Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Kwani watu kupotezwa walianza kwa JPM? Daudi Mwangosi alieng'olewa meno na kucha bila ganzi awamu ya 4 hakuwa mtu yule? Wangapi walipotezwa awamu ya 4 au kwa sababu kila mtu alikuwa anainjoy nchi ilivyokuwa in "Narco State Mode" hela chafu ilipozagaa mtaani hakukuwa na time ya kufuatilia haya matukio.
unataka kusema kupotea kwa Ben Saanane kunafanana na kuuawa kwa Daudi Mwangosi?
 
Kwa ivo unataka kusema kwamba kwa Tanzania watu kupotea ni kitu halali na cha kawaida??
Sasa ungeanzia enzi za nyuma siyo unabagua watu wa kuwalaumu!

Tumekupa mfano kwamba wakati wa jk alikuwa anatumia hadi mabomu ya kivita kwenye mikutano ya machadema ila wewe umeanza kumlaumu Magu!

Au tuseme wewe ni mtoto wa juzi juzi hata historia hujui?
Au wewe ulikuwa mke wake mdogo ambae hakukujumlisha kwenye urithi ndio maana una hasira nae?
 
Umeliwa za uso, nakupa pole na hapo sisi genius hatujaingia bado kukupopoa kwa hoja kali na nzito.
Ila ngoja nikutukane kwanza, ma..........yako
 
Nguvu kubwa sasa hivi inatumika kutumianisha Magufuli hakuwa Rais bora wakati hali ya maisha ya sasa na hali ya maisha katika utawala vinatuambia ni yupi alikuwa Rais mzuri.
Namna pekee ya kudhihirisha kwamba JPM hakuwa Rais mzuri ni kufanya mambo yanayowapa unafuu watu.
Hata Libya na Iraq waliaminishwa kuwa marais wao ni bure lakini yanayoendelea baada ya marais wao kuondoleawa wanajuta.
 
Hicho kiingilishi umenichanganya. Hivi mfano huo unasadifu tunachojadili. mfano wako unaonesha kubadili wakati sisi tunajadili kuongeza!!
Jibu: Treni na reli ya SGR inaongeza ufanisi wa usafirishaji, teknolojia yake ni zaidi ya teknolojia ya gogo la reli ya kati ama ya Tazara.

Kivipi: Matumizi ya umeme ni nafuu kuliko mafuta, bei sote tunaziona zilivyo kali kwa sasa. Speed ya treni inapelekea uharaka wa usafirishaji, at 160km/h electric sgr train is faster 4 times than old diesel locomotives zenye top speed ya 40km/h. Hii ina maana kwamba tunaweza save time zaidi kwa kusafiri na treni kwa mikoa jirani kama Dar-Moro treni ya SGR italeta tija kubwa sana.
 
Hapana kila mtu ana makosa yake aliyofanya/atakayofanya akiwa Rais. Kwa mfano utamlaumu Mzee Mwinyi kwa hasara itakayotokana na Ujenzi wa SGR?
Kwa kulitambua hilo ndio maana nimekwambia siwezi kujibu mada ya gas maana haimuhusu magufuri uliyemwanzishia mada.
 
Jibu: Treni na reli ya SGR inaongeza ufanisi wa usafirishaji, teknolojia yake ni zaidi ya teknolojia ya gogo la reli ya kati ama ya Tazara.

Kivipi: Matumizi ya umeme ni nafuu kuliko mafuta, bei sote tunaziona zilivyo kali kwa sasa. Speed ya treni inapelekea uharaka wa usafirishaji, at 160km/h electric sgr train is faster 4 times than old diesel locomotives zenye top speed ya 40km/h. Hii ina maana kwamba tunaweza save time zaidi kwa kusafiri na treni kwa mikoa jirani kama Dar-Moro treni ya SGR italeta tija kubwa sana.
SGR kwanza siyo teknolojia bali ni upana wa Reli. Treni za umeme zilikuwapo hata kabla ya kuja kwa reli za SGR. Na hoja ya kuongezeka kwa ufanisi kwa kuwa reli imekuwa ni SGR siyo kweli. Ufanisi hauletwi kwa kuwa na reli pana bali ubora wa menejimenti.

Haya ya bei ya umeme kuwa rahisi kwa kuwa unazalishwa kwa maji (Hydroelectricity) ni ya uongo. Gharama za umeme zinakokotolewa kutokana na mambo mengi sana.
 
Back
Top Bottom