Membe Angekuwa na ubinadamu huo angejengea mabilion ya Gadafi aliyofisadi.Hizo pesa anaweza jenga shule, barabara na dispensari jimboni kwake(atakapotaka) wakaishia kama Dar.
Kwa kifupi tu,hiyo hukumu haitekelezeki,utakuja niambia,ni swala la muda tu itatenguliwa!!1-Kwani maamuzi yalitoka kwa membe au mahakama
2-membe ni mtu ambaye anaheshimika kitaifa na kimataifa hata hiyo bil 9 ni kubwa kwako wewe masikini wa akili na mali huyu mbweha alipaswa kulipa zaidi ya hiyo bil 9
3-jichangeni machawa wa mwendakuzimu mumlipe membe mpunga wake
4-shwaini nyie mmepanda bangi na mvune bange yenu pia.
Zama za vitisho zilishazikwa huko burigi...Naanza rasimi kukutafuta mkuu!
Hyu Msiba alivokuwa anatumia mdomo kukashfu, alkuwa anafkiri mdomo wke ni mradi mradi tosha, kwmba mkubwa flani angeuskia na kuuona kisha kulijaza tumbo lake. kifupi mdomo wake umeliponza tumbo lake. wanaomuona kaonewa wapitie upya kauli zake. alokuwa anamtegmea ss hayuko, ss anajutia kuutumia mdomo vbayaUkishamchafua mtu umejiweka wazi kulipa gharama zozote zile, kwa sababu utu wa mtu hauna bei.
Yani kuna watu wanaweza kupiga mahesabu ya thamani ya utu wa Membe, wakaona bado Musiba hajalipishwa alivyotakiwa.
Kama huko tayari kulipa gharama yoyote, usichafue mtu tu.
Musiba akate rufaa ya Nini Sasa wakati ushaidi wakutosha upoNivema ungeiuliza mahakama kama kwenye vifungu vya adhabu kifungu hicho kipo?naamini mahaka ina hakika na hukumu,mshauri Musiba akate rufaa kwa muda mchache ulio baki MEMBE IS RIGHT FULLSTOPPPPP
Hakuna hukumu isiyotekelezekaKwa kifupi tu,hiyo hukumu haitekelezeki,utakuja niambia,ni swala la muda tu itatenguliwa!!
Kwa hali ya kiimani mtoa mada ukobsahihi. Ila kwa sheria za duniani huko sahihi. Kumkashifu mtu ni kosa kubwa na nizaidi ya hiyo b9. Biblia 1 Wakorintho 13:4Hata kama sio faraja. Itasaidia kujenga utaratibu wa kuheshimu utu wa mtu. Kisa tu mtu hakubaliani hoja yako ndio utake kumfilisi?
Umfanye mtu na ndugu zake waishi bila amani wakati wameshiriki kuijenga Tanzania unayoiongoza wewe.
Angalau sasa hivi, nduguze wanaamani kuliko kipindi kile.
Mahakama na iheshimu sana sana. Hata hivyo, suala la mtu kushinda kesi kisa kakosea kuandaa nyaraka za kesi(teknikali) badala ya hoja za kihaki hapo huwa Pana nipa shida.....mahakama iliyotoa hukumu...
Mwenzenu anaomba michango nyie mnaleta masihara kwenye amri halali ya mahakama acheni uhuni wa kumdidimiza Musiba kwa msiba huu mzito.Membe hasitahili kulipwa chochote ..!!
Hapana mkuuHivi kudhalilishwa kunaweza fananishwa na kiasi chochote Cha pesa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mbwa wenu akina Musiba wakiwadhalilisha huku wakilindwa na jambazi Magufuli ile ni sawa?Hiyo ndiyo aina ya viongozi tulionao.
Wamejawa na tamaa ya kujimilikisha mali utazan wataishi milele.
Siyo kupata vyeo, bali wakipata godfather muuaji asiyejua thamani ya uhai wanatukana na kutesa wengine wakijua huyo ni mungu wao ataishi milele. Afundishwe tu adabuhiyo fidia ni funzo kwa baadhi yenu ambao mukipata vyeo munaona ni sawa kutukana wenzenu.
Sasa mtu atafikiria vizuri kabla ya kupanda kichwa na kuanza kutukana wenzake.
Hoja yako hapo ni nini?Wasiompenda JPM wanashangilia sana kwa sababu .Musiba anakomolewa kupitia sheria na Mahakama inaonekana imetemda haki. Lakini mahakama hiyo hiyo ikiamua dhidi ya wapinzani inaonekana imepokea maagizo na haiko huru.
Waziri mmoja wa zamani wakati anakata rufaa kupinga ushindi wa kesi ya mgombea binafsi katika uchaguzi alisema: Mahakama ni mtu kama mimi na wewe"
Lipumba baada ya uchagu,zi mkuu aliwahi kusema kuwa mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Zanzibar alihongwa pesa na akanunua nyumba; yule mwenyekiti alienda mahakamani Lipumba alihukumiwa amlipe milioni 30; sasa ukilinganisha kiwango alichohukumiwa Musiba kulipa ni wazi japo hukumu inaheshimiwa lakini kuna hisia kukomolewa. Hivi Musiba hakukata rufaa au rufaa pia alishindwa? Sikuwahi kufuatilia hiyo kesi.
Tujiulize maswali mowili: Hivi JPM angekuwepo hiyo hukumu ingetoka jinsi ilivyo? Ingetekelezeka.?
Marehemu gani anayedhalilishwa wewe sukumagang?Ungedaiwa wewe iyo 9B ungeona ni sawa? Mbona kila siku unamsema marehemu kwa kumdhalilisha lakin hujawahi daiwa chochote, lakin maneno ya msiba unayashadadia utadhani kafanya jinai ya kuua mtu, blood kabsaa