Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #21
Hao nyumbu wapo Ngorongoro ama washahamishiwa Handeni!!Ameshindwa kuhamasisha nyumbu wake wachangie ujenzi wa chama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao nyumbu wapo Ngorongoro ama washahamishiwa Handeni!!Ameshindwa kuhamasisha nyumbu wake wachangie ujenzi wa chama?
Kwa watu wenye fikra fupi kama mkia wa mbuzi mtaona yote aliyofanya Magufuli ni makosa tu. Ila kwa watu wenye upeo wa hali ya juu wanaelewa how strategic that nigga was.Kuna fikra za baadhi ya watu wanaotamani itokee siku moja "makosa" ya kimtazamo na kiutendaji ya Hayati John Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tano wa serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania YAREKEBISHWE.
Kiuhalisia makosa hayo hayawezi kurekebishwa kwa kuwa umbali aliotufikisha Magufuli inakuwa ngumu sana kurudi kwenye njia sahihi kiurahisi. Kitu pekee kinachoweza kufanyika ni kusuluhisha mitazamo yetu na uhalisia wa mambo.
Kwa mfano; chuki kati ya wafuasi wake na wale waliokuwa wanaipinga falsafa yake ya undeshaji nchi inarekebishwaje? Jee watu waliodhurika wakati wa utawala wake wanaponaje ama wale waliopotea wanapatikanaje? Leo hii hawa kina Ben Saanane, Simon Kanguye, Azor Gwanda nani anajua walipo na inawezekana wakarudishwa kwa familia zao. Lissu na wengine waliopata ulemavu zama hizo maisha yao yanaweza kurejerezwa?
Nani mwenye akili timamu anayeweza kusimamisha ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere kwa hatua ililofikia. Au SGR inawezaje kuwachwa wakati tayari mabilioni ya shilingi yameteketea kwenye mradi huo tayari. Nani ataruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa wakati CCM amri ya marufuku hiyo haiwahusu?
Misukule ya Magufuli mi majinga sana, yanadhani wengine hatuishi huku mitaani.Kwani yeye hakai mtaani??
Kama umeme wa Gesi ni aghali namna hiyo kwa nini tulianzisha ujenzi wake na kisha tukautelekeza.umeme wa gas ni ghali ukilinganisha na huu wa maji, hii ndio sababu iliyofanya Magufuri a opt kwenye rufiji dam, lakini vilevile mikataba ya gas aliyoifanya kikwete unaijua?
kuhusu SGR, ni option nzuri sana kwasababu itaongeza idadi ya mizigo mara dufu kuliko hii inayopita kwenye MGR.
Rukwa? kwa nini mliwapeleka huko??Wapo ufipa
Tafsiri yako kuhusu Maendeleo imeenda upogo!!Kwa watu wenye fikra fupi kama mkia wa mbuzi mtaona yote aliyofanya Magufuli ni makosa tu. Ila kwa watu wenye upeo wa hali ya juu wanaelewa how strategic that nigga was.
Jamaa hakupenda siasa za kinafiki na uzanidiki na focus yake ilikuwa ni kuleta maendeleo ya haraka sana hakutaka mambo ya kujivuta na siasa za chokochoko ndio maana aliwafyeka mikia wajinga wajinga wote waliokatiza katika anga zake.
Chacha Wangwe je?Wewe ni zuzu!
Hao uliowataja ni kina nani mbona juzi tu hapa watu 7 wa familia moja wameuawa kwa mapanga wao siyo watu? Wameuawa kipindi cha magu?
Ulimboka nae alikuwa magu yule?
Mwangosi nae alikuwa magu?
Dr. Mvungi alikuwa magu?
Hivi umejaza mavi huko kichwani kiasi kwamba hukumbuki kama enzi za jk kuna bomu lilirushwa kwenye mkutano wa chadema pale soweto arusha likaua watu 5? Alikuwa magu yule?
Na hawa nao vipi umeshaambiwa wako wapi mpaka muda huu? [emoji116]View attachment 2305615
hatumjadili Mwendazake, tunayajadili matendo yake!!Mzimu wa marehemu unawatesa sana!
Mkuu usitumie Ak 47 kuua nzi...hawa jamaa ni wale wa vyeti feki ambao hata uwezo wao wa kuangalia mambo kwa picha kubwa ni mdogo sana.Wewe ni zuzu!
Hao uliowataja ni kina nani mbona juzi tu hapa watu 7 wa familia moja wameuawa kwa mapanga wao siyo watu? Wameuawa kipindi cha magu?
Ulimboka nae alikuwa magu yule?
Mwangosi nae alikuwa magu?
Dr. Mvungi alikuwa magu?
Hivi umejaza mavi huko kichwani kiasi kwamba hukumbuki kama enzi za jk kuna bomu lilirushwa kwenye mkutano wa chadema pale soweto arusha likaua watu 5? Alikuwa magu yule?
Na hawa nao vipi umeshaambiwa wako wapi mpaka muda huu? [emoji116]View attachment 2305615
Kwa ivo unataka kusema kwamba kwa Tanzania watu kupotea ni kitu halali na cha kawaida??Mkuu usitumie Ak 47 kuua nzi...hawa jamaa ni wale wa vyeti feki ambao hata uwezo wao wa kuangalia mambo kwa picha kubwa ni mdogo sana.
Upumbavu wangu ni nini mwerevu wa dunia!!??Nchi hii ina watu WAPUMBAVU sana. Mleta mada ni mfano
Swali dogo tu nikuulize mfano wewe umenunua gari aina ya Corrolla ya mwaka 2010 unatembelea ni kwamba ukinunua ile ya mwaka 1994 haifanyi kazi ama? Why do you have to buy a recent make of a car?Kabisa. kwa mfano wa umeme wa maji kule rufiji. Jee tulishamaliza kufanya uwekezaji kwenye mradi wa Gesi ili izalishe umeme?
SGR ipo kwa kuwa iliyopo ilielemewa ama ni kwa kuwa kuna watu wanaona "usasa" na fahari kuwa na SGR?
Hicho kiingilishi umenichanganya. Hivi mfano huo unasadifu tunachojadili. mfano wako unaonesha kubadili wakati sisi tunajadili kuongeza!!Swali dogo tu nikuulize mfano wewe umenunua gari aina ya Corrolla ya mwaka 2010 unatembelea ni kwamba ukinunua ile ya mwaka 1994 haifanyi kazi ama? Why do you have to buy a recent make of a car?
Hili la kwanini tulianzisha umeme wa gas nafikili halimhusu Magufuri, hivyo sitalijibia.Kama umeme wa Gesi ni aghali namna hiyo kwa nini tulianzisha ujenzi wake na kisha tukautelekeza.
SGR itaongezaje wingi wa mizigo?
Kumbe mambo ya serikali yetu ya Tanzania hayana mwendelezo??Hili la kwanini tulianzisha umeme wa gas nafikili halimhusu Magufuri, hivyo sitalijibia.
Kwani watu kupotezwa walianza kwa JPM? Daudi Mwangosi alieng'olewa meno na kucha bila ganzi awamu ya 4 hakuwa mtu yule? Wangapi walipotezwa awamu ya 4 au kwa sababu kila mtu alikuwa anainjoy nchi ilivyokuwa in "Narco State Mode" hela chafu ilipozagaa mtaani hakukuwa na time ya kufuatilia haya matukio.Kwa ivo unataka kusema kwamba kwa Tanzania watu kupotea ni kitu halali na cha kawaida??
Una uhakika kwamba Ben Sanane alipotezwa na Magufuli? Wapo watu wanajua Ben Sanane alipoteaje hata ndani ya Chadema.Kuna fikra za baadhi ya watu wanaotamani itokee siku moja "makosa" ya kimtazamo na kiutendaji ya Hayati John Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tano wa serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania YAREKEBISHWE.
Kiuhalisia makosa hayo hayawezi kurekebishwa kwa kuwa umbali aliotufikisha Magufuli inakuwa ngumu sana kurudi kwenye njia sahihi kiurahisi. Kitu pekee kinachoweza kufanyika ni kusuluhisha mitazamo yetu na uhalisia wa mambo.
Kwa mfano; chuki kati ya wafuasi wake na wale waliokuwa wanaipinga falsafa yake ya undeshaji nchi inarekebishwaje? Jee watu waliodhurika wakati wa utawala wake wanaponaje ama wale waliopotea wanapatikanaje? Leo hii hawa kina Ben Saanane, Simon Kanguye, Azor Gwanda nani anajua walipo na inawezekana wakarudishwa kwa familia zao. Lissu na wengine waliopata ulemavu zama hizo maisha yao yanaweza kurejerezwa?
Nani mwenye akili timamu anayeweza kusimamisha ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere kwa hatua ililofikia. Au SGR inawezaje kuwachwa wakati tayari mabilioni ya shilingi yameteketea kwenye mradi huo tayari. Nani ataruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa wakati CCM amri ya marufuku hiyo haiwahusu?
Sasa kama unakaa getoni kwa mbowe kila siku utaonaje yanayoendelea mtaani?Misukule ya Magufuli mi majinga sana, yanadhani wengine hatuishi huku mitaani.