Kung fu panda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 748
- 785
@ KIDUKU LILO sijui ana maoni gani kuhusu suala hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
facebook ni ushubwada no doubt MkuuMembers wengi wa JF wanajiona wameyapatia maisha na kudharau platform nyingine kama FB,. NOTE; Hakuna aliyekamilika, Ishi uhalisia wa maisha yako usipende kujaji watu bila sababu za msingi,.. Nacomment kupitia iPhone X.
na unakuta wanafuga mbwa wanawapa majina hayo ya kina Bilgate,rothschild etcWatu wanaoenda Movie au Cinema kuangalia Movie mpya aiseee alafu ukute kaenda na manzi akee...Aisee Wale wanahisi hata Bilgate ni mbwa tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Hawa wanaofanya kazi benk ndio hatari kabisa... tena ukute ndo wale Ma-teller unaweza dhani anamiliki hiyo benkiVijana waliojenga nyumba, vijana wanaofanya kazi bank
Inaonekana unamuonea wivu na ndio maana ukapata muda wa kuzozana naye. Unafikiri ni jambo rahisi kwa mtu mwenye shughuli zake kuanza kuzozana na malaya kisa nani ana followers wengi?Jana nilikua na-argue na malaya mmoja twitter, kisa ana followers elfu 25 anajiita motivational speaker, basi mimi nina followers chini ya 100 pamoja na a/c kua ina miaka zaidi ya 9 twitter, basi anajiona mkuuuubwa na mjaaanja kisa ana followers 25k na anatweet kwa iphone basi anajiona mjaaanja,unawaangalia unawaonea huruma.
Watu wa hivyo wanajiona wameyapatia sana maisha huku sisi tusio na followers wengi tukionekana hatuna kitu.
Watu wengine hovyo sana.
Anapopitapita koridoni na badge yake ya IT au TELLER kwa madaha, hajui kuwa bosi wake upo around. Zamani mi nilidhani tellers wanalipwa mishahara mikuuubwa, nilipokuja kupata demu anafanya kazi benki nilishangaa sana.Hawa wanaofanya kazi benk ndio hatari kabisa... tena ukute ndo wale Ma-teller unaweza dhani anamiliki hiyo benki
Nani aliyekwambia tunakwazika wewe wana nini cha ziada huwa tunawachora tu mana wengi wanajifanya matawi ya juuUkisoma huu uzi ndo unajua kwanini Watanzania ni wachawi wenye roho ya gubu.
Mtu anakwazika na lifestyle ya mtu ambaye hajui kama ana exist.
Kimbia na wewe basi.Kuna hawa wakimbia marathon sikuhizi na kujipost insta wanaonaga maisha wameyamaliza yote'
Uwe unasoma unaelewa kwanza kabla hujaamua kuandika hovyo hovyo zako.Inaonekana unamuonea wivu na ndio maana ukapata muda wa kuzozana naye. Unafikiri ni jambo rahisi kwa mtu mwenye shughuli zake kuanza kuzozana na malaya kisa nani ana followers wengi?
Asante sana kiongoziEndelea kushika staff mkuu nawe utatoboa tu. Ukipata nafasi nicheck nikuconnect wizarani (Ardhi)
Sipingani na Uzi huu kwani una ukweli ndani yake ila tusikariri maisha,. Inategemea umetune channel gani Chief ukitaka ushubwada hata humu JF mbona umejaa tuu Mkuu, Mbona watu tunatengeneza legal money kupitia platform kama hizo.facebook ni ushubwada no doubt Mkuu