TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,894
- 8,454
Missunderstand!Uzumbukuku Kwa Sisi watanzania Kwa sababu hatuna kampuni kama hiyo?
Mbona kampuni hiyo IPO USA, UK, ujerumani na China?
Hizo nchi nazo mazumbukuku au unaongea kitu hukijui??
Sisi tunapambana kuuza nchi/ tena sector nyeti kabisa, badala ya kua na vyombo/kampuni kama hizo ili na sisi tufanye uharamia kama huo kwingine