msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,280
- 7,903
Mabinti wanaouza supermarket...pharmacy na steshenari nao wanajiona sana wameyapatia maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani JF umekatazwa kujitupia selfie yako? Tupia picha tu mzeyaUnaizungumzia JF ipi mkuu?
JF hii ambayo topic ya kula mademu kimasihara inapata page 50 kwa siku mbili tu?
Unazingumzia JF ipi ambayo hakuna mashoga na makahaba
Jf ipi ambayo ni tofauti na fb,instagram na twitter?
Sikiliza mzee labda tofauti huku hatutupii picha zetu
Ila ujinga wa social media ni ule ule
hawa kweli wametusua sio uongo...kutembelea range na uwanjan umepak BMW,JEEP sio mchezoMagu na mdogo wake makonda
sureSoo Twitter inakua kama Instagram na facebook. Zamani twitter ilikua inachukuliwa kama platform ya elites kujadili mambo ya kitaifa na mambo magumu, leo kule twitter ni umalaya, ukahaba, ushoga, ujinga. Watu wanajadili mambo ya hovyo.
Nadhani platform pekee iliyobaki ya kuchangia mambo ya maana ni JF kwa sababu imetutengea majukwaa, kila mtu anachangia jukwa ambalo akili yake inaweza kujadili.
hv kwa nn ukisafiri na ndege unapewa korosho na sio karanga.....kwa nn wanapendelea korosho??Air hostess kazi yao huwa kutenga chai,juisi na korosho kwenye ndege
😅😅😅😅😅😅Wamiliki wa iPhone bana. Wanagoogle signs and symptoms na kuanza kubishana na daktari kwa sababu kaona mezani unatumia tecno.Unapigwa bonge la mcharazo nenda kapime choo.
Amesema huku kuna majukwaa tofauti kwahiyo unachagua mwenyewe jukwaa linalokufaa
Shika adabu yakoWengi wanaishi Goba
🤣🤣🤣 kwelikuna wale wafanyakazi wanaopanda staff bus huwa wanajiona wameyapatia sana maisha...wanatuangalia tulioko kwenye daladala kama yatima vile
Aisee, mtafute huyo demu wake aliyeweka miguu juu umpige miti mkuu..................Mkuu bora umeanzisha huu uzi hapa.
Juzi jumamosi nikiwa natoka home na mvua hizi maji yametuama hovyo naelekea stand za huku mitaani maeneo ya Mbezi Kimara bwana mdogo mmoja yupo na gari yake Mazda model siikumbuki ila ni hizi saloons za 9.7/10.5mill mimi napita pembeni mwa barabara huku nazungumza na simu sina hili wala lile mara pwaa!
Mimaji michafu suruali yote mpaka raba nilizokuwa nimevaa zimebadilika rangi zimekuwa tope na nilivaa cadet ya khaki simple nyeusi na nyeupe,wala hakujali na sababu barabara ina mashimo alikuwa anaenda speed ndogo sana but alishindwa hata kushusha kioo kuniambia samahani nachokumbuka aligeuka kidharau akanitazama kisha huyoo akenda zake huku seat ya kushoto amekaa mwanamke wake ameweka miguu kwenye dushboard wala hawakujali.
Sehemu yenyewe ni karibu na CCM wanakolaza magari sasa jamaa waliokuwa wamekaa pale picha waliiona wakaniambia bwana huyu jamaa gari yake huwa inalalaga hapa yeye kapanga kwenye nyumba ile palee!nikajisemea kimoyo moyo hakika Tanzania ukiwa na gari wewe ndo tajiri yaani amepanga chumba na sebule ananimwagia mimi maji machafu hata haonyeshi ubinaadam?any way niliacha likapita ila siyo vizuri tusidharauliane sana tunapohisi tuna mafanikio fulani wakati mwengine unaemdharau anaweza kuwa amekuacha mbali sana wanojua wakakucheka.