Uchaguzi 2020 Makosa ya Lissu yanaweza kutumiwa na CCM kumzidi kete kisiasa

Uchaguzi 2020 Makosa ya Lissu yanaweza kutumiwa na CCM kumzidi kete kisiasa

CCM wanasaka kisingizio cha kumpakazia kaanza kampeni mapema wapate kumwekea pingamizi NEC Lisu anasubiria kamati kuu ya CCM Dodoma iwaengue wagombea walioshinda kura za maoni kwa haki kisha wakatengenezewa mizengwe fitna wivu wamewapelekea report za chuki wameenguliwa kwa uonevu, hao ni mtaji mojawapo kwani watatoa msaada wa siri za CCM na pia watawapigia kura wapinzani, Lisu anazo sera za kutosha na pia anao wana CCM wengi wanaomuunga mkono wakiwemo watumishi wa umma waliokosa nyongeza ya mshahara kwa mda wa miaka mitano.
 
Kampeni zikianza, tunaomba CHADEMA mzingatie huu ushauri.
Kumbe na wewe Kuna nyakati huwa unakua na akili timamu?
Mliambiwa mfungue redio na tv zenu badala yake mkawa mnaponda ruzuku kwa kwenda picnic Mombasa na kufanya mikutano kwenye mahoteli ya kifahari
Huwezi kuchukia nchi kwa kuhutubia kupitia Facebook au Tv ya kenya
 
Mimi binafsi naamini ukiiondoa CCM madarakani,utakuwa umesolve kila tatizo linalowakabiri watanzania,the only problem ninayoiona watanzania wengi tumeadhiriwa na viongozi uchwara aina ya kina Magu wanaoongelea petty issues kila Mara,Sasa Kama rais anaongelea masoko na stend, anaongelea vibarabara vya halmashauri,anaongelea vizahanati badala ya kuongelea national health systems ,Kuna nini tena hapo?

you really need a good education, nchi kama tz ni wealthy lakini kuna viwananchi kama wewe mnaonekana hasara kuwepo apa! ivi unadhan ivo vyooooote alivofanya ni kama 0 havina kazi? may you wait for your messiah and see how life will be for you
 
Ndio huyo chiba sasa ambae hana sera hajui hoja za kumkomboa mtanzania zaid umbea na majungu urais uwe na kitu kichwan very smart
Kuwa na kitu kuchwani ni kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani? Kuzuia mikutano ya siasa kinyume cha Sheria na katiba kuvunja Sheria za vyama vingi Uhuru wa kufanya siasa ni kuwa na kitu kuchwani, kurusu Majungu kwenye kura za maoni uchaguzi wa CCM ni kuwakomboa watanzania? Kupiga trilion 1.5 wakamtoa kafara CAG ni kumkomboa matanzania? Jibu haya maswali kwanza kabla sijakuongeza mengine
 
wale wasanii waliokua wanawatungia ukawa nyimbo za kampeni mbna siwaoni tena? hamjachelewa bado lakini tafuteni
 
Mimi binafsi naamini ukiiondoa CCM madarakani,utakuwa umesolve kila tatizo linalowakabiri watanzania,the only problem ninayoiona watanzania wengi tumeadhiriwa na viongozi uchwara aina ya kina Magu wanaoongelea petty issues kila Mara,Sasa Kama rais anaongelea masoko na stend, anaongelea vibarabara vya halmashauri,anaongelea vizahanati badala ya kuongelea national health systems ,Kuna nini tena hapo?

Kumbuka hizo unazoziita petty issues ndizo zilizokua moja ya kero kubwa kwa wananchi na ndizo zilizompa Magu kura baada ya kuahidi kukabiliana nazo ktk uchaguzi uliopita, na sasa anaenda kushinda tena kwa kura nyingi baada ya kudhihirisha uwezo na dhamira yake ya kutatua kero hizo.
Huwezi kuanza kuongelea national health system wakati miundombinu toka ngazi za wilaya na kata ni mibovu.
Nilichokiona kwa sasa kutoka upinzani,hakuna agenda muhimu zinazogusa maisha ya mwananchi moja kwa moja kwani karibia agenda muhimu zote zilisha pokwa na ccm ndiomana hata huwezi kusikia akina Lissu au Zitto wakizungumzia kuhusu ufisadi au miundombinu n.k.
Hizi mambo za human rights,freedom of expression hazitoweza kuwavusha kwani ni nadharia tu lkn ki vitendo wananchi kwa ujumla hawajaathirika navyo.
 
Ni ushauri murwa sana mkuu, sio kila jambo La kujibu lissu, yako mengine wajibu viongozi wa chadema, pia siku ya kuzindua kampeni kila eneo lichambuliwe vizuri na mgombea.pia ilani isambazwe vizuri maeneo mbalimbali ili watu wajisomee isiwe kificho.
 
Kosa moja ambalo Lissu anafanya hivi sasa ni kuaccumulate makosa mengi ya kisiasa ambayo CCM wanaweza kuyatumia dhidi yake.

Tangu arudi nchini Lissu ameshafanya makosa kadha wa kadha ambayo asipokuwa makini na akaendelea kuyafanya yataanza kumpungunzia mtaji wa kisiasa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.

Makosa yenyewe ni yafuatayo

1. Hazungumzii kwa kirefu ana ajenda gani ya maendeleo kwa wananchi, kitu kimoja ambacho amekielezea kwa ufanisi sana ni kuhusu suala la katiba mpya na umuhimu wake, lakini Lissu anapwaya sana kwenye kuelezea Issues zinazohusu ugali mezani mwa wananchi, Lissu kwa mfano hawezi kuzungumza zaidi ya dakika moja kuhusu mkulima na kilimo chake, mfanyakazi wa umma na maslahi yake, Elimu na namna ya kuiboresha, wavuvi na uvuvi wao, Wamachinga, miundo mbinu, Lissu haarticulate vizuri hizo issues. Lissu hazungumzii Ufisadi kabisa na kwamba ana mpango gani wa kukomesha rushwa, ufisadi na plan ipi aliyokuwa nayo juu ya Taifa ili kunufaika na rasilimali zake

2. Pili Suala la kuponda hali ya COVID-19 nchini na kudai ipo sana na kulizungumza bila ushahidi wa Data, na kuongea kitu ambacho yeye binafsi hatekelezi, inamuexpose kama mwanasiasa msema chochote ilimradi kusema lakini hasimamii anachokisema. Tangu Lissu aje, ameonekana kwenye mikusanyiko ya watu wengi, ndani ya vikao vya chama, kwenye mapokezi yake n. k, huko kote hajaweka social distance wala kuvaa barakoa, iweje leo atwambie kwenye TV ya Kenya kuwa Tanzania kuna Korona nyingi na kuwataka watu wavae barakoa na kuweka social distance?. Kitu kimoja ambacho Lissu lazima akielewe ni kwamba Magufuli pamoja na kuhandle issue ya Korona kwa tofauti sana, amejitahidi sana kuspin situation nchini ilivyo kwa kuvurugavuruga channel rasmi za taarifa kiasi kwamba leo ni vigumu kujua hali halisi ya Korona nchini, hata hivyo kitu kimoja kilicho obvious ni kwamba Magufuli ana ratings kubwa ajabu miongoni mwa wananchi kwa jinsi alivyohandle issue hii ya Korona japo jinsi alivyoihsndle siyo kisayansi. Kwa hiyo Lissu wakati anaongea haya ajue anaongea na Watanzania wa namna gani, Wengi hawawezi kumuunga mkono unless aje na data zisizoweza kutiliwa shaka hata kidogo. Ila hii ya kupinga bila data inawafanya wananchi wamuondolee credibility

3. Issue ya Wimbo wa Taifa pia haikuwa sahihi Lissu kuitolea comment. Ilitakiwa chama chenyewe ndo kiseme. Kama tulivyokwishajadili humu, Kuna makosa ya Kisiasa na makosa ya kisheria. Issue ya Wimbo wa Taifa ni Issue ya Kisiasa na Kijamii. Siyo lazima kila kanuni iandikwe kwenye vitabu vya sheria. Wananchi wanauheshimu wimbo wao wa Taifa, wimbo huo kwao unasymbolize Taifa moja na kwa wananchi wimbo huo upo juu ya vikundi vya watu kama vile vyama vya siasa n. k. Sasa kitendo cha kutetea kubadili matumizi ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama ndani yake kunatuma meseji kuwa hawa watu ni wapenda fujo, wasiofuata taratitibu.
Utetezi kuwa mbona UVCCM nao waliimba tofauti hausaidii, maana wananchi wanajua kuwa uongozi wa Juu wa vyama ndiyo wenye kuwakilisha misimamo halisi ya vyama na siyo hao watoto wa UVCCM. Kwa hiyo inapotokea viongozi wa Chadema wanafanya makosa kama haya, halafu Lissu anatetea, inatuma meseji kuwa huyu ni. mpenda vurugu, moenda malumbano, kwa hiyo wanamshusha hadhi

Nina mapendekezo yafuatayo kwa Lissu na Chadema

1. Lissu anza kuzungumzia issues, ili watu waone una substance zilizoshiba zile zinazohusu ugali wa wananchi zaidi

2.Kwenye kipindi hiki kuelekea uchaguzi, CHADEMA lazima mcoordinate anachozungumza Lissu kwenye Vyombo vya habari, fahamuni kuna vyombo vitajaribu kumframe ili kuzungumza vitu ambavyo atatoa boko halafu vitumike kisiasa dhidi yake na Chadema ili kuwadiscredit mbele ya wananchi.

3. Lissu, kuwa confident kama ulivyo ila kuwa humble zaidi, wananchi hawapendi arrogance, overconfidence

4. Lissu una mtaji wa huruma ya wananchi, itumie hiyo vizuri kukusaidia kwenye kampeni, Fahamu kwamba kila aliyesikitika na tukio lililokufika ni potential voter wako. Kila aliyetoa senti yake kwako ni potential voter wako, na kila sliyekuombea dua ni potential voter wako. Lakini cha kufanya, ni kuhakikisha watu wanakuona katika positive light

5. Ndani ya Chadema najua chama kipo kwenye paralyisis namna gani ya kumuweka Lisu kwenye msitari, hakijajua kitamuwekaje sawa ili acheze katika mistari ya hulka za taswira ya rais. Sasa inabidi watafute namna ya kuliweka sawa hilo jambo

Kiufupi CCM walikuwa kwenye shock namna ya kuhandle umaarufu wa Lissu, ila inavyoonekana wameanza kutoboa matobo kidogokidogo katika haiba ya Lissu, Chadema na Lissu wawe makini na stratergy hii ya CCM.

Lissu kwenye hoja hasa za kisheria, haki za binadamu na katiba hakuna ndani ya CCM anayemuweza, ila wenzie ni wajuzi sana wa siasa, wanajua namna ya kumanipulate mtu wa chini kabisa hata kwa propaganda ili awaunge mkono. Kwa hiyo Lissu inabidi anyanyue zaidi game yake kuliko ilivyo sasa.
Hana maono, wala usiseme makosa ' nikwamba yeye uwezo wake umeishia hapo
 
Lisu lazima afiche sera zake mpaka kampeni ikianza ndipo ataanza kushusha nondo vizuri, mda huu anawavuruga CCM wapagawe kwanza

Anajivuruga mwenyewe😀
Subilini muone vumbi mtakalotimuliwa safari hii.
 
Ushauri mzuri sana wa mtu uliyekomaa kifikra na hekima ya hali ya juu
Kosa moja ambalo Lissu anafanya hivi sasa ni kuaccumulate makosa mengi ya kisiasa ambayo CCM wanaweza kuyatumia dhidi yake.

Tangu arudi nchini Lissu ameshafanya makosa kadha wa kadha ambayo asipokuwa makini na akaendelea kuyafanya yataanza kumpungunzia mtaji wa kisiasa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.

Makosa yenyewe ni yafuatayo

1. Hazungumzii kwa kirefu ana ajenda gani ya maendeleo kwa wananchi, kitu kimoja ambacho amekielezea kwa ufanisi sana ni kuhusu suala la katiba mpya na umuhimu wake, lakini Lissu anapwaya sana kwenye kuelezea Issues zinazohusu ugali mezani mwa wananchi, Lissu kwa mfano hawezi kuzungumza zaidi ya dakika moja kuhusu mkulima na kilimo chake, mfanyakazi wa umma na maslahi yake, Elimu na namna ya kuiboresha, wavuvi na uvuvi wao, Wamachinga, miundo mbinu, Lissu haarticulate vizuri hizo issues. Lissu hazungumzii Ufisadi kabisa na kwamba ana mpango gani wa kukomesha rushwa, ufisadi na plan ipi aliyokuwa nayo juu ya Taifa ili kunufaika na rasilimali zake

2. Pili Suala la kuponda hali ya COVID-19 nchini na kudai ipo sana na kulizungumza bila ushahidi wa Data, na kuongea kitu ambacho yeye binafsi hatekelezi, inamuexpose kama mwanasiasa msema chochote ilimradi kusema lakini hasimamii anachokisema. Tangu Lissu aje, ameonekana kwenye mikusanyiko ya watu wengi, ndani ya vikao vya chama, kwenye mapokezi yake n. k, huko kote hajaweka social distance wala kuvaa barakoa, iweje leo atwambie kwenye TV ya Kenya kuwa Tanzania kuna Korona nyingi na kuwataka watu wavae barakoa na kuweka social distance?. Kitu kimoja ambacho Lissu lazima akielewe ni kwamba Magufuli pamoja na kuhandle issue ya Korona kwa tofauti sana, amejitahidi sana kuspin situation nchini ilivyo kwa kuvurugavuruga channel rasmi za taarifa kiasi kwamba leo ni vigumu kujua hali halisi ya Korona nchini, hata hivyo kitu kimoja kilicho obvious ni kwamba Magufuli ana ratings kubwa ajabu miongoni mwa wananchi kwa jinsi alivyohandle issue hii ya Korona japo jinsi alivyoihsndle siyo kisayansi. Kwa hiyo Lissu wakati anaongea haya ajue anaongea na Watanzania wa namna gani, Wengi hawawezi kumuunga mkono unless aje na data zisizoweza kutiliwa shaka hata kidogo. Ila hii ya kupinga bila data inawafanya wananchi wamuondolee credibility

3. Issue ya Wimbo wa Taifa pia haikuwa sahihi Lissu kuitolea comment. Ilitakiwa chama chenyewe ndo kiseme. Kama tulivyokwishajadili humu, Kuna makosa ya Kisiasa na makosa ya kisheria. Issue ya Wimbo wa Taifa ni Issue ya Kisiasa na Kijamii. Siyo lazima kila kanuni iandikwe kwenye vitabu vya sheria. Wananchi wanauheshimu wimbo wao wa Taifa, wimbo huo kwao unasymbolize Taifa moja na kwa wananchi wimbo huo upo juu ya vikundi vya watu kama vile vyama vya siasa n. k. Sasa kitendo cha kutetea kubadili matumizi ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama ndani yake kunatuma meseji kuwa hawa watu ni wapenda fujo, wasiofuata taratitibu.
Utetezi kuwa mbona UVCCM nao waliimba tofauti hausaidii, maana wananchi wanajua kuwa uongozi wa Juu wa vyama ndiyo wenye kuwakilisha misimamo halisi ya vyama na siyo hao watoto wa UVCCM. Kwa hiyo inapotokea viongozi wa Chadema wanafanya makosa kama haya, halafu Lissu anatetea, inatuma meseji kuwa huyu ni. mpenda vurugu, moenda malumbano, kwa hiyo wanamshusha hadhi

Nina mapendekezo yafuatayo kwa Lissu na Chadema

1. Lissu anza kuzungumzia issues, ili watu waone una substance zilizoshiba zile zinazohusu ugali wa wananchi zaidi

2.Kwenye kipindi hiki kuelekea uchaguzi, CHADEMA lazima mcoordinate anachozungumza Lissu kwenye Vyombo vya habari, fahamuni kuna vyombo vitajaribu kumframe ili kuzungumza vitu ambavyo atatoa boko halafu vitumike kisiasa dhidi yake na Chadema ili kuwadiscredit mbele ya wananchi.

3. Lissu, kuwa confident kama ulivyo ila kuwa humble zaidi, wananchi hawapendi arrogance, overconfidence

4. Lissu una mtaji wa huruma ya wananchi, itumie hiyo vizuri kukusaidia kwenye kampeni, Fahamu kwamba kila aliyesikitika na tukio lililokufika ni potential voter wako. Kila aliyetoa senti yake kwako ni potential voter wako, na kila sliyekuombea dua ni potential voter wako. Lakini cha kufanya, ni kuhakikisha watu wanakuona katika positive light

5. Ndani ya Chadema najua chama kipo kwenye paralyisis namna gani ya kumuweka Lisu kwenye msitari, hakijajua kitamuwekaje sawa ili acheze katika mistari ya hulka za taswira ya rais. Sasa inabidi watafute namna ya kuliweka sawa hilo jambo

Kiufupi CCM walikuwa kwenye shock namna ya kuhandle umaarufu wa Lissu, ila inavyoonekana wameanza kutoboa matobo kidogokidogo katika haiba ya Lissu, Chadema na Lissu wawe makini na stratergy hii ya CCM.

Lissu kwenye hoja hasa za kisheria, haki za binadamu na katiba hakuna ndani ya CCM anayemuweza, ila wenzie ni wajuzi sana wa siasa, wanajua namna ya kumanipulate mtu wa chini kabisa hata kwa propaganda ili awaunge mkono. Kwa hiyo Lissu inabidi anyanyue zaidi game yake kuliko ilivyo sasa.
 
Kosa moja ambalo Lissu anafanya hivi sasa ni kuaccumulate makosa mengi ya kisiasa ambayo CCM wanaweza kuyatumia dhidi yake.

Tangu arudi nchini Lissu ameshafanya makosa kadha wa kadha ambayo asipokuwa makini na akaendelea kuyafanya yataanza kumpungunzia mtaji wa kisiasa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.

Makosa yenyewe ni yafuatayo

1. Hazungumzii kwa kirefu ana ajenda gani ya maendeleo kwa wananchi, kitu kimoja ambacho amekielezea kwa ufanisi sana ni kuhusu suala la katiba mpya na umuhimu wake, lakini Lissu anapwaya sana kwenye kuelezea Issues zinazohusu ugali mezani mwa wananchi, Lissu kwa mfano hawezi kuzungumza zaidi ya dakika moja kuhusu mkulima na kilimo chake, mfanyakazi wa umma na maslahi yake, Elimu na namna ya kuiboresha, wavuvi na uvuvi wao, Wamachinga, miundo mbinu, Lissu haarticulate vizuri hizo issues. Lissu hazungumzii Ufisadi kabisa na kwamba ana mpango gani wa kukomesha rushwa, ufisadi na plan ipi aliyokuwa nayo juu ya Taifa ili kunufaika na rasilimali zake

2. Pili Suala la kuponda hali ya COVID-19 nchini na kudai ipo sana na kulizungumza bila ushahidi wa Data, na kuongea kitu ambacho yeye binafsi hatekelezi, inamuexpose kama mwanasiasa msema chochote ilimradi kusema lakini hasimamii anachokisema. Tangu Lissu aje, ameonekana kwenye mikusanyiko ya watu wengi, ndani ya vikao vya chama, kwenye mapokezi yake n. k, huko kote hajaweka social distance wala kuvaa barakoa, iweje leo atwambie kwenye TV ya Kenya kuwa Tanzania kuna Korona nyingi na kuwataka watu wavae barakoa na kuweka social distance?. Kitu kimoja ambacho Lissu lazima akielewe ni kwamba Magufuli pamoja na kuhandle issue ya Korona kwa tofauti sana, amejitahidi sana kuspin situation nchini ilivyo kwa kuvurugavuruga channel rasmi za taarifa kiasi kwamba leo ni vigumu kujua hali halisi ya Korona nchini, hata hivyo kitu kimoja kilicho obvious ni kwamba Magufuli ana ratings kubwa ajabu miongoni mwa wananchi kwa jinsi alivyohandle issue hii ya Korona japo jinsi alivyoihsndle siyo kisayansi. Kwa hiyo Lissu wakati anaongea haya ajue anaongea na Watanzania wa namna gani, Wengi hawawezi kumuunga mkono unless aje na data zisizoweza kutiliwa shaka hata kidogo. Ila hii ya kupinga bila data inawafanya wananchi wamuondolee credibility

3. Issue ya Wimbo wa Taifa pia haikuwa sahihi Lissu kuitolea comment. Ilitakiwa chama chenyewe ndo kiseme. Kama tulivyokwishajadili humu, Kuna makosa ya Kisiasa na makosa ya kisheria. Issue ya Wimbo wa Taifa ni Issue ya Kisiasa na Kijamii. Siyo lazima kila kanuni iandikwe kwenye vitabu vya sheria. Wananchi wanauheshimu wimbo wao wa Taifa, wimbo huo kwao unasymbolize Taifa moja na kwa wananchi wimbo huo upo juu ya vikundi vya watu kama vile vyama vya siasa n. k. Sasa kitendo cha kutetea kubadili matumizi ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama ndani yake kunatuma meseji kuwa hawa watu ni wapenda fujo, wasiofuata taratitibu.
Utetezi kuwa mbona UVCCM nao waliimba tofauti hausaidii, maana wananchi wanajua kuwa uongozi wa Juu wa vyama ndiyo wenye kuwakilisha misimamo halisi ya vyama na siyo hao watoto wa UVCCM. Kwa hiyo inapotokea viongozi wa Chadema wanafanya makosa kama haya, halafu Lissu anatetea, inatuma meseji kuwa huyu ni. mpenda vurugu, moenda malumbano, kwa hiyo wanamshusha hadhi

Nina mapendekezo yafuatayo kwa Lissu na Chadema

1. Lissu anza kuzungumzia issues, ili watu waone una substance zilizoshiba zile zinazohusu ugali wa wananchi zaidi

2.Kwenye kipindi hiki kuelekea uchaguzi, CHADEMA lazima mcoordinate anachozungumza Lissu kwenye Vyombo vya habari, fahamuni kuna vyombo vitajaribu kumframe ili kuzungumza vitu ambavyo atatoa boko halafu vitumike kisiasa dhidi yake na Chadema ili kuwadiscredit mbele ya wananchi.

3. Lissu, kuwa confident kama ulivyo ila kuwa humble zaidi, wananchi hawapendi arrogance, overconfidence

4. Lissu una mtaji wa huruma ya wananchi, itumie hiyo vizuri kukusaidia kwenye kampeni, Fahamu kwamba kila aliyesikitika na tukio lililokufika ni potential voter wako. Kila aliyetoa senti yake kwako ni potential voter wako, na kila sliyekuombea dua ni potential voter wako. Lakini cha kufanya, ni kuhakikisha watu wanakuona katika positive light

5. Ndani ya Chadema najua chama kipo kwenye paralyisis namna gani ya kumuweka Lisu kwenye msitari, hakijajua kitamuwekaje sawa ili acheze katika mistari ya hulka za taswira ya rais. Sasa inabidi watafute namna ya kuliweka sawa hilo jambo

Kiufupi CCM walikuwa kwenye shock namna ya kuhandle umaarufu wa Lissu, ila inavyoonekana wameanza kutoboa matobo kidogokidogo katika haiba ya Lissu, Chadema na Lissu wawe makini na stratergy hii ya CCM.

Lissu kwenye hoja hasa za kisheria, haki za binadamu na katiba hakuna ndani ya CCM anayemuweza, ila wenzie ni wajuzi sana wa siasa, wanajua namna ya kumanipulate mtu wa chini kabisa hata kwa propaganda ili awaunge mkono. Kwa hiyo Lissu inabidi anyanyue zaidi game yake kuliko ilivyo sasa.
Missile of the Nation umetoa muongozo na ushauri mzuri sana kwa wakati sahihi. Shida ni kwa mlengwa na wapokeaji, je watakuelewa? Na hata akikuelewa wananchi watamuelewa? Watanzania tunajuana na wajumbe wamethibitisha
Tusubiri kampeni tusikie mipango yake na utekelezwaji kama itawezekana
 
JamiiForums kuna nawazo mzuri sana kwa wanasiasa.

Hata hivyo,tatizo mojawapo ni kuwa,media hazitoa uzito katika kuripoti issue zingine anazozungumzia Lissu na mfano mzuri ni issue ya TRA na kodi kwa wafanyabiashara ambayo aliiongelea hivi karibuni.

Lissu pia majuzi ameongelea maswala ya wafanyakazi na ubora wa elimu yetu ila mitandaoni na kwenye media haya hayaripotiwa/hayaandikwa sana.

Issu nyingine ni wanaomuhoji nao wanachangia kumfanya kila wakati aongelee issue ya yeye kushambuliwa na maswala ya utawala wa Bora.

Lissu kwa sasa anatakiwa awe makini na wanaomuhoji na asikubali wamuelekeze kwenye hoja hizi za kila siku ambazo ameshazisema sana.

Lissu sasa atumie muda mwingi kuelezea matatizo yanayogusa wananchi moja kwa moja kama vile mishahara duni ya wafanyakazi, makato katili ya Bodi ya Mikopo,matatizo ya mafao kwa kastaafu, kero za maji,mfumuko wa bei ,mfano tatizo la bei ya sukari, watu kutekwa,PAYE kwa wafanyakazi,pembejeo kwa wakulima,n.k

Tatizo lingine ni kukosekana watu wa kuandika na kusambaza hotuba za Lissu mitandaoni na badala yake wanasamba zaidi clips na tweet za anayoyasema hivyo watu wanashindwa kupata hotuba zake kwa ukamilifu.

Athari za kutoipata hotuba kwa ukamilifu, ni watu wa propaganda wa chama fulani kuchukua sehemu fulani tu za hotuba kwa lengo la kupotosha huku wakiacha kwa makusudi sehemu ya hotuba inayoweza kujibu propaganda waliyoitengeneza kwa kutumia hotuba hiyo(wanachukua vipande tu wanavyoweza kuvifanyia propaganda)

Clips kusikiliza ni gharama, hivyo wengi kushindwa kusikiliza hotuba zake kwa kirefu kupitia mitandaoni.

Kampeni zikianza, tunaomba CHADEMA mzingatie huu ushauri.

Muda wa kuhitaji huduma za wana mikakati nguli kama kina David Axelrod ni sasa:

Ushauri wa bure kwenu Makamanda na wanamageuzi watukuka
 
Keshapotea kwa kulopokalopoka
Kosa moja ambalo Lissu anafanya hivi sasa ni kuaccumulate makosa mengi ya kisiasa ambayo CCM wanaweza kuyatumia dhidi yake.

Tangu arudi nchini Lissu ameshafanya makosa kadha wa kadha ambayo asipokuwa makini na akaendelea kuyafanya yataanza kumpungunzia mtaji wa kisiasa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.

Makosa yenyewe ni yafuatayo

1. Hazungumzii kwa kirefu ana ajenda gani ya maendeleo kwa wananchi, kitu kimoja ambacho amekielezea kwa ufanisi sana ni kuhusu suala la katiba mpya na umuhimu wake, lakini Lissu anapwaya sana kwenye kuelezea Issues zinazohusu ugali mezani mwa wananchi, Lissu kwa mfano hawezi kuzungumza zaidi ya dakika moja kuhusu mkulima na kilimo chake, mfanyakazi wa umma na maslahi yake, Elimu na namna ya kuiboresha, wavuvi na uvuvi wao, Wamachinga, miundo mbinu, Lissu haarticulate vizuri hizo issues. Lissu hazungumzii Ufisadi kabisa na kwamba ana mpango gani wa kukomesha rushwa, ufisadi na plan ipi aliyokuwa nayo juu ya Taifa ili kunufaika na rasilimali zake

2. Pili Suala la kuponda hali ya COVID-19 nchini na kudai ipo sana na kulizungumza bila ushahidi wa Data, na kuongea kitu ambacho yeye binafsi hatekelezi, inamuexpose kama mwanasiasa msema chochote ilimradi kusema lakini hasimamii anachokisema. Tangu Lissu aje, ameonekana kwenye mikusanyiko ya watu wengi, ndani ya vikao vya chama, kwenye mapokezi yake n. k, huko kote hajaweka social distance wala kuvaa barakoa, iweje leo atwambie kwenye TV ya Kenya kuwa Tanzania kuna Korona nyingi na kuwataka watu wavae barakoa na kuweka social distance?. Kitu kimoja ambacho Lissu lazima akielewe ni kwamba Magufuli pamoja na kuhandle issue ya Korona kwa tofauti sana, amejitahidi sana kuspin situation nchini ilivyo kwa kuvurugavuruga channel rasmi za taarifa kiasi kwamba leo ni vigumu kujua hali halisi ya Korona nchini, hata hivyo kitu kimoja kilicho obvious ni kwamba Magufuli ana ratings kubwa ajabu miongoni mwa wananchi kwa jinsi alivyohandle issue hii ya Korona japo jinsi alivyoihsndle siyo kisayansi. Kwa hiyo Lissu wakati anaongea haya ajue anaongea na Watanzania wa namna gani, Wengi hawawezi kumuunga mkono unless aje na data zisizoweza kutiliwa shaka hata kidogo. Ila hii ya kupinga bila data inawafanya wananchi wamuondolee credibility

3. Issue ya Wimbo wa Taifa pia haikuwa sahihi Lissu kuitolea comment. Ilitakiwa chama chenyewe ndo kiseme. Kama tulivyokwishajadili humu, Kuna makosa ya Kisiasa na makosa ya kisheria. Issue ya Wimbo wa Taifa ni Issue ya Kisiasa na Kijamii. Siyo lazima kila kanuni iandikwe kwenye vitabu vya sheria. Wananchi wanauheshimu wimbo wao wa Taifa, wimbo huo kwao unasymbolize Taifa moja na kwa wananchi wimbo huo upo juu ya vikundi vya watu kama vile vyama vya siasa n. k. Sasa kitendo cha kutetea kubadili matumizi ya wimbo wa Taifa na kuweka uvyama ndani yake kunatuma meseji kuwa hawa watu ni wapenda fujo, wasiofuata taratitibu.
Utetezi kuwa mbona UVCCM nao waliimba tofauti hausaidii, maana wananchi wanajua kuwa uongozi wa Juu wa vyama ndiyo wenye kuwakilisha misimamo halisi ya vyama na siyo hao watoto wa UVCCM. Kwa hiyo inapotokea viongozi wa Chadema wanafanya makosa kama haya, halafu Lissu anatetea, inatuma meseji kuwa huyu ni. mpenda vurugu, moenda malumbano, kwa hiyo wanamshusha hadhi

Nina mapendekezo yafuatayo kwa Lissu na Chadema

1. Lissu anza kuzungumzia issues, ili watu waone una substance zilizoshiba zile zinazohusu ugali wa wananchi zaidi

2.Kwenye kipindi hiki kuelekea uchaguzi, CHADEMA lazima mcoordinate anachozungumza Lissu kwenye Vyombo vya habari, fahamuni kuna vyombo vitajaribu kumframe ili kuzungumza vitu ambavyo atatoa boko halafu vitumike kisiasa dhidi yake na Chadema ili kuwadiscredit mbele ya wananchi.

3. Lissu, kuwa confident kama ulivyo ila kuwa humble zaidi, wananchi hawapendi arrogance, overconfidence

4. Lissu una mtaji wa huruma ya wananchi, itumie hiyo vizuri kukusaidia kwenye kampeni, Fahamu kwamba kila aliyesikitika na tukio lililokufika ni potential voter wako. Kila aliyetoa senti yake kwako ni potential voter wako, na kila sliyekuombea dua ni potential voter wako. Lakini cha kufanya, ni kuhakikisha watu wanakuona katika positive light

5. Ndani ya Chadema najua chama kipo kwenye paralyisis namna gani ya kumuweka Lisu kwenye msitari, hakijajua kitamuwekaje sawa ili acheze katika mistari ya hulka za taswira ya rais. Sasa inabidi watafute namna ya kuliweka sawa hilo jambo

Kiufupi CCM walikuwa kwenye shock namna ya kuhandle umaarufu wa Lissu, ila inavyoonekana wameanza kutoboa matobo kidogokidogo katika haiba ya Lissu, Chadema na Lissu wawe makini na stratergy hii ya CCM.

Lissu kwenye hoja hasa za kisheria, haki za binadamu na katiba hakuna ndani ya CCM anayemuweza, ila wenzie ni wajuzi sana wa siasa, wanajua namna ya kumanipulate mtu wa chini kabisa hata kwa propaganda ili awaunge mkono. Kwa hiyo Lissu inabidi anyanyue zaidi game yake kuliko ilivyo sasa.
 
Lisu lazima afiche sera zake mpaka kampeni ikianza ndipo ataanza kushusha nondo vizuri, mda huu anawavuruga CCM wrwapagawe kwanza

Mnanikumbusha Mwalimu Nyerere alipokiuliza chama kimoja kuhusu sera zao wakamjibu kuwa "Mwalimu sera zetu ni siri" hahaha.

Acheni utani nyie, kuna matatizo common ambayo lazima yawemo kwenye Ilani ya Chama chochote kwa mfano tatizo la ajira. Sasa kama mgombea hawezi kuarticulate hilo tatizo na akaonyesha yeye ana mbinu gani za kutatua hilo tatizo basi hilo ni tatizo kubwa zaidi!

Kitu kingine ni kwamba hakuna Ilani inayomfundisha mgombea 100% namna ya kuitekeleza Ilani hiyo. Ni mgombea mwenyewe kwa upeo wake na vision yake ndo vinatoa muelekeo wa namna atakavyotekeleza hayo yaliyomo kwenye Ilani. Sasa Lissu anapwaya sana kwenye kuonyesha kuwa anajua priorities za wananchi ni zipi achilia mbali kuwa na idea ya namna ya kuzitatua!.
 
Ila me napata shaka pia kama CHADEMA wanampango mkakati wa pamoja kama chama kujua mgombea wao anaongeana na nani na anaongea nini. Ni kama vile ameachwa tu kujisema anachojiskia.
Lissu hakua chaguo la wenye chama,walitaka Nyalandu awe mgombea kwa sababu ana umate mate,Ila wajumbe Kama kawaida wakafanya yao
Wenye chama watamuacha lissu njiani tu,kampeni za urais so sawa na ubunge,kuzunguka nchi mzima kwa siku 63 Kijiji kwa Kijiji so kazi nyepesi na chadema hawakuweka wagombea nchi nzima
 
Tatizo la Lisu ni kuzungumza bila breki, akisimama jukwaani na mtu anaejua kucheza na akili ya mtu mf:Makonda atapoteza kila kitu
yaelekea umesahau ile presser ya VoA that time ambapo Lissu alimhenyesha vilivyo yule balozi mwenye jazba wa Tanzania kule US. Lissu alionekana ni 100 times cooler than that balozi.

Lissu is a smart fella. watu wa kuwafyatukia anawajua na watu wa kuwaendea kwa pozi anawajua. it explains why even the current polls and the opposition camp suggest he's a more preferred presidential candidate than the supposedly diplomatic Membe.
 
Mkuu kwa miaka 60 uchumi wetu na maendeleo yetu ysmedumazwa na CCM,Sasa badala ya kuhangaika kuong'oa kisababishi Cha matatizo yetu ya kiuchumi ninyi mnataka ashughulike na petty issues kama Magu?yaani aanze kuhangaika na stend,masoko na kupokea watalii siyo?
Uchumi wako uko je
Maana unaweza kuta hata wewe kwenye familia yako ndo tatizo
 
Back
Top Bottom