Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Hicho kiingilishi umenichanganya. Hivi mfano huo unasadifu tunachojadili. mfano wako unaonesha kubadili wakati sisi tunajadili kuongeza!!
Kuja kwenye mfano wa gari:

Huwezi kununua gari ya kizamani 1994 ikutese sababu haina ufanisi. Inachoma litre moja kwa kilometa 5 na speed na usalama ni mdogo. Haina airbags wala balance na mwendo ni 120kph.

Gari ya kisasa 2010 inaweza operate kwa ufanisi zaidi ikiwa na hybrid functionality yani mafuta kidogo na umeme. Inaweza kupa 20km kwa litre moja. Ina airbags na driver assistance features lukuki. Ina speed balance na mwendo wa 240km/h

Hio ni sawa kabisa na ku ditch locomotive na kuhamia kwenye sgr trains.
 
Naamini hata vyombo vya ulinzi na usalama vya taifa letu vinajilaumu kumpa vettings yule chizi na naamini wameapa kosa hilo hawatalirudia tena.
 
SGR kwanza siyo teknolojia bali ni upana wa Reli. Treni za umeme zilikuwapo hata kabla ya kuja kwa reli za SGR. Na hoja ya kuongezeka kwa ufanisi kwa kuwa reli imekuwa ni SGR siyo kweli. Ufanisi hauletwi kwa kuwa na reli pana bali ubora wa menejimenti.

Haya ya bei ya umeme kuwa rahisi kwa kuwa unazalishwa kwa maji (Hydroelectricity) ni ya uongo. Gharama za umeme zinakokotolewa kutokana na mambo mengi sana.
Sasa kama upana wa reli unajua utaendeshea matreni ya kizamani kwenye upana huo!? Au umeamua kutafta njaa ya kulia mihogo mchana😂😂😂

Kama ufanisi wa treni unachangiwa na menejimenti hio menejimenti ambayo ilikuwapo toka awamu ya 4 mbona ilishindwa kununua treni za kisasa na kujenga hio reli.?
 
Kosa kubwa kufanywa magufuli ni kutaka kuua upinzani alisahau kua upinzani ni wanainchi na ukigombana na wanainchi hapo unaingia kwenye ugomvi WA moja kwa moja Na MUNGU

Wewe kwa utambuzi wako, unaona Tanzania kuna upinzani kweli au vicoba!!? Vyama serious vina mipango mahususi ya mambo mengi, kutia ndani na kubadirishana madaraka kwa utaratibu uliowekwa. Angalia vyama vyote mbadala (napenda kuviita hivyo badala ya jina vyama "vya upinzani") vinatambulika kwa majina ya watu badala ya majina ya vyama. Hayatofautiani na makanisa ya kiroho ambayo aghalabu yamekuwa yakifahamika kwa jina la kiongozi wao. Ukiona vyama vipo hivyo, ujue vina vina watu wenye nguvu na imara, lkn havina mifumo yenye nguvu na imara. Kuwa na watu wenye nguvu na imara kwenye chama siyo jambo baya. Changamoto inakuja pale ambapo mtu huyo hayupo au nguvu zake zimefika kikomo, jambo ambalo ni la kawaida kwa binadamu. Ikiwa hivyo, mara nyingi vyama vinakuwa kama watoto yatima. Vinakosa muelekeo. Vingine vinakufa kifo cha kawaida, vikimfuata mtu mwenye nguvu kaburini.
Sasa kwa muktadha huo, unaweza kusema vyama mbadala havipo Tanzania.
 
👇🤡🤡🤡
16409521842520.jpg
 
Wewe ni zuzu!

Hao uliowataja ni kina nani mbona juzi tu hapa watu 7 wa familia moja wameuawa kwa mapanga wao siyo watu? Wameuawa kipindi cha magu?

Ulimboka nae alikuwa magu yule?
Mwangosi nae alikuwa magu?
Dr. Mvungi alikuwa magu?
Hivi umejaza mavi huko kichwani kiasi kwamba hukumbuki kama enzi za jk kuna bomu lilirushwa kwenye mkutano wa chadema pale soweto arusha likaua watu 5? Alikuwa magu yule?

Na hawa nao vipi umeshaambiwa wako wapi mpaka muda huu? [emoji116]View attachment 2305615
Najazia hapo Kubenea na GSM walimwambiwa tindikali kipindi cha Jk.

Profesa Jwani mwaikusa alikuwa mshauri(wazee wa baraza) wa mahakama.
 
Wewe ni zuzu!

Hao uliowataja ni kina nani mbona juzi tu hapa watu 7 wa familia moja wameuawa kwa mapanga wao siyo watu? Wameuawa kipindi cha magu?

Ulimboka nae alikuwa magu yule?
Mwangosi nae alikuwa magu?
Dr. Mvungi alikuwa magu?
Hivi umejaza mavi huko kichwani kiasi kwamba hukumbuki kama enzi za jk kuna bomu lilirushwa kwenye mkutano wa chadema pale soweto arusha likaua watu 5? Alikuwa magu yule?

Na hawa nao vipi umeshaambiwa wako wapi mpaka muda huu? [emoji116]View attachment 2305615
Achana na hao mashoga mkuu.

Mtu pekee aliewahi kufa nchi hii ni ben saanane na azory gwanda wengine hawafi.
 
Wewe kwa utambuzi wako, unaona Tanzania kuna upinzani kweli au vicoba!!? Vyama serious vina mipango mahususi ya mambo mengi, kutia ndani na kubadirishana madaraka kwa utaratibu uliowekwa. Angalia vyama vyote mbadala (napenda kuviita hivyo badala ya jina vyama "vya upinzani") vinatambulika kwa majina ya watu badala ya majina ya vyama. Hayatofautiani na makanisa ya kiroho ambayo aghalabu yamekuwa yakifahamika kwa jina la kiongozi wao. Ukiona vyama vipo hivyo, ujue vina vina watu wenye nguvu na imara, lkn havina mifumo yenye nguvu na imara. Kuwa na watu wenye nguvu na imara kwenye chama siyo jambo baya. Changamoto inakuja pale ambapo mtu huyo hayupo au nguvu zake zimefika kikomo, jambo ambalo ni la kawaida kwa binadamu. Ikiwa hivyo, mara nyingi vyama vinakuwa kama watoto yatima. Vinakosa muelekeo. Vingine vinakufa kifo cha kawaida, vikimfuata mtu mwenye nguvu kaburini.
Sasa kwa muktadha huo, unaweza kusema vyama mbadala havipo Tanzania.
Nyerere alikuwa mwenyekiti kwa miaka mingapi TANU/CCM?
 
Wastani wa Bei mafuta ya Tz kwa bei ya mafuta duniani wakati wa Magufuli itatoa picha ya kujua kama kuna haja ya kulaumu upandaji wa Bei wa sasa.

Mf wakati wa Corona 2020/2021 mafuta Tz yalifika sh 1600 hadi 1500. Sasa huwezi sema viongozi kwenye nchi zao wajisifu kwa kuyashusha bei.
 
Back
Top Bottom