Uchaguzi 2020 Makosa ya Lissu yanaweza kutumiwa na CCM kumzidi kete kisiasa

Safari hii kutakuwa na mitego ya kila aina. Mnataka aanze na sera zake sasa hivi halafu mje muweke pingamizi kwamba ameanza kampeni mapema kabla ya muda uliowekwa na tume ya uchaguzi?
 

Endeleeni kumpoteza.
 
tutamchagua kwa kuongoza juhudi za kumuondoa huyu mtesi wetu ccm ndani ya nchi yetu
Kalagabao

Kama uwezi kuuza sera zenye kueleweka na kuwa mkombozi wq wananchi,basi ondoa zana ya MBELEKO, kama unaona ccm ina petty issues basi ulete BIG issues bila hivyo asitegemee huruma ya wananchi.

Siasa ni uuzaji wa sera za uhakika,sio huruma za wapiga kura.
 
Nmekuuliz ishu za Lisu ambae wewe unahisi ndio mbadala wa Magufuli ni zipi?
 
Huyu jamaa ni muongo muongo sana vile alivyotuambiaga kuwa miga watatunyoa kwa chupa aiseee sijawahi kumuamini tena kifupi ni msanii msanii fulani hivi.
 
Ishu kubwa kubwa za Lisu ni zipi?
 
Lissu na Magufuli ni mapacha wa nje wasiolewana,sema mmoja ana dola mwingine inaitafuta dola.

Tuombe Mungu mwenye Dola awe mvumilivu.
Na wamefana mengi usipokuwa Magufuli Sasa kajirekebisha Sana na anafata ushauri wa wataalamu wake kipindi hichi Cha kampeni. Na magufuli akiendelea na hii maturity atafanya la maana clashes zitaisha automatic
 
Uwe na subra ,muda wa kampeni bado
 

Wewe mtumiaji wa airport hupigi kura, watumiaji wa stendi ndiyo wapiga kura na jinsi ya kuwapata na kuteka hisia zao ni kuongelea stendi yao, nyavu zao, majembe yao, visima vya maji, Bodaboda zao, mashamba yao n.k. Kwa mwenendo huu, Haki ya nani JPM atashinda kwa kishindo cha zaidi ya 80%
 
Nmekuuliz ishu za Lisu ambae wewe unahisi ndio mbadala wa Magufuli ni zipi?
1.kuitoa Ccm madarakani_ kwangu hii ni kubwa maana itafungua Mambo mengi na kuspeed up maendeleo ya nchi yetu na watu wake
2. Katiba mpya_ systems ni muhimu kwa maendeleo ya nchi kuliko matamko na kutembea na mabunda barabarani
3. International relationships na nchi nyingine- kufungua fursa za watanzania kwenye import and exports,kufanya kazi nje ya Tanzania etc
 
Yawezekana pia nje ya field yake hana alijualo!

Yawezekana hata kwenye taaluma yake tunaamini yupo sawa kwa vile wengi ni laymen tu ila anachemka vilevile.

Kwenye kila achoongea nje ya taaluma yake anaonesha he's not well informed mf anajua hakuna jogoo wa laki moja😁! Wakati viwanja vya sabasaba walikuwepo kuchi jogoo wa laki tano.

Ushauri: He's to say less than necessary!

"Powerful people impress and intimidate by saying less.

The more you say, the more likely you're to say something foolish"
 
Hizo si issues za kuongelewa na rais,JK na BWM hawakuwahi ongelea hizi petty issues na still walipata kura,acheni utopolo Bwana
 
I second your point,uelewa na utendaji wa Magu vyote vipo below average ndo maana unamuona anahangaika na petty issues_ yaani rais unasimama mbele za watu unaanza kuonesha masoko na stend? Shame on him

..mimi nimeshangaa Jpm eti anasema wapinzani watabomoa madaraja na kuuza scraper, na meli zote zitapigwa mnada!!

..Shame on him!!
 
..mimi nimeshangaa Jpm eti anasema wapinzani watabomoa madaraja na kuuza scraper, na meli zote zitapigwa mnada!!

..Shame on him!!
Kachanganyikiwa,mtu mwenye hadhi ya urais huwezi ongea utopolo wa aina ile
 
Naona watu wamekuwa mafundi wa kumshauri Lissu wakiogopa asikosee lakini sioni wakimshauri mgombea wa CCM ambaye kwa hulka akiamua kupaisha anapaisha kweli.
 
Yaan mti mzima unakaa kabisa na unahis lisu atakua rahisi wa tanzania ndio rahis naona mmestuka yaan hata lisu mwenyewe atawashangaa yeye yupo kwa ajili ya kuzingua zingua
Hivi wewe kweli ulitegemea Magu angekua Rais?
 
Naona watu wamekuwa mafundi wa kumshauri Lissu wakiogopa asikosee lakini sioni wakimshauri magombea wa CCM ambaye kwa hulka akiamua kupaisha anapaisha kweli.

Mgombea wa CCM ana rungu la dola mkononi, hilo ndo linampa jeuri ya kuharibu kisha likmsafisha. Sasa wapinzani hawana hiyo ndiyo maana inabodi waplay smarter
 
Hii ishu ya corona alioiongelea leo Lissu, CCM wakiitumia vizuri nikiboko kitamu sana kwa wamachinga na bodaboda.
Hakuna kitu Kama hicho.
Hii ishu itammaliza Magu zaidi kuliko unavyofikiria.
Lupima mapapi ,kutangaza korona imekwisha wakati Hakuna vipimo kuthibitisha Hilo Hilo Ni janga.
Umejuaje Kama korona imekwisha wakati huaminishwa vipimo?
Watu wako kimya tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…