Makundi ya vijana wa Kitanzania ambao hujihisi wameyapatia maisha

Makundi ya vijana wa Kitanzania ambao hujihisi wameyapatia maisha

Yes JW wanatumia neno "RAIA" kama kejeli.
Hapa sasa hivi katoka kulitumia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Anamwambia mama Ile sio kambi ile Combania we utajuaje wakati wewe "Raia" ๐Ÿ˜‚mama anamjulia nae kamjibu iwe kombania au komba ngurue mtajijua wenyewe
 
Kuna hawa Majamaa wanaojiunga kwa Mara ya kwanza na network Marketing especially ALLIANCE GLOBAL IN MOTION asee..

Lakini baada ya Mwezi miezi miwili hivi anaona bora hiyo 500k angetembeza dagaa Buza
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kuna demu alikua ananifuatafuata mara kwa mara nijiunge sijui na hii kitu ,mimi nikawa namsikiliza tu na maneno yake huku moyoni najisemea kua "mwenzako nazijua mpaka ofisi za boss wenu pale mikocheni kwa warioba"
Hadi flp nimepanda sana pale Victoria ofisini kwao,hamna mpya.
 
huo mda uliotumia kusoma bandiko langu, ku-digest nilichoandika na baadae ukaamua uandike cha kupost, ungeutumia kufanya kitu kingine.

asante na karibu tena.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hapa sasa hivi katoka kulitumia[emoji23][emoji23] Anamwambia mama Ile sio kambi ile Combania we utajuaje wakati wewe "Raia" [emoji23]mama anamjulia nae kamjibu iwe kombania au komba ngurue mtajijua wenyewe
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hizi ni hisia zenu tu,ndio maana ikitokea bahati mbaya unaendesha gari ukakanyaga nyanya zilizopangwa barabarani shughuli yake ujipange,huwa mnaona kila anaeendesha gari ni tajiri,pia huo utajiri kaupata kwa kukudhulum wewe mwenda kwa miguu,hizo ndio mambo za kiwaki pambana na hali yako na wewe umiliki yako
pole sana kwa masahibu hayo ndg yangu. sisi watembelea kwa miguu huwa tunadharauliwa sana na wenye magari.
 
Hizi ni hisia zenu tu,ndio maana ikitokea bahati mbaya unaendesha gari ukakanyaga nyanya zilizopangwa barabarani shughuli yake ujipange,huwa mnaona kila anaeendesha gari ni tajiri,pia huo utajiri kaupata kwa kukudhulum wewe mwenda kwa miguu,hizo ndio mambo za kiwaki pambana na hali yako na wewe umiliki yako
basi sawa ndg.
 
- Wanaojua kuzungumza Kiingereza hata kama wanazungumza Kiingereza "broken". Wote ni mashahidi, hawa hata hapa JF wapo. Siku zote hujihisi wao ni bora na maisha wameyapatia.

- Wanaomiliki matoleo mbalimbali ya simu za iPhone. Siongezi neno kuhusu kundi hili.

- Waliochukua mchepuo wa masomo ya sayansi walipokuwa sekondari na baadaye wakaenda vyuo vikuu kusomea kozi mbalimbali za uhandisi. Hawa hata ukiwakuta mtaani bila ajira, by default wanajihisi tayari wameyapatia maisha.

- Wenye followers kuanzia elfu 20, 30, 40 au zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Hili ni kundi ambalo linajihisi limeyapatia sana maisha kwa kuwa na followers wengi. Wanafollow mastaa tu. kma wewe sio star usitegemee kama atakufollow back.

- Wahitimu vijana wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Siongezi neno kuhusu kundi hili.

- Vijana wa kitanzania ambao kwa wakati fulani waliwahi kuishi Marekani au Uingereza halafu kwa sasa wamerudi bongo kupambana na msoto wa maisha.

- Wanaomiliki gari jamii ya Vitz, IST na Altezza. Jeuri na mikwara yao barabarani inatupa picha halisi.

- Wanajeshi vijana miezi yao kwanza kwenye ajira jeshini halafu uwakute uraiani wamevaa zile gwanda zao.

Ongezea wengine unaowajua.

Karibuni.
Hujakutana na dereva bajaji aliemaliza mkataba, huwa wanajikuta wanaimiliki dunia
 
Kwani mtu aliyeyapatia maisha anatakiwa awe na nini au awe amefikia level ipi? maisha hayana formula,kuyapatia maisha ni kutimiza malengo uliyojiwekea na katika maisha kila mtu ana malengo yake.
 
Haka kauzi kamekaa kimajungu majungu hivi, kimipasho mipasho mixer na kiwivu wivu, anyway, vipi wanafunzi wa chuo hasa UDSM.
Teh
tumblr_mun3v4HdfP1s5tztao1_r2_500.gif
 
Members wengi wa JF wanajiona wameyapatia maisha na kudharau platform nyingine kama FB,. NOTE; Hakuna aliyekamilika, Ishi uhalisia wa maisha yako usipende kujaji watu bila sababu za msingi,.. Nacomment kupitia iPhone X.
 
Back
Top Bottom