Makundi ya vijana wa Kitanzania ambao hujihisi wameyapatia maisha

- Wanajeshi vijana miezi yao kwanza kwenye ajira Jeshini halafu uwakute Uraiani wamevaa zile sare zao zenye mabaka mabaka.

Ongezea wengine unaowajua.

Karibuni.
Hili kundi la washamba ukiwakuta maeneo ya Kibaha (wakitokea nyumbu) wamekaa bar, Basi wanaagiza visengereti lite viingi na nyama nyiiiingi na kuaza kutafuta mtu wa kugombana nao.
Ila nauliza. Kwanini wanajeshi wengi Ni wakurya na wasukuma?
 
Hili kundi la washamba ukiwakuta maeneo ya Kibaha (wakitokea nyumbu) wamekaa bar, Basi wanaagiza visengereti lite viingi na nyama nyiiiingi na kuaza kutafuta mtu wa kugombana nao.
Ila nauliza. Kwanini wanajeshi wengi Ni wakurya na wasukuma?
hili kundi ni shida. kuna mmoja juzi kati kanunua IST, akiwa kwenye mizunguko yake anaweka kofia yake ya kijeshi kwenye dashboard. mda mwingine kile kiti chake cha dereva anakivalisha shati lake kijeshi.

nikamuuliza inasaidia nini, akanijibu anapokamatwa na trafiki huwa inasaidia kutambulika haraka kwamba yeye ni mjeda. trafiki huwa wanaingiwa na uoga.

pia akanimbia huwa inasaidia kuwatia uoga madereva wa daladala, bajaj na bodaboda.
 
Waliotusua jackpot ya Sportpesa bonus aisee wanaona wameyapatia maisha wanaona kama wengine hawajui kubeti wala kufanya uchambuzi
 
Vijana wanaokaa mbezi beach na kuachiwa macruiser ya baba.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Hili kundi la washamba ukiwakuta maeneo ya Kibaha (wakitokea nyumbu) wamekaa bar, Basi wanaagiza visengereti lite viingi na nyama nyiiiingi na kuaza kutafuta mtu wa kugombana nao.
Ila nauliza. Kwanini wanajeshi wengi Ni wakurya na wasukuma?
Hizo ndio kazi zisizohitaji wenye akili nyingi na weledi tangu enzi za Mwalimu

Inahitaji watu wa kula chakula kingi na kutumia manguvu zaidi ya akili

Akipata na msokoto wa bangi hapo ndio kabisaa...!
 
Hizo ndio kazi zisizohitaji wenye akili nyingi na weledi tangu enzi za Mwalimu

Inahitaji watu wa kula chakula kingi na kutumia manguvu zaidi ya akili

Akipata na msokoto wa bangi hapo ndio kabisaa...!
[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Sheikh hapo umegonga mule mule,wenye ajira kwenye kampuni ambazo ni contractors wa Voda,Tigo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…