DOKEZO Makumbusho: Polisi wadaiwa kuvamia Ofisi za "Reachout Tanzania", wakidai kumtafuta Wakili Lusako Alphonce, ambaye hakuwa ofisini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tofauti hiyo,najua utaniletea ya zombe pia, polisi na uniform kukufuata ofisini ni very official,kuna kitu
 
Sawa kuna kitu kafanya sasa ndiyo wamfuate na zana za kivita? Kwamba Lusako atawashambulia kwa zana kama hizo? Kwamba wangemuita aripoti kituo cha polisi angekimbia?
Kawaida polisi kufuata wahalifu na mijegeje na kupigwa jeki,
 
ila hii nchi ingekuwa Ina fata Sheria, hao askari wange koma Sana.

hivi ujasiri wa kuvamia ofisi ya mtu na silaha una utoa wapi???.
Kuna wengine wana presha, mtu afe kisa kihoro sijui wata sema nini.
Wanatupeleka kuwa kama Mexico hawa

Ova
 
Watanzania ndiyo hawana nguvu msikimbilie kusema hakuna upinzani wenye nguvu.

Juzi Nondo katekwa hadharani nani alipambana kuzuia asitekwe?
Wahuni wamehodhi vyama vyote vya siasa. Wote ni CCM.

Unafikiri ungetokea upinzani wa ukweli kama Mtikila, Chadema ya Dr Slaa kabla ya 2015. Upinzani ungechukua nchi.

Wananchi wanajua CCM sio wazuri ila hakuna alternative.
 
Kutukana sio kukosoa.Kutukana ni kosa la jinai.Unapojifanya mwamba unapotukana ukijiwa ili uwekwe mbaroni endelea na umwamba wacha kulia kulia kama kigoli.
Lusako ametukana kumbe!
 
Huyo ni mpuuzi kama sio mpumb.
 
HaHaha
 
Mzee Warioba kuyakemea jana leo wanataka kuonyesha kuwa wao hawajali mtu yeyote zaidi ya Samia
 
Naona utaratibu wa maisha umebadilika sana ......protocols zipo..kwa nini hazifuatwi....kama huyu kijana inaonekana ana ofisi hapo..hiyo ni adress tosha...kwa nini usitumiwe wito rasmi na ukizingatia ni mwanasheria?...kwa nini unataka kumchukua kwa staili hiyo?...kwa kifupi unataka kumfanya kitu kibaya.
Nchi ina utaratibu tena mzuri tu, lakini niwakumbushe tu wenye mamlaka
Kuna kitu kinajengeka kupitia staili hii..
Hawa wananchi wanawatazama tu..walioweka hizo protocols walikuwa very smart kuliko watu wanavyofikiria.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…