Makundi ya vijana wa Kitanzania ambao hujihisi wameyapatia maisha

Kuna jamaa ameiandika huko Twitter.

HAKUNA WATU WANAJIONAGA WAMEYAPATIA MAISHA KAMA WALE JAMAA WANAOSIMAMIA MITIHANI YA UTUMISHI/AJIRA PORTAL.
 
Waliochaguliwa kwenda chuo kikuu

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Wale wenye rasta waliooa vibibi vya kizungu 60yrs plus. Unawakuta wanatembea jioni wanaongozana huku wanasindikizwa na mbwa wao. Wapo sana mbezi beach, masaki na Arusha. Yaani wanajiona wameyapatia maisha balaa
 
Macustomer care, receptionist na mahr asee Hawa wanazingua sana
Nlienda Kwny interview Moja yule HR alikazia Kwny swal ambalo ni gumu sana mpk mahr wenzie wakawa wanamuangalia jinsi anavyolirudia swal nkataman kumwambia Mbn kama unataka sifa kaka

-wale maservice man/girl wa jkt asee wale maboya wanajiona kama Navy Seal vile jinsi wanavyonyanyasa kurutiz utaskia "kuruta hatujapiga kozi pamoja ntakuharibu" yaan wajiona kama Mabeyo vile
 
Wanaishi dar, wanajiona wamepatia sana maisha na wako juu zaidi kulko wamikoani!

Madem wenye tako,Wafanyakazi bank hasa CRDB,.
Wanaoishi dar yan naamin wanahisi ndio Ulaya

Wanaoish dar co tu binadamu hata kuku asa jogoo lilitangulia kukaa dar siku akija jogoo wa shamba hapati tunda labda ampige kwnza jogoo la dar au avizie kimtetea kinachojipitisha karib yake Lakin wee akionwa na jogoo la dar yaan hata kama hajapiz kimoko anatolewa baru inshot dar kama kuna kalaana fulan hv ndo maana unaweza shangaa jua kali lakn dalila tu bonge la mvua linanyesha...
 
[emoji1787][emoji1787]
 
Wadada wale wa "kituo kinachofuata ni manzese argentina" nao wanajiskia tu kwnn siku hz hawatangaz😁
 
Hivi ina nawezekanaje uishi usa au UK uko halafu unarudi bongo? Aise utakuwa umelogwa aise..
 
1. Wanaotumwa kuclamp matairi ya magari kwa 'wrong parking'. Heri kupambana na ibilisi gizani kuliko hawa jamaa.

2. Watoto wa miaka 5+ walionunuliwa na kuvaa nguo mpya za siku kuu.

3. Watoto wa kiume shuleni wanaobalehe walioanza kuota vindevu kabla ya wenzao darasani. Kila saa wakiongea wanazikuna kuna na kuhakikisha wenzao wanawaona wanavyovikunakuna. Wanawaona wenzao kama bado wananyonya kwa mama zao.

4. Watoto wa kiume darasani walionza kupata sauti nzito. Kila swali anainua mkono ajibu ili darasa lisikie bezi lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…