Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni mke wa ngapi wa Musiba?Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, na sipangani na sheria yoyote ya nchi iliyotumika, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao, naamini, kila kitu Msiba atauza na pesa haitatosha, mwisho wa siku ni nini? Kwa nini asifungwe maisha?
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
1.Musiba hajawahi kukanyaga mahakamani, Kiburi tu, unataka mahakama ifanyeje?Wasiompenda JPM wanashangilia sana kwa sababu .Musiba anakomolewa kupitia sheria na Mahakama inaonekana imetemda haki. Lakini mahakama hiyo hiyo ikiamua dhidi ya wapinzani inaonekana imepokea maagizo na haiko huru.
Waziri mmoja wa zamani wakati anakata rufaa kupinga ushindi wa kesi ya mgombea binafsi katika uchaguzi alisema: Mahakama ni mtu kama mimi na wewe"
Lipumba baada ya uchagu,zi mkuu aliwahi kusema kuwa mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Zanzibar alihongwa pesa na akanunua nyumba; yule mwenyekiti alienda mahakamani Lipumba alihukumiwa amlipe milioni 30; sasa ukilinganisha kiwango alichohukumiwa Musiba kulipa ni wazi japo hukumu inaheshimiwa lakini kuna hisia kukomolewa. Hivi Musiba hakukata rufaa au rufaa pia alishindwa? Sikuwahi kufuatilia hiyo kesi.
Tujiulize maswali mowili: Hivi JPM angekuwepo hiyo hukumu ingetoka jinsi ilivyo? Ingetekelezeka.?
Umeishafua mashuka ya guest za Musiba??Ungedaiwa wewe iyo 9B ungeona ni sawa? Mbona kila siku unamsema marehemu kwa kumdhalilisha lakin hujawahi daiwa chochote, lakin maneno ya msiba unayashadadia utadhani kafanya jinai ya kuua mtu, blood kabsaa
By all means membe hana thamani ya kufikia bil 9. Sasa kama yeye mwenyewe in totality hana thamani hiyo, huko kudhalilishwa utu wake peke yake utafikaje bil 9?Unajua thamani ya utu wa mtu?
Ni kitu gani kwa membe chenye kufikia thamani hata ya bil moja? Ebu nitajie. Unadhani membe mzima mzima angegongwa na gari akafa huyo dereva, hata angekuwa mwenye makosa, angehukumiwa kulipa hata zaidi ya mil 50?Wewe una akili zaidi ya mahakama iliyotoa hukumu Ile?! Kama madai ya Membe hayafanani na damages aliyopata ingemshauri vinginevyo.
Yeye ameona hiyo ndiyo thamani yake na Mahakama imeridhia. Wewe pia ukitukanwa ukaomba fidia ya shilingi moja kama Manji alivyoomba kutoka kwa Mengi napo ni sawa, si ndiyo uonavyokuwa hiyo ndiyo thamani yako?By all means membe hana thamani ya kufikia bil 9. Sasa kama yeye mwenyewe in totality hana thamani hiyo, huko kudhalilishwa utu wake peke yake utafikaje bil 9?
Ukweli tu ni kwamba membe ametumia advantage ya kujuana na watu kwenye system ya mahakama ili kutaka alipwe kitita hicho kwa sababu ya uroho wa pesa au kutaka kumkomoa msiba. Membe ni tapeli tu kama matapeli wengine.
MAjibu yako hayana pointi kabisa.Manji alidai hiyo shilingi moja kwasababu Mengi akisema ukweli juu yake hivyo hiyo ndio ilikuwa thamani yake! Ndio maana ile kesi iliisha bila Manji kufuatilia tena Kwani angefuatilia angeshindwa na kulipa fedha nyingi!
Wakati hicho kinachoitwa kashfa kikifanyika Membe alikuwa tayari ni mstaafu .na hakuathirika chochote kiajira wala kibiashara..Ni kitu gani kwa membe chenye kufikia thamani hata ya bil moja? Ebu nitajie. Unadhani membe mzima mzima angegongwa na gari akafa huyo dereva, hata angekuwa mwenye makosa, angehukumiwa kulipa hata zaidi ya mil 50?
Huyo hakimu au jaji aliyetoa hiyo hukumu inabidi aangaliwa kwa macho mawili, au kwa darubini ikiwezekana.
Kwa hiyo chochote kile utakacho omba Mahakama itakupa!? Basi nazani na Mungu angekua Kama Mahakama naamini Dunia nzima wote tungekua tunaishi kwa rahaa sana, maana kila Mtu anataka Mambo mazuri na hakuna anaetaka shida!!Kumbuka kuwa mahakama itakupa tu kile ulichoomba na sio vyote. Hivyo, mahakam hakupi kitu kama hukuomba, mahesabu hufanywa kupitia vile ulivyoviomba na kujustfy.
Ww sema ni vile hujawahi kufedheheshwa na ndio vile unatetea upuuzi. Hata huyo magufuli wenu aliyekuwa amekaa kimya bila ya kumuonya musiba aache Undigili wake. Yeye magufuli kipindi alipokuwa waziri alifedheheshwa na Yusuf Manji. Na alipoupata U Rais akalipa kisasi Kwa Kumtaabisha Yusuf Manji. Hivyo Musiba anastahili.Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, na sipangani na sheria yoyote ya nchi iliyotumika, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao, naamini, kila kitu Msiba atauza na pesa haitatosha, mwisho wa siku ni nini? Kwa nini asifungwe maisha?
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Hukumu alitoa Membe au Mahakama!!Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, na sipangani na sheria yoyote ya nchi iliyotumika, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao, naamini, kila kitu Msiba atauza na pesa haitatosha, mwisho wa siku ni nini? Kwa nini asifungwe maisha?
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Sijaelewa hapa!Wamejitokeza, Bashiru na wale waliojaribu kuingilia kazi ya Yono.
Wew kwa mujibu wako unataka alipwe ngapi ila usiseme asamehewe!Hata kama, wewe unadhani bilion 9 ndio faraja kwao?
Membe hasitahili kulipwa chochote ..!!
Nasikia Membe alipeleka record za account zake za bank za ndani na Nje Kama ushahidi wa kuonyesha kua anamiliki zaidi ya hizo b9, nasikia ana Matilioni kibao, ndiyo maana Mahakama ikaona kumbe ka b9 ni Kama kapunje ka mchele kwa Membe, lakini Mahakama wakasahau upande wa musiba kua ka b9 siyo kitu kidogo Kama kwa Membe!!Kama thamani yake ni sh bilioni tisa kwa nini asiwe nazo na anazitafuta kwa mtu mwingine?
Kwa taarifa yako binadamu wote wana thamani sawa .
Wewe ulitaka alipwe kiasi gani na kwanini?!Ni kitu gani kwa membe chenye kufikia thamani hata ya bil moja? Ebu nitajie. Unadhani membe mzima mzima angegongwa na gari akafa huyo dereva, hata angekuwa mwenye makosa, angehukumiwa kulipa hata zaidi ya mil 50?
Huyo hakimu au jaji aliyetoa hiyo hukumu inabidi aangaliwa kwa macho mawili, au kwa darubini ikiwezekana.
Hapa hawezi jibu zaidi atajificha kwenye kichaka cha mapungufu ya ki sheria!!Kuna wakati Manji alimshtaki marehemu Mengi kwa kumkashifu lakini akamdai Mengi Amlipe fidia ya shilingi moja, Je kwa uelewa wako thamani ya Bilionea Manji ni shilingi moja?