Maktaba yapokea Vitabu Kutoka Songea, Ujerumani na Marekani

Maktaba yapokea Vitabu Kutoka Songea, Ujerumani na Marekani

Inside...
Hujanikwaza.

Kwani wewe inakukera kusoma jinsi Waislam walivyojitolea katika kupambana na Wajerumani na Waingereza?

Vipi historia hii hapo chini?:


View: https://youtu.be/Po9jm6R1pTU?si=6CenBp9kL4IIRovV

Wala hainikeri..
Nadhani wenyewe wakifufuka watashangaa sana hizi habari zako wao walipambana na wakoloni kama watanganyika.. hainalishi alikuwa shekhe au nani?
Walichotanguliza kikubwa ni uzalendo wao kwa nchi/ardhi yao ya MAMA Tanganyika.
 
Wala hainikeri..
Nadhani wenyewe wakifufuka watashangaa sana hizi habari zako wao walipambana na wakoloni kama watanganyika.. hainalishi alikuwa shekhe au nani?
Walichotanguliza kikubwa ni uzalendo wao kwa nchi/ardhi yao ya MAMA Tanganyika.
Inside...
Unazungumza na Mohamed Said.

Mimi ni mjukuu wa Salum Abdallah Popo muasisi wa TANU 1954 na Tanganyika Railways African Union (TRAU) 1955.

Babu yangu kapigania uhuru wa Tanganyika kwa hali na mali.
Kaongoza General Strike mwaka wa 1947, 1949 na 1960.

Aliwekwa kizuizini mwaka wa 1964 baada ya maasi ya Tanganyika Rifles.
Unazungumza na Mohamed Said.

Naijua vizuri historia ya uhuru kwa kuwa ni sehemu ya maisha ya wazee wangu.

Mimi nimesoma Nyaraza za Sykes nilizokabidhiwa na Ally Sykes na nimeandika kitabu kilichosahihisha historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Ally Sykes kadi yake ya TANU ni No. 2.
Abdul Sykes kaka yake kadi yake ya TANU ni No. 3.

Kadi ya TANU ya Julius Nyerere ni No. 1.
Kadi ya Nyerere imetolewa na Ally Sykes na ina sahihi yake.

Abdul Sykes, Ally Sykes na Julius Nyerere ndiyo waliosajili chama cha TANU na wanachama wa mwanzo walitoka Rufiji na walipewa kadi zao na Mzee Said Chamwenyewe.

Hawa wanachama walikuwa muridi wa Qadiriyya na Khalifa wao alikuwa Mufti Sheikh Hassan bin Ameir.

Hawa kama kushangaa watakushagaa wewe kwani hawakujui huwajui.

1730151418100.jpeg

Na Ally Sykes Muthaiga Club, Nairobi 1989​
 
Mi naomba kuuliza, hao wazee wetu Songea na Mkwawa walikuwa wanafanya harakati za kidini?
 
Ungetumia lugha ya kawaida ingependeza sana.
Hata mimi nakubali kabisà kwamba leñgo la uzi huu ni muendelezo wa udini wa Mohammed Said.
Mtu akimwandika Muisla au jina la Kiislam nduto "udini"?

Kama ni hivyo basi udini ni kitu chema sana.

Ni Uislam au sivyo?
 
Mungu aendelee kukulinda mzee wangu.

Upo kwenye umri wa bonus nakuombea ujaaliwe kurithisha ufahamu wako kwa walio nyuma yako pia ukiwafundisha kuepuka biases za aina yoyote maana ardhi tunayoishi ni yetu sote ubaguzi au ujuaji wowote hautatufikisha mahali(hii statement unaweza usiielewe vizuri lakini usiichukulie kwa ubaya)
Waislam hatufundishi n Uislm haufundishi "bias" ya aina yoyote.
a
"inferiarity complex "inayosababishwa na uoga wa Uislam (Islamophobia) ndiyo inawafanya muwe na fikra za kikondoo.

Kwani kuitwa kondoo na wwazungu ndiyo lazima muwe kondoo kweli?
 
Kwa hiyo hazikuwa harakati za kidini bali kiutawala sio?
Siioni harakati yoyote hapo, si ya kidini wala kiutawala.

Sidhani kama hata neno "harakati" unalijuwa maana yake. Maana nahisi unalitumia ndivyo sivyo.

Ilikuwa ni vita. Hujaisoma au kuisikia vita ya maji maji?
 
Mi naomba kuuliza, hao wazee wetu Songea na Mkwawa walikuwa wanafanya harakati za kidini?
Hawa walikuwa ni wapigania uhuru wa watu wao. Hawakuwahi kupigania dini, ila kuna dhana ambayo ni potofu kufungamanisha harakati zao zà kukataa kutawaliwa ña udini sababu tuu kuña jina la kiarabu moja katikati ya majina mengi ya makabila yao.
Mfano ugomvi wa wajerumani na wangoni (Songea) ulianza pià baada ya wamisionari kuchoma sehemu za wangoni kuabudia mizimu yao (Mahoka) na siyo msikiti.
Hii vita haikuwa sababu Nduna Songea ana jiña la kiarabu ambalo halitajwitajwi kama Mohammed Said anavyodai.
 
Hawa walikuwa ni wapigania uhuru wa watu wao. Hawakuwahi kupigania dini, ila kuna dhana ambayo ni potofu kufungamanisha harakati zao zà kukataa kutawaliwa ña udini sababu tuu kuña jina la kiarabu moja katikati ya majina mengi ya makabila yao.
Mfano ugomvi wa wajerumani na wangoni (Songea) ulianza pià baada ya wamisionari kuchoma sehemu za wangoni kuabudia mizimu yao (Mahoka) na siyo msikiti.
Hii vita haikuwa sababu Nduna Songea ana jiña la kiarabu ambalo halitajwitajwi kama Mohammed Said anavyodai.
Kabla ya Alama Mohamed Said kulileta jina halisi AbduRauf hapa JF uliwahi kulisoma kwengine?
 
Siioni harakati yoyote hapo, si ya kidini wala kiutawala.

Ilikuwa ni vita. uijuwi vita ya maji maji?
Ndio jibu nililohitaji.

Inawezekana umenizidi umri ila vita ya Majimaji naijua vizuri sana. Sio tu kwa kusoma darasani bali makimbusho ya Mashujaa wa Vita Vya Majimaji Songea nimetembelea sana na huo ukoo wa kina Mbano nafamiana nao vizuri tu.

Kinachonishangaza ni hiki cha kulazimisha kuingiza dini kwenye hizo harakati ambazo huzioni unaziita vita. Kabla ya kupigana vita Songea Mbano na wenzake walifanya harakati nyingi sana ambazo zote zilikuwa kupinga utawala wa mkoloni.

Sijui ni kwanini baadhi wanapata makasiriko anapotambuliwa kwa jina alilopewa na Mababu zake ambalo ndio asili yake, asili ya Uafrika.
 
Ndio jibu nililohitaji.

Inawezekana umenizidi umri ila vita ya Majimaji naijua vizuri sana. Sio tu kwa kusoma darasani bali makimbusho ya Mashujaa wa Vita Vya Majimaji Songea nimetembelea sana na huo ukoo wa kina Mbano nafamiana nao vizuri tu.

Kinachonishangaza ni hiki cha kulazimisha kuingiza dini kwenye hizo harakati ambazo huzioni unaziita vita. Kabla ya kupigana vita Songea Mbano na wenzake walifanya harakati nyingi sana ambazo zote zilikuwa kupinga utawala wa mkoloni.

Sijui ni kwanini baadhi wanapata makasiriko anapotambuliwa kwa jina alilopewa na Mababu zake ambalo ndio asili yake, asili ya Uafrika.
Sasa ma neo harakati umeyatowa wapi kama "ndiyto jibbu uli;lolitaka"?

Katika kusoma yako kote ulishawahi kusikia jina la AbduRauf kabla ya kulisoma kwa Alama Mohamed Said?
 
Kabla ya Alama Mohamed Said kulileta jina halisi AbduRauf hapa JF uliwahi kulisoma kwengine?
Ili iweje mohamed said mwenyewe ni mtumwa tu wa kiarabu,tutumie majina yetu ya asili ya mababu zetu,dini za wavaa kobazi zililetwa tu acheni utumwa wa fikra we ulitarajia mwarabu kuitwa Kashogy
 
Back
Top Bottom