Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Atalipwa na karma ya pemba yanamsuta.Kwani mtamfanyaje? Mbona Mahita bado anadunda tu?
Mwenzake zombe anaweweseka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atalipwa na karma ya pemba yanamsuta.Kwani mtamfanyaje? Mbona Mahita bado anadunda tu?
Muulize IGP na kingai mahita walipo Moses Lilenje na lt Urio kwanza kabla ya list ingine kubwa zaidiTema mate Chini... one day watakuja kujibu .....Ikija kubainika maiti za kwenye sandarusi walihusika kama mkuu wa Polisi...Sirro will be in for it....mark my word
Waombe kifo cha mapema
Wote wamerithi kwa baba zaoYupo Mahita mwingine huko moshi ni rafiki mkubwa wa Sabaya ambaye alishirikiana na Sabaya kuwakamata watu hovyo hovyo kuwabambikia kesi kuwapiga kuwatesa na mambo mengineyo mengi ya hovyo zaidi
Mark your word? Watu waliodhalilisha utu wa watu wengine kama akina Makonda bado wapo na hawajaguswa. Akina Mahita na ubabe wote bado wanadunda mtaani na wala hakuna dalili yoyote ya wabongo kuchukua hatua. Acha watu waenjoy maisha yaoTema mate Chini... one day watakuja kujibu .....Ikija kubainika maiti za kwenye sandarusi walihusika kama mkuu wa Polisi...Sirro will be in for it....mark my word
Waombe kifo cha mapema
Thus tulimuomba Mungu awaaibishe wote waliobaka uchaguzi mkuu na kuwanyima watz haki ya kuchagua wawakilishi wao.Uchaguzi wa juzi upinzani ulishinda kila kona lakini Tumeccm Polisiccm wakurugenziccm waliupora ushindi kwa njia haramu za kishetani, kwa kifupi hakukuwa na uchaguzi bali CCM imeulawiti kuubaka kunajisi uchaguzi mkuu
Nyauringo alikuwa anatesa watu na hata kushiriki shambulio la Tundu lisu lakini mungu akamwadhibu kwa kupata ajali mbaya Bagamoyo akawa kiwete anatembelea Whilechair huku mwingine Asiyejulikana akifariki kwa ajali kule mbeyaAtalipwa na karma ya pemba yanamsuta.
Mwenzake zombe anaweweseka tu
Kuna mahita yupo Moshi Polisiccm alishirikiana na kingai kuwaua Moses Lilenje na lt urio hao ndiyo wanatakiwa The Hague kujibu mashitaka dhidi yaoMark your word? Watu waliodhalilisha utu wa watu wengine kama akina Makonda bado wapo na hawajaguswa. Akina Mahita na ubabe wote bado wanadunda mtaani na wala hakuna dalili yoyote ya wabongo kuchukua hatua. Acha watu waenjoy maisha yao
And the list goes onThus tulimuomba Mungu awaaibishe wote waliobaka uchaguzi mkuu na kuwanyima watz haki ya kuchagua wawakilishi wao.
Mungu akajibu.
Jiwe chali, sabaya chali, chalamila chali,nkamia,kessy, bashiru na polepole awajulikani walipo.
Tayari wanasheria wa mahakama ya uhalifu The Hague wana file lake wamekaa wanamsubiria asitaafu waje kumkamata afikishwe hukoSirro Kitakacho muokoa ni kifo
One down two to go...siku yao inakuja umbwa wale wameumiza watu wengi sanaHapi nikiongozi mwenye sifa za akina sabaya na makonda
Utatu mtakatifu wa Magufuli
1. Paul makonda
2. Ally hapi
3. Sabaya
Hili kundi lilifanya madhila ya kila aina kwa watanzania wasio na hatia
Ndizi bado inaendelea kuivaAnd the list goes on
Wote wanaoumiza na kutesa watz Mungu ushughulika nao.Nyauringo alikuwa anatesa watu na hata kushiriki shambulio la Tundu lisu lakini mungu akamwadhibu kwa kupata ajali mbaya Bagamoyo akawa kiwete anatembelea Whilechair huku mwingine Asiyejulikana akifariki kwa ajali kule mbeya
Huyu mtu si wanasema alishatangulia kuzimu vipi tena wheelchairNyauringo alikuwa anatesa watu na hata kushiriki shambulio la Tundu lisu lakini mungu akamwadhibu kwa kupata ajali mbaya Bagamoyo akawa kiwete anatembelea Whilechair huku mwingine Asiyejulikana akifariki kwa ajali kule mbeya
Aanze Kutafuta Uraia Pacha Sasa HiviUnafikiri zile maiti zilizookotwa kwenye masandarusi kipindi cha JPM zitanyamaziwa...ni swala la muda.....only time.....Mark my word
Amen Man Of GodWote wanaoumiza na kutesa watz Mungu ushughulika nao.
Bashite kawa raia leo ajui adui atatoka upande upo,
KarmaHuyu mtu si wanasema alishatangulia kuzimu vipi tena wheelchair
Tza inalindwa na Mungu Mtawala yeyeto atakaetesa na kuumiza watu Mungu ushughulika nae.Sokoine aliwaumiza watu kuwalazimisha wawe masikini kwa kuwapora mali zao, huwezi ukalazimisha watz wafanane maisha ni kuingilia Kazi ya Mungu kwani yeye utoa karama mbalimbali kwa KILA mtu, Mwendazake akaumiza watu.Mungu akashughulika naoAmen Man Of God
Go ...Deeper..PapaTza inalindwa na Mungu Mtawala yeyeto atakaetesa na kuumiza watu Mungu ushughulika nae.Sokoine aliwaumiza watu kuwalazimisha wawe masikini kwa kuwapora mali zao, huwezi ukalazimisha watz wafanane maisha ni kuingilia Kazi ya Mungu kwani yeye utoa karama mbalimbali kwa KILA mtu, Mwendazake akaumiza watu.Mungu akashughulika nao
Siku yaja...Mark your word? Watu waliodhalilisha utu wa watu wengine kama akina Makonda bado wapo na hawajaguswa. Akina Mahita na ubabe wote bado wanadunda mtaani na wala hakuna dalili yoyote ya wabongo kuchukua hatua. Acha watu waenjoy maisha yao