New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
๐๐๐๐๐Apa[emoji116]View attachment 1241221
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Apa[emoji116]View attachment 1241221
Kuna majamaa flani jioni jioni utawaona wana kopo la maji ya kilimanjaro wamevaa vi pensi vya khaki na mashati ya form six.. mikononi wameshika simu kubwa huku wamening'iniza funguo kwenye luxi ya kaptula..
Hawa wanaona maisha wameyapatia kabisa
Karanga zina vumbi la yale maganda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hv kwa nn ukisafiri na ndege unapewa korosho na sio karanga.....kwa nn wanapendelea korosho??
Hapa sasa hivi katoka kulitumia๐๐ Anamwambia mama Ile sio kambi ile Combania we utajuaje wakati wewe "Raia" ๐mama anamjulia nae kamjibu iwe kombania au komba ngurue mtajijua wenyeweYes JW wanatumia neno "RAIA" kama kejeli.
๐๐๐๐๐Kuna hawa Majamaa wanaojiunga kwa Mara ya kwanza na network Marketing especially ALLIANCE GLOBAL IN MOTION asee..
Lakini baada ya Mwezi miezi miwili hivi anaona bora hiyo 500k angetembeza dagaa Buza
๐๐๐๐๐huo mda uliotumia kusoma bandiko langu, ku-digest nilichoandika na baadae ukaamua uandike cha kupost, ungeutumia kufanya kitu kingine.
asante na karibu tena.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Wachungaji wenye kondoo wengi hujiona sana hadi wanamuona Mungu mdogo wao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu Chrisvern hakika ningekuwa mtu wa visasi hii ndo ingekuwa revenge yangu ila sometimes mambo mengine inabidi kuyaacha yapite tu ili kuepusha shari zaidi.Aisee, mtafute huyo demu wake aliyeweka miguu juu umpige miti mkuu.
[emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hapa sasa hivi katoka kulitumia[emoji23][emoji23] Anamwambia mama Ile sio kambi ile Combania we utajuaje wakati wewe "Raia" [emoji23]mama anamjulia nae kamjibu iwe kombania au komba ngurue mtajijua wenyewe
pole sana kwa masahibu hayo ndg yangu. sisi watembelea kwa miguu huwa tunadharauliwa sana na wenye magari.
basi sawa ndg.Hizi ni hisia zenu tu,ndio maana ikitokea bahati mbaya unaendesha gari ukakanyaga nyanya zilizopangwa barabarani shughuli yake ujipange,huwa mnaona kila anaeendesha gari ni tajiri,pia huo utajiri kaupata kwa kukudhulum wewe mwenda kwa miguu,hizo ndio mambo za kiwaki pambana na hali yako na wewe umiliki yako
Hujakutana na dereva bajaji aliemaliza mkataba, huwa wanajikuta wanaimiliki dunia- Wanaojua kuzungumza Kiingereza hata kama wanazungumza Kiingereza "broken". Wote ni mashahidi, hawa hata hapa JF wapo. Siku zote hujihisi wao ni bora na maisha wameyapatia.
- Wanaomiliki matoleo mbalimbali ya simu za iPhone. Siongezi neno kuhusu kundi hili.
- Waliochukua mchepuo wa masomo ya sayansi walipokuwa sekondari na baadaye wakaenda vyuo vikuu kusomea kozi mbalimbali za uhandisi. Hawa hata ukiwakuta mtaani bila ajira, by default wanajihisi tayari wameyapatia maisha.
- Wenye followers kuanzia elfu 20, 30, 40 au zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Hili ni kundi ambalo linajihisi limeyapatia sana maisha kwa kuwa na followers wengi. Wanafollow mastaa tu. kma wewe sio star usitegemee kama atakufollow back.
- Wahitimu vijana wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Siongezi neno kuhusu kundi hili.
- Vijana wa kitanzania ambao kwa wakati fulani waliwahi kuishi Marekani au Uingereza halafu kwa sasa wamerudi bongo kupambana na msoto wa maisha.
- Wanaomiliki gari jamii ya Vitz, IST na Altezza. Jeuri na mikwara yao barabarani inatupa picha halisi.
- Wanajeshi vijana miezi yao kwanza kwenye ajira jeshini halafu uwakute uraiani wamevaa zile gwanda zao.
Ongezea wengine unaowajua.
Karibuni.
Poa poa mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu Chrisvern hakika ningekuwa mtu wa visasi hii ndo ingekuwa revenge yangu ila sometimes mambo mengine inabidi kuyaacha yapite tu ili kuepusha shari zaidi.
TehHaka kauzi kamekaa kimajungu majungu hivi, kimipasho mipasho mixer na kiwivu wivu, anyway, vipi wanafunzi wa chuo hasa UDSM.