Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Kuna fikra za baadhi ya watu wanaotamani itokee siku moja "makosa" ya kimtazamo na kiutendaji ya Hayati John Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tano wa serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania YAREKEBISHWE.

Kiuhalisia makosa hayo hayawezi kurekebishwa kwa kuwa umbali aliotufikisha Magufuli inakuwa ngumu sana kurudi kwenye njia sahihi kiurahisi. Kitu pekee kinachoweza kufanyika ni kusuluhisha mitazamo yetu na uhalisia wa mambo.

Kwa mfano; chuki kati ya wafuasi wake na wale waliokuwa wanaipinga falsafa yake ya undeshaji nchi inarekebishwaje? Jee watu waliodhurika wakati wa utawala wake wanaponaje ama wale waliopotea wanapatikanaje? Leo hii hawa kina Ben Saanane, Simon Kanguye, Azor Gwanda nani anajua walipo na inawezekana wakarudishwa kwa familia zao. Lissu na wengine waliopata ulemavu zama hizo maisha yao yanaweza kurejerezwa?

Nani mwenye akili timamu anayeweza kusimamisha ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere kwa hatua ililofikia. Au SGR inawezaje kuwachwa wakati tayari mabilioni ya shilingi yameteketea kwenye mradi huo tayari. Nani ataruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa wakati CCM amri ya marufuku hiyo haiwahusu?​
Kwa watu wenye fikra fupi kama mkia wa mbuzi mtaona yote aliyofanya Magufuli ni makosa tu. Ila kwa watu wenye upeo wa hali ya juu wanaelewa how strategic that nigga was.

Jamaa hakupenda siasa za kinafiki na uzanidiki na focus yake ilikuwa ni kuleta maendeleo ya haraka sana hakutaka mambo ya kujivuta na siasa za chokochoko ndio maana aliwafyeka mikia wajinga wajinga wote waliokatiza katika anga zake.

As opposed watanzania wengi walizoea kubembelezwa kutekeleza majukumu yao ila kipindi cha huyo mzee watu waliwajibika ipasavyo sababu walijua anytime mtaa unaweza ukakupokea kwa fedhea kubwa. Ilikuwa bahati mbaya kwa wenye vyeti feki pia sababu watu wote waliokuwa wanaishi kimagumashi walitubu 😂😂😂 na hawa ndio miongoni mwa waombolezaji wengi ambao walikuwa wanashangilia kifo cha mwamba na kuspin mabandiko ya kipuuzi kila kukicha humu.
 
umeme wa gas ni ghali ukilinganisha na huu wa maji, hii ndio sababu iliyofanya Magufuri a opt kwenye rufiji dam, lakini vilevile mikataba ya gas aliyoifanya kikwete unaijua?

kuhusu SGR, ni option nzuri sana kwasababu itaongeza idadi ya mizigo mara dufu kuliko hii inayopita kwenye MGR.
Kama umeme wa Gesi ni aghali namna hiyo kwa nini tulianzisha ujenzi wake na kisha tukautelekeza.

SGR itaongezaje wingi wa mizigo?
 
Kwa watu wenye fikra fupi kama mkia wa mbuzi mtaona yote aliyofanya Magufuli ni makosa tu. Ila kwa watu wenye upeo wa hali ya juu wanaelewa how strategic that nigga was.

Jamaa hakupenda siasa za kinafiki na uzanidiki na focus yake ilikuwa ni kuleta maendeleo ya haraka sana hakutaka mambo ya kujivuta na siasa za chokochoko ndio maana aliwafyeka mikia wajinga wajinga wote waliokatiza katika anga zake.
Tafsiri yako kuhusu Maendeleo imeenda upogo!!
 
Wewe ni zuzu!

Hao uliowataja ni kina nani mbona juzi tu hapa watu 7 wa familia moja wameuawa kwa mapanga wao siyo watu? Wameuawa kipindi cha magu?

Ulimboka nae alikuwa magu yule?
Mwangosi nae alikuwa magu?
Dr. Mvungi alikuwa magu?
Hivi umejaza mavi huko kichwani kiasi kwamba hukumbuki kama enzi za jk kuna bomu lilirushwa kwenye mkutano wa chadema pale soweto arusha likaua watu 5? Alikuwa magu yule?

Na hawa nao vipi umeshaambiwa wako wapi mpaka muda huu? [emoji116]View attachment 2305615
Chacha Wangwe je?
 
Wewe ni zuzu!

Hao uliowataja ni kina nani mbona juzi tu hapa watu 7 wa familia moja wameuawa kwa mapanga wao siyo watu? Wameuawa kipindi cha magu?

Ulimboka nae alikuwa magu yule?
Mwangosi nae alikuwa magu?
Dr. Mvungi alikuwa magu?
Hivi umejaza mavi huko kichwani kiasi kwamba hukumbuki kama enzi za jk kuna bomu lilirushwa kwenye mkutano wa chadema pale soweto arusha likaua watu 5? Alikuwa magu yule?

Na hawa nao vipi umeshaambiwa wako wapi mpaka muda huu? [emoji116]View attachment 2305615
Mkuu usitumie Ak 47 kuua nzi...hawa jamaa ni wale wa vyeti feki ambao hata uwezo wao wa kuangalia mambo kwa picha kubwa ni mdogo sana.
 
Kabisa. kwa mfano wa umeme wa maji kule rufiji. Jee tulishamaliza kufanya uwekezaji kwenye mradi wa Gesi ili izalishe umeme?

SGR ipo kwa kuwa iliyopo ilielemewa ama ni kwa kuwa kuna watu wanaona "usasa" na fahari kuwa na SGR?
Swali dogo tu nikuulize mfano wewe umenunua gari aina ya Corrolla ya mwaka 2010 unatembelea ni kwamba ukinunua ile ya mwaka 1994 haifanyi kazi ama? Why do you have to buy a recent make of a car?
 
Swali dogo tu nikuulize mfano wewe umenunua gari aina ya Corrolla ya mwaka 2010 unatembelea ni kwamba ukinunua ile ya mwaka 1994 haifanyi kazi ama? Why do you have to buy a recent make of a car?
Hicho kiingilishi umenichanganya. Hivi mfano huo unasadifu tunachojadili. mfano wako unaonesha kubadili wakati sisi tunajadili kuongeza!!
 
Kwa ivo unataka kusema kwamba kwa Tanzania watu kupotea ni kitu halali na cha kawaida??
Kwani watu kupotezwa walianza kwa JPM? Daudi Mwangosi alieng'olewa meno na kucha bila ganzi awamu ya 4 hakuwa mtu yule? Wangapi walipotezwa awamu ya 4 au kwa sababu kila mtu alikuwa anainjoy nchi ilivyokuwa in "Narco State Mode" hela chafu ilipozagaa mtaani hakukuwa na time ya kufuatilia haya matukio.
 
Kuna fikra za baadhi ya watu wanaotamani itokee siku moja "makosa" ya kimtazamo na kiutendaji ya Hayati John Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tano wa serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania YAREKEBISHWE.

Kiuhalisia makosa hayo hayawezi kurekebishwa kwa kuwa umbali aliotufikisha Magufuli inakuwa ngumu sana kurudi kwenye njia sahihi kiurahisi. Kitu pekee kinachoweza kufanyika ni kusuluhisha mitazamo yetu na uhalisia wa mambo.

Kwa mfano; chuki kati ya wafuasi wake na wale waliokuwa wanaipinga falsafa yake ya undeshaji nchi inarekebishwaje? Jee watu waliodhurika wakati wa utawala wake wanaponaje ama wale waliopotea wanapatikanaje? Leo hii hawa kina Ben Saanane, Simon Kanguye, Azor Gwanda nani anajua walipo na inawezekana wakarudishwa kwa familia zao. Lissu na wengine waliopata ulemavu zama hizo maisha yao yanaweza kurejerezwa?

Nani mwenye akili timamu anayeweza kusimamisha ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere kwa hatua ililofikia. Au SGR inawezaje kuwachwa wakati tayari mabilioni ya shilingi yameteketea kwenye mradi huo tayari. Nani ataruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa wakati CCM amri ya marufuku hiyo haiwahusu?​
Una uhakika kwamba Ben Sanane alipotezwa na Magufuli? Wapo watu wanajua Ben Sanane alipoteaje hata ndani ya Chadema.
 
Back
Top Bottom