Makundi 4 ya Watanzania waliobaki Njiapanda baada ya Hotuba ya Rais Samia ya Aprili 22, 2021

Makundi 4 ya Watanzania waliobaki Njiapanda baada ya Hotuba ya Rais Samia ya Aprili 22, 2021

Hotuba ya Rais Samia hapo jana imeacha watu wengi nija panda. Binafsi naona kama ililenga zaidi kuyapooza makundi yaliyokuwa yanapiga kelele kama:
  • Vyama vya upinzani
  • Team Magufuli
  • Wafanyabiashara
Wananchi wengine kiukweli tumebaki njiapanda, maana hatujui ni upi uelekeo wa Rais hasa unapohusisha makundi yafuatayo:

( Ifahamike kuwa watanzania wengi hawana vyama na siyo wafuasi wa vyama vya siasa)

1- Waliodhulumiwa, kuteswa, kutekwa, kupotea na kuumizwa na awamu ya 5

Je, waliopoteza ndugu zao wakubali matokeo, wazike migomba tu mambo yaishe??

2- Vijana wasio na ajira (Jobless)

Hapa sina maana serikali inaweza kuajiri kila mtu, ila unaposhindwa kuajiri kabisa na wakati huo huo unataka kila kitu kifanywe na serikali hilo ni janga kubwa.

3- Wazee wa mafao na kikokotoo.

Hapa mwelekeo ni upi maana sheria ya kikotoo bado ipo?

Fao la kujitoa vipi?

4- Watanzania waliokimbia nchi ( exiled ).

Hawa hawana uhakika na usalama wao, maana waliowaumiza mpaka leo bado wapo wanadunda na hakuna jipya lolote.

Je, waendelee kubaki huko waliko au warudi nyumbani?

Ni nini mtazamo wako?
Tangu lini Nyumbu wakamtakia mema rais Samia hadi wampangie cha kufanya?

Hangaikeni na mzee wa MIGA mtetezi wa mashoga.
 
4- Watanzania waliokimbia nchi ( exiled ).

Hawa hawana uhakika na usalama wao, maana waliowaumiza mpaka leo bado wapo wanadunda na hakuna jipya lolote.

Je, waendelee kubaki huko waliko au warudi nyumbani?
Ubalozi wa Marekani utusaidie kuwatambua 'wale wengine' ili ikiwezekana tumalizene nao mtaani.
 
Hapana mama alizunhumzia haya mambo lakini bila ufafanuzi nadhani aliogopa kivuli Cha mtangulizi.

Alianza kusema kipaumbele Cha kwanza ni kudumisha haki, utu, Uhuru, amani umoja na mshikamano pamoja na muungaano.... Hapa hakufafanua maana Kuna Jambo la mwenda zake.
 
A
Mwendazake ameacha madhara makubwa Sana katika nchi itachukua miaka kurekebisha hali.
Mfano nyongeza za mishahara Ili gap la miaka 6 litafidiwa vipi.
Akili yako inawaza nyongeza ya mishahara badala maisha ya watanzania kwa ujumla haswa huduma bora za afya, maji safi na salama, elimu bora, usafiri wa uhakika, amani, ulinzi na usalama, usalama wa chskula, masomo, biashara na uchumi imara. Acha kuwa na ubinafsi. Watanzania wapo mil 55, watumishi wa umma ni laki 5, sawa na 5% tu
 
Uwekezaji mkubwa , uhuru , demokrasia na haki ndio yalikuwa mambo muhimu katika hotuba ya jana ya raisi .

Wakija wawekezaji wakubwa serikali inapata pato kwa ajili ya kuleta maendeleo kwa mtu mmoja mmoja na ajira zinakuwa nyingi
 
W
Hotuba ya Rais Samia hapo jana imeacha watu wengi nija panda. Binafsi naona kama ililenga zaidi kuyapooza makundi yaliyokuwa yanapiga kelele kama:
  • Vyama vya upinzani
  • Team Magufuli
  • Wafanyabiashara
Wananchi wengine kiukweli tumebaki njiapanda, maana hatujui ni upi uelekeo wa Rais hasa unapohusisha makundi yafuatayo:

( Ifahamike kuwa watanzania wengi hawana vyama na siyo wafuasi wa vyama vya siasa)

1- Waliodhulumiwa, kuteswa, kutekwa, kupotea na kuumizwa na awamu ya 5

Je, waliopoteza ndugu zao wakubali matokeo, wazike migomba tu mambo yaishe??

2- Vijana wasio na ajira (Jobless)

Hapa sina maana serikali inaweza kuajiri kila mtu, ila unaposhindwa kuajiri kabisa na wakati huo huo unataka kila kitu kifanywe na serikali hilo ni janga kubwa.

3- Wazee wa mafao na kikokotoo.

Hapa mwelekeo ni upi maana sheria ya kikotoo bado ipo?

Fao la kujitoa vipi?

4- Watanzania waliokimbia nchi ( exiled ).

Hawa hawana uhakika na usalama wao, maana waliowaumiza mpaka leo bado wapo wanadunda na hakuna jipya lolote.

Je, waendelee kubaki huko waliko au warudi nyumbani?

Ni nini mtazamo wako?
Wabaki huko huko maana hiyo kesi siyo yake,
Yeye akianza kuwatafuta waliowakimbiza hao pia nae anajiweka kwenye msuguanao na hao anaowatafuta.

Cha msingi yasiyo muhusu yalishapoa.
Hao walioko huko nje wana danga, acha wadange wakichoka watakuja tu, nyumbani ni nyumbani.
 
Tusubiri keshokutwa Siku ya Muungano na May Mosi. Huenda tukaona kwa vitendo. Je ataweza kuwaleta Watz pamoja kwenye shughuli za Kitaifa?? Je Wafanyakazi watatabasamu??

Endelea KUCHAPA KAZI usitegemee kitu kutoka kwa MwanASIASA tena kutoka CCM.

Wabunge ni wahujumu uchumi,kwani hawalipi Kodi.
 
A

Akili yako inawaza nyongeza ya mishahara badala maisha ya watanzania kwa ujumla haswa huduma bora za afya, maji safi na salama, elimu bora, usafiri wa uhakika, amani, ulinzi na usalama, usalama wa chskula, masomo, biashara na uchumi imara. Acha kuwa na ubinafsi. Watanzania wapo mil 55, watumishi wa umma ni laki 5, sawa na 5% tu
Je hayo yamefanyika? Wwe umefaidika na nn.kipi kimefanikiwa Kati ya uliyoyataja zaidi ya propaganda.Watu wanyonge kama nyie tabu kweli kweli.
 
Kwa akili yako miradi mikubwa kama bwawa la umeme halikugusi!!!?
au nyie ndio lile kundi ambalo mnaamini uongozi ukibadilika mtakuwa mnaokota pesa barabarani!!??

Sihitaji na wala sikuwa na matarajio ya kuokota pesa ndugu, ila kama hujanielewa acha nidadavue. Hivi watumishi wa serikali tunachangamoto ngapi ambazo uongozi wa mwendazake uliuweka ambao mpaka sasa haujaeleweka ikiwepo
1. kikokotoo Cha Bodi ya Mikopo (Heslb), Wasitaafu na Kodi zingine ambazo kusema ukweli zimekaa kumuumiza mwananchi moja kwa moja, hajagusia hilo.
2. Riport ya CAG majuzi kati imeonyesha ujinga na wizi wa Pesa za umma ulivyofanyika.. Hajagusia hilo kama atawawajibisha hao wezi na watu hao wanadunda kitaa hapo angekuwa mzee Baba Mwendazake angekuwa ashachukua hatua. Na kama ni hivyo anapotezea basi asingemwambie CAG aaimung’unye maneno kama alivyokuwa anafanya kipindi cha JESHI.
Mkuu mradi wa Bwawa umetajwa kuwa na madudu kibao, Sasa kuendelea kupoteza pesa bila kuyarekebisha hayo madudu ili yasijirudie ni kujifurahisha nafsi.
#PUMZIKAKWAAMANIJPM
 
Back
Top Bottom