Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Maweweseka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ilimradi hupati maumivu ndugu... be happy!Endeleeni kumpoteza.
Asante Mkuu..Kosa moja ambalo Lissu anafanya hivi sasa ni kuaccumulate makosa mengi ya kisiasa ambayo CCM wanaweza kuyatumia dhidi yake.
Tangu arudi nchini Lissu ameshafanya makosa kadha wa kadha ambayo asipokuwa makini na akaendelea kuyafanya yataanza kumpungunzia mtaji wa kisiasa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.
Makosa yenyewe ni yafuatayo
1. Hazungumzii kwa kirefu ana ajenda gani ya maendeleo kwa wananchi, kitu kimoja ambacho amekielezea kwa ufanisi sana ni kuhusu suala la katiba mpya na umuhimu wake, lakini Lissu anapwaya sana kwenye kuelezea Issues zinazohusu ugali mezani mwa wananchi, Lissu kwa mfano hawezi kuzungumza zaidi ya dakika moja kuhusu mkulima na kilimo chake, mfanyakazi wa umma na maslahi yake, Elimu na namna ya kuiboresha, wavuvi na uvuvi wao, Wamachinga, miundo mbinu, Lissu haarticulate vizuri hizo issues. Lissu hazungumzii Ufisadi kabisa na kwamba ana mpango gani wa kukomesha rushwa, ufisadi na plan ipi aliyokuwa nayo juu ya Taifa ili kunufaika na rasilimali zake
2. Pili Suala la kuponda hali ya COVID-19 nchini na kudai ipo sana na kulizungumza bila ushahidi wa Data, na kuongea kitu ambacho yeye binafsi hatekelezi, inamuexpose kama mwanasiasa msema chochote ilimradi kusema lakini hasimamii anachokisema. Tangu Lissu aje, ameonekana kwenye mikusanyiko ya watu wengi, ndani ya vikao vya chama, kwenye mapokezi yake n. k, huko kote hajaweka social distance wala kuvaa barakoa, iweje leo atwambie kwenye TV ya Kenya kuwa Tanzania kuna Korona nyingi na kuwataka watu wavae barakoa na kuweka social distance?. Kitu kimoja ambacho Lissu lazima akielewe ni kwamba Magufuli pamoja na kuhandle issue ya Korona kwa tofauti sana, amejitahidi sana kuspin situation nchini ilivyo kwa kuvurugavuruga channel rasmi za taarifa kiasi kwamba leo ni vigumu kujua hali halisi ya Korona nchini, hata hivyo kitu kimoja kilicho obvious ni kwamba Magufuli ana ratings kubwa ajabu miongoni mwa wananchi kwa jinsi alivyohandle issue hii ya Korona japo jinsi alivyoihsndle siyo kisayansi. Kwa hiyo Lissu wakati anaongea haya ajue anaongea na Watanzania wa namna gani, Wengi hawawezi kumuunga mkono unless aje na data zisizoweza kutiliwa shaka hata kidogo. Ila hii ya kupinga bila data inawafanya wananchi wamuondolee credibility
3. Issue ya Wimbo wa Taifa pia haikuwa sahihi Lissu kuitolea comment. Ilitakiwa chama chenyewe ndo kiseme. Kama tulivyokwishajadili humu, Kuna makosa ya Kisiasa na makosa ya kisheria. Issue ya Wimbo wa Taifa ni Issue ya Kisiasa na Kijamii. Siyo lazima kila kanuni iandikwe kwenye vitabu vya sheria. Wananchi wanauheshimu wimbo wao wa Taifa, wimbo huo kwao unasymbolize Taifa moja na kwa wananchi wimbo huo upo juu ya vikundi vya watu kama vile vyama vya siasa n. k. Sasa kitendo cha kutetea kubadili matumizi ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama ndani yake kunatuma meseji kuwa hawa watu ni wapenda fujo, wasiofuata taratitibu.
Utetezi kuwa mbona UVCCM nao waliimba tofauti hausaidii, maana wananchi wanajua kuwa uongozi wa Juu wa vyama ndiyo wenye kuwakilisha misimamo halisi ya vyama na siyo hao watoto wa UVCCM. Kwa hiyo inapotokea viongozi wa Chadema wanafanya makosa kama haya, halafu Lissu anatetea, inatuma meseji kuwa huyu ni. mpenda vurugu, moenda malumbano, kwa hiyo wanamshusha hadhi
Nina mapendekezo yafuatayo kwa Lissu na Chadema
1. Lissu anza kuzungumzia issues, ili watu waone una substance zilizoshiba zile zinazohusu ugali wa wananchi zaidi
2.Kwenye kipindi hiki kuelekea uchaguzi, CHADEMA lazima mcoordinate anachozungumza Lissu kwenye Vyombo vya habari, fahamuni kuna vyombo vitajaribu kumframe ili kuzungumza vitu ambavyo atatoa boko halafu vitumike kisiasa dhidi yake na Chadema ili kuwadiscredit mbele ya wananchi.
3. Lissu, kuwa confident kama ulivyo ila kuwa humble zaidi, wananchi hawapendi arrogance, overconfidence
4. Lissu una mtaji wa huruma ya wananchi, itumie hiyo vizuri kukusaidia kwenye kampeni, Fahamu kwamba kila aliyesikitika na tukio lililokufika ni potential voter wako. Kila aliyetoa senti yake kwako ni potential voter wako, na kila sliyekuombea dua ni potential voter wako. Lakini cha kufanya, ni kuhakikisha watu wanakuona katika positive light
5. Ndani ya Chadema najua chama kipo kwenye paralyisis namna gani ya kumuweka Lisu kwenye msitari, hakijajua kitamuwekaje sawa ili acheze katika mistari ya hulka za taswira ya rais. Sasa inabidi watafute namna ya kuliweka sawa hilo jambo
Kiufupi CCM walikuwa kwenye shock namna ya kuhandle umaarufu wa Lissu, ila inavyoonekana wameanza kutoboa matobo kidogokidogo katika haiba ya Lissu, Chadema na Lissu wawe makini na stratergy hii ya CCM.
Lissu kwenye hoja hasa za kisheria, haki za binadamu na katiba hakuna ndani ya CCM anayemuweza, ila wenzie ni wajuzi sana wa siasa, wanajua namna ya kumanipulate mtu wa chini kabisa hata kwa propaganda ili awaunge mkono. Kwa hiyo Lissu inabidi anyanyue zaidi game yake kuliko ilivyo sasa.
Hata ilani ya uchaguzi atakaiuza Lissu ni aibu tupu, bora ya ACT na nccr mageuzi. Ama kwrli chadrma iko icuKosa moja ambalo Lissu anafanya hivi sasa ni kuaccumulate makosa mengi ya kisiasa ambayo CCM wanaweza kuyatumia dhidi yake.
Tangu arudi nchini Lissu ameshafanya makosa kadha wa kadha ambayo asipokuwa makini na akaendelea kuyafanya yataanza kumpungunzia mtaji wa kisiasa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.
Makosa yenyewe ni yafuatayo
1. Hazungumzii kwa kirefu ana ajenda gani ya maendeleo kwa wananchi, kitu kimoja ambacho amekielezea kwa ufanisi sana ni kuhusu suala la katiba mpya na umuhimu wake, lakini Lissu anapwaya sana kwenye kuelezea Issues zinazohusu ugali mezani mwa wananchi, Lissu kwa mfano hawezi kuzungumza zaidi ya dakika moja kuhusu mkulima na kilimo chake, mfanyakazi wa umma na maslahi yake, Elimu na namna ya kuiboresha, wavuvi na uvuvi wao, Wamachinga, miundo mbinu, Lissu haarticulate vizuri hizo issues. Lissu hazungumzii Ufisadi kabisa na kwamba ana mpango gani wa kukomesha rushwa, ufisadi na plan ipi aliyokuwa nayo juu ya Taifa ili kunufaika na rasilimali zake
2. Pili Suala la kuponda hali ya COVID-19 nchini na kudai ipo sana na kulizungumza bila ushahidi wa Data, na kuongea kitu ambacho yeye binafsi hatekelezi, inamuexpose kama mwanasiasa msema chochote ilimradi kusema lakini hasimamii anachokisema. Tangu Lissu aje, ameonekana kwenye mikusanyiko ya watu wengi, ndani ya vikao vya chama, kwenye mapokezi yake n. k, huko kote hajaweka social distance wala kuvaa barakoa, iweje leo atwambie kwenye TV ya Kenya kuwa Tanzania kuna Korona nyingi na kuwataka watu wavae barakoa na kuweka social distance?. Kitu kimoja ambacho Lissu lazima akielewe ni kwamba Magufuli pamoja na kuhandle issue ya Korona kwa tofauti sana, amejitahidi sana kuspin situation nchini ilivyo kwa kuvurugavuruga channel rasmi za taarifa kiasi kwamba leo ni vigumu kujua hali halisi ya Korona nchini, hata hivyo kitu kimoja kilicho obvious ni kwamba Magufuli ana ratings kubwa ajabu miongoni mwa wananchi kwa jinsi alivyohandle issue hii ya Korona japo jinsi alivyoihsndle siyo kisayansi. Kwa hiyo Lissu wakati anaongea haya ajue anaongea na Watanzania wa namna gani, Wengi hawawezi kumuunga mkono unless aje na data zisizoweza kutiliwa shaka hata kidogo. Ila hii ya kupinga bila data inawafanya wananchi wamuondolee credibility
3. Issue ya Wimbo wa Taifa pia haikuwa sahihi Lissu kuitolea comment. Ilitakiwa chama chenyewe ndo kiseme. Kama tulivyokwishajadili humu, Kuna makosa ya Kisiasa na makosa ya kisheria. Issue ya Wimbo wa Taifa ni Issue ya Kisiasa na Kijamii. Siyo lazima kila kanuni iandikwe kwenye vitabu vya sheria. Wananchi wanauheshimu wimbo wao wa Taifa, wimbo huo kwao unasymbolize Taifa moja na kwa wananchi wimbo huo upo juu ya vikundi vya watu kama vile vyama vya siasa n. k. Sasa kitendo cha kutetea kubadili matumizi ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama ndani yake kunatuma meseji kuwa hawa watu ni wapenda fujo, wasiofuata taratitibu.
Utetezi kuwa mbona UVCCM nao waliimba tofauti hausaidii, maana wananchi wanajua kuwa uongozi wa Juu wa vyama ndiyo wenye kuwakilisha misimamo halisi ya vyama na siyo hao watoto wa UVCCM. Kwa hiyo inapotokea viongozi wa Chadema wanafanya makosa kama haya, halafu Lissu anatetea, inatuma meseji kuwa huyu ni. mpenda vurugu, moenda malumbano, kwa hiyo wanamshusha hadhi
Nina mapendekezo yafuatayo kwa Lissu na Chadema
1. Lissu anza kuzungumzia issues, ili watu waone una substance zilizoshiba zile zinazohusu ugali wa wananchi zaidi
2.Kwenye kipindi hiki kuelekea uchaguzi, CHADEMA lazima mcoordinate anachozungumza Lissu kwenye Vyombo vya habari, fahamuni kuna vyombo vitajaribu kumframe ili kuzungumza vitu ambavyo atatoa boko halafu vitumike kisiasa dhidi yake na Chadema ili kuwadiscredit mbele ya wananchi.
3. Lissu, kuwa confident kama ulivyo ila kuwa humble zaidi, wananchi hawapendi arrogance, overconfidence
4. Lissu una mtaji wa huruma ya wananchi, itumie hiyo vizuri kukusaidia kwenye kampeni, Fahamu kwamba kila aliyesikitika na tukio lililokufika ni potential voter wako. Kila aliyetoa senti yake kwako ni potential voter wako, na kila sliyekuombea dua ni potential voter wako. Lakini cha kufanya, ni kuhakikisha watu wanakuona katika positive light
5. Ndani ya Chadema najua chama kipo kwenye paralyisis namna gani ya kumuweka Lisu kwenye msitari, hakijajua kitamuwekaje sawa ili acheze katika mistari ya hulka za taswira ya rais. Sasa inabidi watafute namna ya kuliweka sawa hilo jambo
Kiufupi CCM walikuwa kwenye shock namna ya kuhandle umaarufu wa Lissu, ila inavyoonekana wameanza kutoboa matobo kidogokidogo katika haiba ya Lissu, Chadema na Lissu wawe makini na stratergy hii ya CCM.
Lissu kwenye hoja hasa za kisheria, haki za binadamu na katiba hakuna ndani ya CCM anayemuweza, ila wenzie ni wajuzi sana wa siasa, wanajua namna ya kumanipulate mtu wa chini kabisa hata kwa propaganda ili awaunge mkono. Kwa hiyo Lissu inabidi anyanyue zaidi game yake kuliko ilivyo sasa.
Dah yaani kwako Makonda ni mfano wa mtu makini?!Tatizo la Lisu ni kuzungumza bila breki, akisimama jukwaani na mtu anaejua kucheza na akili ya mtu mf:Makonda atapoteza kila kitu
Wazee wa makaburi mmeanza...Mleta mada hapa uliandika Nini
Kama Taifa tunafanya makosa makubwa kujiaminisha kuwa Corona siyo tishio tena kwetu kama Nchi
Mkuu hii mada kubwa sana kwako.Mimi binafsi naamini ukiiondoa CCM madarakani,utakuwa umesolve kila tatizo linalowakabiri watanzania,the only problem ninayoiona watanzania wengi tumeadhiriwa na viongozi uchwara aina ya kina Magu wanaoongelea petty issues kila Mara,Sasa Kama rais anaongelea masoko na stend, anaongelea vibarabara vya halmashauri,anaongelea vizahanati badala ya kuongelea national health systems ,Kuna nini tena hapo?
Jamaa ana hofu halisi ya kushindwa.Kachanganyikiwa,mtu mwenye hadhi ya urais huwezi ongea utopolo wa aina ile
Mkuu mleta mada anajaribu kuonesha namna gani unaweza kuuondoa huu utawala kupitia huyo mtu mwenye mapungufu.Lissu ana mapungufu yake kama binadamu,mojawapo yakiwa ni kama haya yaliyoelezwa na mtoa mada lakini mahali tulipofikishwa na utawala huu, watu wengine tunaona ni heri kuuondoa utawala huu hata kwa kumtumia mtu yule mwenye mapungufu ya kibinadamu.
Na wanaoutetea utawala huu ni wale wanaofaidika nao,kwa kuwa hata shetani anawapambe wake wanaofaidika kutokana na kazi zake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hizo ndio hoja kubwa kubwa za Lisu?1.kuitoa Ccm madarakani_ kwangu hii ni kubwa maana itafungua Mambo mengi na kuspeed up maendeleo ya nchi yetu na watu wake
2. Katiba mpya_ systems ni muhimu kwa maendeleo ya nchi kuliko matamko na kutembea na mabunda barabarani
3. International relationships na nchi nyingine- kufungua fursa za watanzania kwenye import and exports,kufanya kazi nje ya Tanzania etc
Sawa ni ushauri mzuri Lissu humu yupo.Kosa moja ambalo Lissu anafanya hivi sasa ni kuaccumulate makosa mengi ya kisiasa ambayo CCM wanaweza kuyatumia dhidi yake.
Tangu arudi nchini Lissu ameshafanya makosa kadha wa kadha ambayo asipokuwa makini na akaendelea kuyafanya yataanza kumpungunzia mtaji wa kisiasa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.
Makosa yenyewe ni yafuatayo
1. Hazungumzii kwa kirefu ana ajenda gani ya maendeleo kwa wananchi, kitu kimoja ambacho amekielezea kwa ufanisi sana ni kuhusu suala la katiba mpya na umuhimu wake, lakini Lissu anapwaya sana kwenye kuelezea Issues zinazohusu ugali mezani mwa wananchi, Lissu kwa mfano hawezi kuzungumza zaidi ya dakika moja kuhusu mkulima na kilimo chake, mfanyakazi wa umma na maslahi yake, Elimu na namna ya kuiboresha, wavuvi na uvuvi wao, Wamachinga, miundo mbinu, Lissu haarticulate vizuri hizo issues. Lissu hazungumzii Ufisadi kabisa na kwamba ana mpango gani wa kukomesha rushwa, ufisadi na plan ipi aliyokuwa nayo juu ya Taifa ili kunufaika na rasilimali zake
2. Pili Suala la kuponda hali ya COVID-19 nchini na kudai ipo sana na kulizungumza bila ushahidi wa Data, na kuongea kitu ambacho yeye binafsi hatekelezi, inamuexpose kama mwanasiasa msema chochote ilimradi kusema lakini hasimamii anachokisema. Tangu Lissu aje, ameonekana kwenye mikusanyiko ya watu wengi, ndani ya vikao vya chama, kwenye mapokezi yake n. k, huko kote hajaweka social distance wala kuvaa barakoa, iweje leo atwambie kwenye TV ya Kenya kuwa Tanzania kuna Korona nyingi na kuwataka watu wavae barakoa na kuweka social distance?. Kitu kimoja ambacho Lissu lazima akielewe ni kwamba Magufuli pamoja na kuhandle issue ya Korona kwa tofauti sana, amejitahidi sana kuspin situation nchini ilivyo kwa kuvurugavuruga channel rasmi za taarifa kiasi kwamba leo ni vigumu kujua hali halisi ya Korona nchini, hata hivyo kitu kimoja kilicho obvious ni kwamba Magufuli ana ratings kubwa ajabu miongoni mwa wananchi kwa jinsi alivyohandle issue hii ya Korona japo jinsi alivyoihsndle siyo kisayansi. Kwa hiyo Lissu wakati anaongea haya ajue anaongea na Watanzania wa namna gani, Wengi hawawezi kumuunga mkono unless aje na data zisizoweza kutiliwa shaka hata kidogo. Ila hii ya kupinga bila data inawafanya wananchi wamuondolee credibility
3. Issue ya Wimbo wa Taifa pia haikuwa sahihi Lissu kuitolea comment. Ilitakiwa chama chenyewe ndo kiseme. Kama tulivyokwishajadili humu, Kuna makosa ya Kisiasa na makosa ya kisheria. Issue ya Wimbo wa Taifa ni Issue ya Kisiasa na Kijamii. Siyo lazima kila kanuni iandikwe kwenye vitabu vya sheria. Wananchi wanauheshimu wimbo wao wa Taifa, wimbo huo kwao unasymbolize Taifa moja na kwa wananchi wimbo huo upo juu ya vikundi vya watu kama vile vyama vya siasa n. k. Sasa kitendo cha kutetea kubadili matumizi ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama ndani yake kunatuma meseji kuwa hawa watu ni wapenda fujo, wasiofuata taratitibu.
Utetezi kuwa mbona UVCCM nao waliimba tofauti hausaidii, maana wananchi wanajua kuwa uongozi wa Juu wa vyama ndiyo wenye kuwakilisha misimamo halisi ya vyama na siyo hao watoto wa UVCCM. Kwa hiyo inapotokea viongozi wa Chadema wanafanya makosa kama haya, halafu Lissu anatetea, inatuma meseji kuwa huyu ni. mpenda vurugu, moenda malumbano, kwa hiyo wanamshusha hadhi
Nina mapendekezo yafuatayo kwa Lissu na Chadema
1. Lissu anza kuzungumzia issues, ili watu waone una substance zilizoshiba zile zinazohusu ugali wa wananchi zaidi
2.Kwenye kipindi hiki kuelekea uchaguzi, CHADEMA lazima mcoordinate anachozungumza Lissu kwenye Vyombo vya habari, fahamuni kuna vyombo vitajaribu kumframe ili kuzungumza vitu ambavyo atatoa boko halafu vitumike kisiasa dhidi yake na Chadema ili kuwadiscredit mbele ya wananchi.
3. Lissu, kuwa confident kama ulivyo ila kuwa humble zaidi, wananchi hawapendi arrogance, overconfidence
4. Lissu una mtaji wa huruma ya wananchi, itumie hiyo vizuri kukusaidia kwenye kampeni, Fahamu kwamba kila aliyesikitika na tukio lililokufika ni potential voter wako. Kila aliyetoa senti yake kwako ni potential voter wako, na kila sliyekuombea dua ni potential voter wako. Lakini cha kufanya, ni kuhakikisha watu wanakuona katika positive light
5. Ndani ya Chadema najua chama kipo kwenye paralyisis namna gani ya kumuweka Lisu kwenye msitari, hakijajua kitamuwekaje sawa ili acheze katika mistari ya hulka za taswira ya rais. Sasa inabidi watafute namna ya kuliweka sawa hilo jambo
Kiufupi CCM walikuwa kwenye shock namna ya kuhandle umaarufu wa Lissu, ila inavyoonekana wameanza kutoboa matobo kidogokidogo katika haiba ya Lissu, Chadema na Lissu wawe makini na stratergy hii ya CCM.
Lissu kwenye hoja hasa za kisheria, haki za binadamu na katiba hakuna ndani ya CCM anayemuweza, ila wenzie ni wajuzi sana wa siasa, wanajua namna ya kumanipulate mtu wa chini kabisa hata kwa propaganda ili awaunge mkono. Kwa hiyo Lissu inabidi anyanyue zaidi game yake kuliko ilivyo sasa.
Lissu hiyo ndio caliber yake amekuwa hivyo hadi kuwa tishio kubwa kwa Jpm na utawala wake. Hakuna jipya. Tunampendea hicho hicho. Hutaki unaacha.Mkuu mleta mada anajaribu kuonesha namna gani unaweza kuuondoa huu utawala kupitia huyo mtu mwenye mapungufu.
Anajaribu kumpa ushauri Lissu apunguze hayo mapungufu ili ashinde.
Hivi unafikiri Lissu akiendelea kutoa boko namna hii atashunda huo uraisi?
Jamani tuache utani na kusinda uraisi kwa njia ya kura, siyo rahisi namna hiyo kwamba unaweza kwenda kulipuka na kuropoka 'rants' zako basi kwisha kazi unashinda uchaguzi.
atasema tu muda was kampain bado mkuu acha fitinaKosa moja ambalo Lissu anafanya hivi sasa ni kuaccumulate makosa mengi ya kisiasa ambayo CCM wanaweza kuyatumia dhidi yake.
Tangu arudi nchini Lissu ameshafanya makosa kadha wa kadha ambayo asipokuwa makini na akaendelea kuyafanya yataanza kumpungunzia mtaji wa kisiasa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.
Makosa yenyewe ni yafuatayo
1. Hazungumzii kwa kirefu ana ajenda gani ya maendeleo kwa wananchi, kitu kimoja ambacho amekielezea kwa ufanisi sana ni kuhusu suala la katiba mpya na umuhimu wake, lakini Lissu anapwaya sana kwenye kuelezea Issues zinazohusu ugali mezani mwa wananchi, Lissu kwa mfano hawezi kuzungumza zaidi ya dakika moja kuhusu mkulima na kilimo chake, mfanyakazi wa umma na maslahi yake, Elimu na namna ya kuiboresha, wavuvi na uvuvi wao, Wamachinga, miundo mbinu, Lissu haarticulate vizuri hizo issues. Lissu hazungumzii Ufisadi kabisa na kwamba ana mpango gani wa kukomesha rushwa, ufisadi na plan ipi aliyokuwa nayo juu ya Taifa ili kunufaika na rasilimali zake
2. Pili Suala la kuponda hali ya COVID-19 nchini na kudai ipo sana na kulizungumza bila ushahidi wa Data, na kuongea kitu ambacho yeye binafsi hatekelezi, inamuexpose kama mwanasiasa msema chochote ilimradi kusema lakini hasimamii anachokisema. Tangu Lissu aje, ameonekana kwenye mikusanyiko ya watu wengi, ndani ya vikao vya chama, kwenye mapokezi yake n. k, huko kote hajaweka social distance wala kuvaa barakoa, iweje leo atwambie kwenye TV ya Kenya kuwa Tanzania kuna Korona nyingi na kuwataka watu wavae barakoa na kuweka social distance?. Kitu kimoja ambacho Lissu lazima akielewe ni kwamba Magufuli pamoja na kuhandle issue ya Korona kwa tofauti sana, amejitahidi sana kuspin situation nchini ilivyo kwa kuvurugavuruga channel rasmi za taarifa kiasi kwamba leo ni vigumu kujua hali halisi ya Korona nchini, hata hivyo kitu kimoja kilicho obvious ni kwamba Magufuli ana ratings kubwa ajabu miongoni mwa wananchi kwa jinsi alivyohandle issue hii ya Korona japo jinsi alivyoihsndle siyo kisayansi. Kwa hiyo Lissu wakati anaongea haya ajue anaongea na Watanzania wa namna gani, Wengi hawawezi kumuunga mkono unless aje na data zisizoweza kutiliwa shaka hata kidogo. Ila hii ya kupinga bila data inawafanya wananchi wamuondolee credibility
3. Issue ya Wimbo wa Taifa pia haikuwa sahihi Lissu kuitolea comment. Ilitakiwa chama chenyewe ndo kiseme. Kama tulivyokwishajadili humu, Kuna makosa ya Kisiasa na makosa ya kisheria. Issue ya Wimbo wa Taifa ni Issue ya Kisiasa na Kijamii. Siyo lazima kila kanuni iandikwe kwenye vitabu vya sheria. Wananchi wanauheshimu wimbo wao wa Taifa, wimbo huo kwao unasymbolize Taifa moja na kwa wananchi wimbo huo upo juu ya vikundi vya watu kama vile vyama vya siasa n. k. Sasa kitendo cha kutetea kubadili matumizi ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama ndani yake kunatuma meseji kuwa hawa watu ni wapenda fujo, wasiofuata taratitibu.
Utetezi kuwa mbona UVCCM nao waliimba tofauti hausaidii, maana wananchi wanajua kuwa uongozi wa Juu wa vyama ndiyo wenye kuwakilisha misimamo halisi ya vyama na siyo hao watoto wa UVCCM. Kwa hiyo inapotokea viongozi wa Chadema wanafanya makosa kama haya, halafu Lissu anatetea, inatuma meseji kuwa huyu ni. mpenda vurugu, moenda malumbano, kwa hiyo wanamshusha hadhi
Nina mapendekezo yafuatayo kwa Lissu na Chadema
1. Lissu anza kuzungumzia issues, ili watu waone una substance zilizoshiba zile zinazohusu ugali wa wananchi zaidi
2.Kwenye kipindi hiki kuelekea uchaguzi, CHADEMA lazima mcoordinate anachozungumza Lissu kwenye Vyombo vya habari, fahamuni kuna vyombo vitajaribu kumframe ili kuzungumza vitu ambavyo atatoa boko halafu vitumike kisiasa dhidi yake na Chadema ili kuwadiscredit mbele ya wananchi.
3. Lissu, kuwa confident kama ulivyo ila kuwa humble zaidi, wananchi hawapendi arrogance, overconfidence
4. Lissu una mtaji wa huruma ya wananchi, itumie hiyo vizuri kukusaidia kwenye kampeni, Fahamu kwamba kila aliyesikitika na tukio lililokufika ni potential voter wako. Kila aliyetoa senti yake kwako ni potential voter wako, na kila sliyekuombea dua ni potential voter wako. Lakini cha kufanya, ni kuhakikisha watu wanakuona katika positive light
5. Ndani ya Chadema najua chama kipo kwenye paralyisis namna gani ya kumuweka Lisu kwenye msitari, hakijajua kitamuwekaje sawa ili acheze katika mistari ya hulka za taswira ya rais. Sasa inabidi watafute namna ya kuliweka sawa hilo jambo
Kiufupi CCM walikuwa kwenye shock namna ya kuhandle umaarufu wa Lissu, ila inavyoonekana wameanza kutoboa matobo kidogokidogo katika haiba ya Lissu, Chadema na Lissu wawe makini na stratergy hii ya CCM.
Lissu kwenye hoja hasa za kisheria, haki za binadamu na katiba hakuna ndani ya CCM anayemuweza, ila wenzie ni wajuzi sana wa siasa, wanajua namna ya kumanipulate mtu wa chini kabisa hata kwa propaganda ili awaunge mkono. Kwa hiyo Lissu inabidi anyanyue zaidi game yake kuliko ilivyo sasa.
KweliLissu hiyo ndio caliber yake amekuwa hivyo hadi kuwa tishio kubwa kwa Jpm na utawala wake. Hakuna jipya. Tunampendea hicho hicho. Hutaki unaacha.
ccm kuwapiga njaa watz ni kampeni tosha hata kama Piere angegombea ni heri tumjaribu aisee na sio kwa msoto huuKosa moja ambalo Lissu anafanya hivi sasa ni kuaccumulate makosa mengi ya kisiasa ambayo CCM wanaweza kuyatumia dhidi yake.
Tangu arudi nchini Lissu ameshafanya makosa kadha wa kadha ambayo asipokuwa makini na akaendelea kuyafanya yataanza kumpungunzia mtaji wa kisiasa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.
Makosa yenyewe ni yafuatayo
1. Hazungumzii kwa kirefu ana ajenda gani ya maendeleo kwa wananchi, kitu kimoja ambacho amekielezea kwa ufanisi sana ni kuhusu suala la katiba mpya na umuhimu wake, lakini Lissu anapwaya sana kwenye kuelezea Issues zinazohusu ugali mezani mwa wananchi, Lissu kwa mfano hawezi kuzungumza zaidi ya dakika moja kuhusu mkulima na kilimo chake, mfanyakazi wa umma na maslahi yake, Elimu na namna ya kuiboresha, wavuvi na uvuvi wao, Wamachinga, miundo mbinu, Lissu haarticulate vizuri hizo issues. Lissu hazungumzii Ufisadi kabisa na kwamba ana mpango gani wa kukomesha rushwa, ufisadi na plan ipi aliyokuwa nayo juu ya Taifa ili kunufaika na rasilimali zake
2. Pili Suala la kuponda hali ya COVID-19 nchini na kudai ipo sana na kulizungumza bila ushahidi wa Data, na kuongea kitu ambacho yeye binafsi hatekelezi, inamuexpose kama mwanasiasa msema chochote ilimradi kusema lakini hasimamii anachokisema. Tangu Lissu aje, ameonekana kwenye mikusanyiko ya watu wengi, ndani ya vikao vya chama, kwenye mapokezi yake n. k, huko kote hajaweka social distance wala kuvaa barakoa, iweje leo atwambie kwenye TV ya Kenya kuwa Tanzania kuna Korona nyingi na kuwataka watu wavae barakoa na kuweka social distance?. Kitu kimoja ambacho Lissu lazima akielewe ni kwamba Magufuli pamoja na kuhandle issue ya Korona kwa tofauti sana, amejitahidi sana kuspin situation nchini ilivyo kwa kuvurugavuruga channel rasmi za taarifa kiasi kwamba leo ni vigumu kujua hali halisi ya Korona nchini, hata hivyo kitu kimoja kilicho obvious ni kwamba Magufuli ana ratings kubwa ajabu miongoni mwa wananchi kwa jinsi alivyohandle issue hii ya Korona japo jinsi alivyoihsndle siyo kisayansi. Kwa hiyo Lissu wakati anaongea haya ajue anaongea na Watanzania wa namna gani, Wengi hawawezi kumuunga mkono unless aje na data zisizoweza kutiliwa shaka hata kidogo. Ila hii ya kupinga bila data inawafanya wananchi wamuondolee credibility
3. Issue ya Wimbo wa Taifa pia haikuwa sahihi Lissu kuitolea comment. Ilitakiwa chama chenyewe ndo kiseme. Kama tulivyokwishajadili humu, Kuna makosa ya Kisiasa na makosa ya kisheria. Issue ya Wimbo wa Taifa ni Issue ya Kisiasa na Kijamii. Siyo lazima kila kanuni iandikwe kwenye vitabu vya sheria. Wananchi wanauheshimu wimbo wao wa Taifa, wimbo huo kwao unasymbolize Taifa moja na kwa wananchi wimbo huo upo juu ya vikundi vya watu kama vile vyama vya siasa n. k. Sasa kitendo cha kutetea kubadili matumizi ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama ndani yake kunatuma meseji kuwa hawa watu ni wapenda fujo, wasiofuata taratitibu.
Utetezi kuwa mbona UVCCM nao waliimba tofauti hausaidii, maana wananchi wanajua kuwa uongozi wa Juu wa vyama ndiyo wenye kuwakilisha misimamo halisi ya vyama na siyo hao watoto wa UVCCM. Kwa hiyo inapotokea viongozi wa Chadema wanafanya makosa kama haya, halafu Lissu anatetea, inatuma meseji kuwa huyu ni. mpenda vurugu, moenda malumbano, kwa hiyo wanamshusha hadhi
Nina mapendekezo yafuatayo kwa Lissu na Chadema
1. Lissu anza kuzungumzia issues, ili watu waone una substance zilizoshiba zile zinazohusu ugali wa wananchi zaidi
2.Kwenye kipindi hiki kuelekea uchaguzi, CHADEMA lazima mcoordinate anachozungumza Lissu kwenye Vyombo vya habari, fahamuni kuna vyombo vitajaribu kumframe ili kuzungumza vitu ambavyo atatoa boko halafu vitumike kisiasa dhidi yake na Chadema ili kuwadiscredit mbele ya wananchi.
3. Lissu, kuwa confident kama ulivyo ila kuwa humble zaidi, wananchi hawapendi arrogance, overconfidence
4. Lissu una mtaji wa huruma ya wananchi, itumie hiyo vizuri kukusaidia kwenye kampeni, Fahamu kwamba kila aliyesikitika na tukio lililokufika ni potential voter wako. Kila aliyetoa senti yake kwako ni potential voter wako, na kila sliyekuombea dua ni potential voter wako. Lakini cha kufanya, ni kuhakikisha watu wanakuona katika positive light
5. Ndani ya Chadema najua chama kipo kwenye paralyisis namna gani ya kumuweka Lisu kwenye msitari, hakijajua kitamuwekaje sawa ili acheze katika mistari ya hulka za taswira ya rais. Sasa inabidi watafute namna ya kuliweka sawa hilo jambo
Kiufupi CCM walikuwa kwenye shock namna ya kuhandle umaarufu wa Lissu, ila inavyoonekana wameanza kutoboa matobo kidogokidogo katika haiba ya Lissu, Chadema na Lissu wawe makini na stratergy hii ya CCM.
Lissu kwenye hoja hasa za kisheria, haki za binadamu na katiba hakuna ndani ya CCM anayemuweza, ila wenzie ni wajuzi sana wa siasa, wanajua namna ya kumanipulate mtu wa chini kabisa hata kwa propaganda ili awaunge mkono. Kwa hiyo Lissu inabidi anyanyue zaidi game yake kuliko ilivyo sasa.
JIWE LIMEPATA DAWA YAKE HASAA,Yaan mti mzima unakaa kabisa na unahis lisu atakua rahisi wa tanzania ndio rahis naona mmestuka yaan hata lisu mwenyewe atawashangaa yeye yupo kwa ajili ya kuzingua zingua
Ndiyo maana hatashinda kama ataendelea kuwa hivi.Lissu hiyo ndio caliber yake amekuwa hivyo hadi kuwa tishio kubwa kwa Jpm na utawala wake. Hakuna jipya. Tunampendea hicho hicho. Hutaki unaacha.
WEWE UNATAKA AZUNGUMZIE AJENDA ALIYONAYO KWA NCHI KWA UREFU KWANI KAMPENI ZIMEANZA MKUU?Kosa moja ambalo Lissu anafanya hivi sasa ni kuaccumulate makosa mengi ya kisiasa ambayo CCM wanaweza kuyatumia dhidi yake.
Tangu arudi nchini Lissu ameshafanya makosa kadha wa kadha ambayo asipokuwa makini na akaendelea kuyafanya yataanza kumpungunzia mtaji wa kisiasa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.
Makosa yenyewe ni yafuatayo
1. Hazungumzii kwa kirefu ana ajenda gani ya maendeleo kwa wananchi, kitu kimoja ambacho amekielezea kwa ufanisi sana ni kuhusu suala la katiba mpya na umuhimu wake, lakini Lissu anapwaya sana kwenye kuelezea Issues zinazohusu ugali mezani mwa wananchi, Lissu kwa mfano hawezi kuzungumza zaidi ya dakika moja kuhusu mkulima na kilimo chake, mfanyakazi wa umma na maslahi yake, Elimu na namna ya kuiboresha, wavuvi na uvuvi wao, Wamachinga, miundo mbinu, Lissu haarticulate vizuri hizo issues. Lissu hazungumzii Ufisadi kabisa na kwamba ana mpango gani wa kukomesha rushwa, ufisadi na plan ipi aliyokuwa nayo juu ya Taifa ili kunufaika na rasilimali zake
2. Pili Suala la kuponda hali ya COVID-19 nchini na kudai ipo sana na kulizungumza bila ushahidi wa Data, na kuongea kitu ambacho yeye binafsi hatekelezi, inamuexpose kama mwanasiasa msema chochote ilimradi kusema lakini hasimamii anachokisema. Tangu Lissu aje, ameonekana kwenye mikusanyiko ya watu wengi, ndani ya vikao vya chama, kwenye mapokezi yake n. k, huko kote hajaweka social distance wala kuvaa barakoa, iweje leo atwambie kwenye TV ya Kenya kuwa Tanzania kuna Korona nyingi na kuwataka watu wavae barakoa na kuweka social distance?. Kitu kimoja ambacho Lissu lazima akielewe ni kwamba Magufuli pamoja na kuhandle issue ya Korona kwa tofauti sana, amejitahidi sana kuspin situation nchini ilivyo kwa kuvurugavuruga channel rasmi za taarifa kiasi kwamba leo ni vigumu kujua hali halisi ya Korona nchini, hata hivyo kitu kimoja kilicho obvious ni kwamba Magufuli ana ratings kubwa ajabu miongoni mwa wananchi kwa jinsi alivyohandle issue hii ya Korona japo jinsi alivyoihsndle siyo kisayansi. Kwa hiyo Lissu wakati anaongea haya ajue anaongea na Watanzania wa namna gani, Wengi hawawezi kumuunga mkono unless aje na data zisizoweza kutiliwa shaka hata kidogo. Ila hii ya kupinga bila data inawafanya wananchi wamuondolee credibility
3. Issue ya Wimbo wa Taifa pia haikuwa sahihi Lissu kuitolea comment. Ilitakiwa chama chenyewe ndo kiseme. Kama tulivyokwishajadili humu, Kuna makosa ya Kisiasa na makosa ya kisheria. Issue ya Wimbo wa Taifa ni Issue ya Kisiasa na Kijamii. Siyo lazima kila kanuni iandikwe kwenye vitabu vya sheria. Wananchi wanauheshimu wimbo wao wa Taifa, wimbo huo kwao unasymbolize Taifa moja na kwa wananchi wimbo huo upo juu ya vikundi vya watu kama vile vyama vya siasa n. k. Sasa kitendo cha kutetea kubadili matumizi ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama ndani yake kunatuma meseji kuwa hawa watu ni wapenda fujo, wasiofuata taratitibu.
Utetezi kuwa mbona UVCCM nao waliimba tofauti hausaidii, maana wananchi wanajua kuwa uongozi wa Juu wa vyama ndiyo wenye kuwakilisha misimamo halisi ya vyama na siyo hao watoto wa UVCCM. Kwa hiyo inapotokea viongozi wa Chadema wanafanya makosa kama haya, halafu Lissu anatetea, inatuma meseji kuwa huyu ni. mpenda vurugu, moenda malumbano, kwa hiyo wanamshusha hadhi
Nina mapendekezo yafuatayo kwa Lissu na Chadema
1. Lissu anza kuzungumzia issues, ili watu waone una substance zilizoshiba zile zinazohusu ugali wa wananchi zaidi
2.Kwenye kipindi hiki kuelekea uchaguzi, CHADEMA lazima mcoordinate anachozungumza Lissu kwenye Vyombo vya habari, fahamuni kuna vyombo vitajaribu kumframe ili kuzungumza vitu ambavyo atatoa boko halafu vitumike kisiasa dhidi yake na Chadema ili kuwadiscredit mbele ya wananchi.
3. Lissu, kuwa confident kama ulivyo ila kuwa humble zaidi, wananchi hawapendi arrogance, overconfidence
4. Lissu una mtaji wa huruma ya wananchi, itumie hiyo vizuri kukusaidia kwenye kampeni, Fahamu kwamba kila aliyesikitika na tukio lililokufika ni potential voter wako. Kila aliyetoa senti yake kwako ni potential voter wako, na kila sliyekuombea dua ni potential voter wako. Lakini cha kufanya, ni kuhakikisha watu wanakuona katika positive light
5. Ndani ya Chadema najua chama kipo kwenye paralyisis namna gani ya kumuweka Lisu kwenye msitari, hakijajua kitamuwekaje sawa ili acheze katika mistari ya hulka za taswira ya rais. Sasa inabidi watafute namna ya kuliweka sawa hilo jambo
Kiufupi CCM walikuwa kwenye shock namna ya kuhandle umaarufu wa Lissu, ila inavyoonekana wameanza kutoboa matobo kidogokidogo katika haiba ya Lissu, Chadema na Lissu wawe makini na stratergy hii ya CCM.
Lissu kwenye hoja hasa za kisheria, haki za binadamu na katiba hakuna ndani ya CCM anayemuweza, ila wenzie ni wajuzi sana wa siasa, wanajua namna ya kumanipulate mtu wa chini kabisa hata kwa propaganda ili awaunge mkono. Kwa hiyo Lissu inabidi anyanyue zaidi game yake kuliko ilivyo sasa.