Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Kuna fikra za baadhi ya watu wanaotamani itokee siku moja "makosa" ya kimtazamo na kiutendaji ya Hayati John Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tano wa serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania YAREKEBISHWE.

Kiuhalisia makosa hayo hayawezi kurekebishwa kwa kuwa umbali aliotufikisha Magufuli inakuwa ngumu sana kurudi kwenye njia sahihi kiurahisi. Kitu pekee kinachoweza kufanyika ni kusuluhisha mitazamo yetu na uhalisia wa mambo.

Kwa mfano; chuki kati ya wafuasi wake na wale waliokuwa wanaipinga falsafa yake ya undeshaji nchi inarekebishwaje? Jee watu waliodhurika wakati wa utawala wake wanaponaje ama wale waliopotea wanapatikanaje? Leo hii hawa kina Ben Saanane, Simon Kanguye, Azor Gwanda nani anajua walipo na inawezekana wakarudishwa kwa familia zao. Lissu na wengine waliopata ulemavu zama hizo maisha yao yanaweza kurejerezwa?

Nani mwenye akili timamu anayeweza kusimamisha ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere kwa hatua ililofikia. Au SGR inawezaje kuwachwa wakati tayari mabilioni ya shilingi yameteketea kwenye mradi huo tayari. Nani ataruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa wakati CCM amri ya marufuku hiyo haiwahusu?​

Hauwezi kuwa kiongozi then watu wate uwafurahishe

Kwa uongozi wa Magu ww uliona ni mbaya
Ila kuna watu wengi ambao walienjoy kwenye uongozi wa magu

So kama ww uliona mmbaya kuna watu waliona ni utawala mzuri sana


Kila mtu ana nakosa, hata ww kwenye family yako Una makosa,

No wonder mke wako ex wake alikuwa bora kuliko ww hahahha
 
This is rubbish big time.. the tyrant you are glorifying was s true devil.. power hungry and ready to kill.. Tz doesn't need a tyrant to develop, it needs wisdom, integrity and empathy instead.
Rot in hell jiwe
We do not need honey lickers either.
 
Kinaniuma moyo ni kuwa kulikuwa na majinamizi ya karibu sana ambayo aliyaamini huku yakiwa na ya kwao moyoni na sasa yanajitokeza hadharani kuonyesha real colour zao
Ndio yanadhihirisha ule msemo kuwa usimuamini binadamu hata kama unamtania
 
ilikuwa ni kuleta maendeleo ya haraka sana hakutaka mambo ya kujivuta na siasa za chokochoko ndio maana aliwafyeka mikia wajinga wajinga
🤣🤣🤣🤣Mungu hataniwi Wala hadhihakiwi.hakuna mwenye akili Wala mjinga mbele yake.wote kwake tuko sawa.🤣🤣🤣uwe na akili wewe,kubwajinga
 
Kuna fikra za baadhi ya watu wanaotamani itokee siku moja "makosa" ya kimtazamo na kiutendaji ya Hayati John Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tano wa serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania YAREKEBISHWE.

Kiuhalisia makosa hayo hayawezi kurekebishwa kwa kuwa umbali aliotufikisha Magufuli inakuwa ngumu sana kurudi kwenye njia sahihi kiurahisi. Kitu pekee kinachoweza kufanyika ni kusuluhisha mitazamo yetu na uhalisia wa mambo.

Kwa mfano; chuki kati ya wafuasi wake na wale waliokuwa wanaipinga falsafa yake ya undeshaji nchi inarekebishwaje? Jee watu waliodhurika wakati wa utawala wake wanaponaje ama wale waliopotea wanapatikanaje? Leo hii hawa kina Ben Saanane, Simon Kanguye, Azor Gwanda nani anajua walipo na inawezekana wakarudishwa kwa familia zao. Lissu na wengine waliopata ulemavu zama hizo maisha yao yanaweza kurejerezwa?

Nani mwenye akili timamu anayeweza kusimamisha ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere kwa hatua ililofikia. Au SGR inawezaje kuwachwa wakati tayari mabilioni ya shilingi yameteketea kwenye mradi huo tayari. Nani ataruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa wakati CCM amri ya marufuku hiyo haiwahusu?​
Mtu huyo hakuja bahati mbaya alishatabiriwa tangu second half ya Awamu ya nne.

Kuboronga Kwa uongozi wa Awamu ya nne ndo kulimuibua JPM Ili arudishe TRUST ya wananchi Kwa Serikali under CCM.

Niamini mm, yanayoendelea Awamu hii ni mabaya kuliko Awamu ya nne.

CCM inajiweka tena njia panda, kuchagua;

1. Nchi itawaliwe na upinzani.

2. Ije Serikali ya Shirikishi kama zenj.

3. Atengenezwe mtu mwingine mwenye kaliba ya Magu Ili kuwashawishi tena wananchi maana watu wamegoma kumfuta mtu huyo kwenye mioyo Yao.

4. Ije KATIBA mpya aloiasisi Judge Warioba na muundo wa Serikali uwe Serikali 3.

Kati ya no.1,2,3 na 4 ipi njia sahihi?

Hayo yote ni maamuzi magumu sana tunaenda kuyapitia kama Nchi.

Ameeeeen.
 
Jibu hoja za mleta mada acha kuongea uongo mjibu kwanza Ben saa nane na Azory wanarudije ?
Vp kuhusu Aquilina na David mwangosi , na meno,kucha za yule daktar alitupwa mabwepande vinarudije na wanarudije?
 
Kingine alichokosea mtu wenu ni upungufu wake wa mawazo kudhani Sekta binafsi iwe viwanda au biashara ni miradi ya Mafisadi , hii ilikuwa akili ya kiwango cha chini sana !

ALAANIWE YEYOTE ALIYESABABISHA YULE MTU KUWA RAIS , Hakufaa hata kuwa katibu wa kijiji .
Awamu ya nne watu walisikika walidai Nchi inahitaji DICTATOR yawezakuwa nawe ni mmoja wao umesahau.

Walomtaka dicteta ni wananchi, state ikawaletea.

Hata sasa wapo wameanza kudai aje dictator mwingine baada ya huyu kuruhusu wahuni kurudi.

Ndo unamaanisha walaaniwe?

Uncle ameondoka, nn kimemshinda aliyepo kutengua zuio la mikutano ya siasa? Nani alompa Mbowe case ya ugaidi? Huo Si udicteta?

Tupambanie KATIBA mpya itatatua yote. Ameeeeen.
 
Kingine alichokosea mtu wenu ni upungufu wake wa mawazo kudhani Sekta binafsi iwe viwanda au biashara ni miradi ya Mafisadi , hii ilikuwa akili ya kiwango cha chini sana !

ALAANIWE YEYOTE ALIYESABABISHA YULE MTU KUWA RAIS , Hakufaa hata kuwa katibu wa kijiji .
Punguwani Mkubwa wewe!

Ameshakuwa sasa, tena sio tu balozi wa nyumba kumi, Bali ni Rais wa nchi yako!

Unalakufanya?

Zaidi sana ni kuandika upumbavu tu hapa!
 
Kuna fikra za baadhi ya watu wanaotamani itokee siku moja "makosa" ya kimtazamo na kiutendaji ya Hayati John Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tano wa serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania YAREKEBISHWE.

Kiuhalisia makosa hayo hayawezi kurekebishwa kwa kuwa umbali aliotufikisha Magufuli inakuwa ngumu sana kurudi kwenye njia sahihi kiurahisi. Kitu pekee kinachoweza kufanyika ni kusuluhisha mitazamo yetu na uhalisia wa mambo.

Kwa mfano; chuki kati ya wafuasi wake na wale waliokuwa wanaipinga falsafa yake ya undeshaji nchi inarekebishwaje? Jee watu waliodhurika wakati wa utawala wake wanaponaje ama wale waliopotea wanapatikanaje? Leo hii hawa kina Ben Saanane, Simon Kanguye, Azor Gwanda nani anajua walipo na inawezekana wakarudishwa kwa familia zao. Lissu na wengine waliopata ulemavu zama hizo maisha yao yanaweza kurejerezwa?

Nani mwenye akili timamu anayeweza kusimamisha ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere kwa hatua ililofikia. Au SGR inawezaje kuwachwa wakati tayari mabilioni ya shilingi yameteketea kwenye mradi huo tayari. Nani ataruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa wakati CCM amri ya marufuku hiyo haiwahusu?​
"HAYASAHIHISHIKI" tujadili kdg.

1. Kwann HAYASAHIHISHIKI?

2. Kwamba unamwambia aliyepo hawezi kuondoa zuio la mikutano ya hadhara sababu alieweka amefariki? Mbona case ya Mbowe ilisahihishwa mahakamani?

3. Kwamba, Afanye kosa marehemu halafu Walio hai washindwe kusahihisha?

Mi naona YANASAHIHISHIKA. Tafuta namna ya kuboresha heading Yako usijeonekana u mateka wa" kifikra".
 
Makosa ya Kikwete yamehishwa hadi tuseme ya Magufuli hayasahishiki? Maana Kikwete alitufikisha katika hali ambayo tuliona tunahitaji rais mwenye udikteta ili aweze kukabiliana na hali aliyoiacha Kikwete.
 
Vp kuhusu Aquilina na David mwangosi , na meno,kucha za yule daktar alitupwa mabwepande vinarudije na wanarudije?
Najua unamlenga JK ila nikusaidie tu wewe kilaza aquilina aliuwawa na polisi kwà makosa ya mkurugenzi wa halmashauri yenu wa ccm
 
Hapo kwenye ujenzi wa Sgr na Bwawa amekosea wapi?
 
Hapo kwenye ujenzi wa Sgr na Bwawa amekosea wapi?
Grid ya Taifa miundombinu yake imechakaa hadi kuvujisha kiwango kikubwa cha umeme wakati wa usafirishaji. Jee ukarabati wake haukuwa jambo la kipaumbele kwanza?
 
Back
Top Bottom