Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Team Magufuli wapo! Na bado wana nguvu sana kiasi cha mama kutumia dk za kutosha tu kwenye hotuba yake kuwaonesha yuko pamoja nao.Nimekuelewa kote kasoro hapo kwenye timu Magufuli, hao watu ni wakina nani haswa? binafsi siamini kama wana exist.
Wanachama wa CCM wengi ni bendera fuata upepo, leo wote watacheza ngoma ya Samia kwasababu wanachotaka wao ni matumbo yao yajae, so yeyote atakayekuwa juu regardless ya tabia zake watamsapoti tu.
Next time akitokea Magufuli mwingine huko mbele ya safari nae atapata mashabiki wake vilevile, mwenyekiti wa chama chao ndie anashikilia hatma ya wengi wao hasa uwepo wa kule bungeni, lazima wajipendekeze kwake tu.
Kiongozi wao ni yule mtu muongo waliyempigia sana makofi ile jana.