Aleykum baada ya salamu ningeomba kuuliza Hivi ile historia ya Mwl.Nyerere na Mwenge Uhuru na kina foro ganzi ni ya kweli au gossip tu
Evil...
Sijui nami naisoma mitandaoni.
 
Mzee Mohamed Said heshima sana kwako ! Unatupa madini sana !!
Kwa hiyo kipindi hicho mama maria anauza mafuta ya taa ! Umeme haukuepo kabisa ?
Chry...
Nyumba chache sana Kariakoo zilikuwa na umeme.

Mimi nimezaliwa mwaka wa 1952 kwenye nyumba ambayo haikuwa na umeme Mtaa wa Kipata nyuma ya Mtaa wa Uhuru (zamani Kitchwele).

Wala hapakuwa na maji ndani.

Maji yakitekwa kwenye bomba la mtaani kwa kutumbukiza senti moja unapata debe moja.
 
Tumetoka mbali sana ! Mungu awaweke tujifunze ya nyuma kidogo !
 
We akili huna,
 
Hiyo makala unayodai ina makosa. mwandishi aliongea na mama Maria mwenyewe na mwanaye Madaraka. Nadhani hao wanaaminika zaidi kuliko third party
 
Chry...
Hakika maisha yamebadilika sana.
Mzee...
Vijana wako wanashangaa eti kwanini nyerer hakitaja ukweli wa historia yake.

Hivi mwenye dhamira unajiuliza kwnini anadhamiri tena?

Mzee una kipaji na elimu ya kuwavumilia Waefeso hawa, ila sisi tunawaona wasumbufu kama Walawi wa Musa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…