Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Haki yake ni jahannam
Yule alipo anatakiwa afe tena mara 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule alipo anatakiwa afe tena mara 2
Inatakiwa kupiga mawe kaburi lakeHaki yake ni jahannam
Naamini hata vyombo vya ulinzi na usalama vya taifa letu vinajilaumu kumpa vettings yule chizi na naamini wameapa kosa hilo hawatalirudia tena.
HayupooHivi kuna upinzani Tanzania?
[emoji1782][emoji1782][emoji1782]View attachment 2305646
Unatamani iwe hivyo lakini haiko hivyo...Bawacha ni tawi la UWT
Pale Chadema kabakia Heche peke yakeUnatamani iwe hivyo lakini haiko hivyo...
Mjinga ni wewe unaetumiwa na wanasiasa kama taahiraKama mliweza kumshtaki mbowe kwa kesi za kimchongo mngeshindwa kumshtaki kwa kifo cha chacha wangwe? Tutoleeni ujinger wenu hapa.
Ulikuwa unakula biriani kama nilivyosema? Nyie ndiyo mnaokula mema ya nchi bwana.Pale Chadema kabakia Heche peke yake
Wengine wote kundi moja na Covid 19 ni asali kwa kwenda mbele
Kwenu ulifunzwa kwamba kutukana ni jambo la heshima sana!!??Mjinga ni wewe unaetumiwa na wanasiasa kama taahira
Itaachaje kutawala ilihali imeshatengeneza wapinzani wa kudumu ambao kiongozi wao hana madhara sababu hayupo hai? Wafuasi wanapigania legacy wanasahau kwamba TZ ni ya walio hai. Kuna Vijana badala ya kutafuta upinzani imara wa kubadili mfumo wapo wanatengeneza upinzani wa kupigania legacy.Aisee!!
Kweli CCM itaendelea kutawala...
Ha! Ha! Ha! Ha!
Siyo kweli. Umeandika kwa kudurufu ulichokaririshwa na CCM.Itaachaje kutawala ilihali imeshatengeneza wapinzani wa kudumu ambao kiongozi wao hana madhara sababu hayupo hai? Wafuasi wanapigania na legacy wanasahau kwamba TZ ni ya walio hai.
Kwani nje ya wapinzani wa legacy kuna upinzani mwingine TZ ambao unaona upo active 2022? Ushaona hata vijana wakishinikiza jambo la kiupinzani humu JF kama vijana wa legacy?Siyo kweli. Umeandika kwa kudurufu ulichokaririshwa na CCM.
Siasa ni zaidi ya JF na mashinikizo. Upinzani siyo chama ni fikra zinazokinzana na hizo zipo tu. Yahya Jameh naye alidhani upinzani ni vyama, akafuta vile alivyovihofia lakini na bado akashindwa uchaguzi.Kwani nje ya wapinzani wa legacy kuna upinzani mwingine TZ ambao unaona upo active 2022? Ushaona hata vijana wakishinikiza jambo humu JF kama vijana wa legacy?
Mtajie na Chacha WangweWewe ni zuzu!
Hao uliowataja ni kina nani mbona juzi tu hapa watu 7 wa familia moja wameuawa kwa mapanga wao siyo watu? Wameuawa kipindi cha magu?
Ulimboka nae alikuwa magu yule?
Mwangosi nae alikuwa magu?
Dr. Mvungi alikuwa magu?
Hivi umejaza mavi huko kichwani kiasi kwamba hukumbuki kama enzi za jk kuna bomu lilirushwa kwenye mkutano wa chadema pale soweto arusha likaua watu 5? Alikuwa magu yule?
Na hawa nao vipi umeshaambiwa wako wapi mpaka muda huu? [emoji116]View attachment 2305615
Hapa tupo ndani ya JF. Reff yoyote nje ya JF ni sahihi pale tu itakapoletwa kutoka katika chanzo kusicho na shaka, otherwise nitakuwa sahihi nikisema hakuna upinzani active mwaka huu tofauti na utetezi wa legacy. Unaweza kuniprove wrong.Siasa ni zaidi ya JF na mashinikizo. Upinzani siyo chama ni fikra zinazokinzana na hizo zipo tu. Yahya Jameh naye alidhani upinzani ni vyama, akafuta vile alivyovihofia lakini na bado akashindwa uchaguzi.
Kafanyaje?Mtajie na Chacha Wangwe
Viongozi wengine wanahusika na hayo aliyoyazungumza mleta mada?Viongozi wengi wakubwa wametangulia mbele za haki lakini huyu Baba mbona mnamsimanga kupitiliza? Mwacheni JPM apumzike kwa amani kama "watangulizi" wengine wanavyopumzishwa.