Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Wale mabroo wanaoenda na lap top night club.Kuna hawa wakujiita mabroo wa twitter
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale mabroo wanaoenda na lap top night club.Kuna hawa wakujiita mabroo wa twitter
Wale mabroo wanaoenda na lap top night club.
hahahaha. hao sikuwahi kuwasikia. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wale mabroo wanaoenda na lap top night club.
Air hostess kazi yao huwa kutenga chai,juisi na korosho kwenye ndegeWahudumu wa ndege
Wanasheria ndani ya slim navy blue suit
Kwaio hukushughulika nae kabisa?...............Mkuu bora umeanzisha huu uzi hapa.
Juzi jumamosi nikiwa natoka home na mvua hizi maji yametuama hovyo naelekea stand za huku mitaani maeneo ya Mbezi Kimara bwana mdogo mmoja yupo na gari yake Mazda model siikumbuki ila ni hizi saloon napita pembeni mwa barabara huku nazungumza na simu sina hili wala lile mara pwaa!
Mimaji michafu suruali yote mpaka raba nilizokuwa nimevaa zimebadilika rangi zimekuwa tope na nilivaa cadet ya khaki simple nyeusi na nyeupe,wala hakujali na sababu barabara ina mashimo alikuwa anaenda speed ndogo sana but alishindwa hata kushusha kioo kuniambia samahani nachokumbuka aligeuka kidharau akanitazama kisha huyoo akenda zake huku seat ya kushoto amekaa mwanamke wake ameweka miguu kwenye dushboard wala hawakujali.
Sehemu yenyewe ni karibu na CCM wanakolaza magari sasa jamaa waliokuwa wamekaa pale picha waliiona wakaniambia bwana huyu jamaa gari yake huwa inalalaga hapa yeye kapanga kwenye nyumba ile palee!nikajisemea kimoyo moyo hakika Tanzania ukiwa na gari wewe ndo tajiri yaani amepanga chumba na sebule ananimwagia mimi maji hata haonyeshi ubinaadam?any way niliacha likapita ila siyo vizuri tusidharauliane sana tunapohisi tuna mafanikio fulani wakati mwengine unaemdharau anaweza kuwa amekuacha mbali sana wanojua wakakucheka.
huyo ni limbukeniKuna jamaa mmoja tukikaa nae bar utaskia "me nina akili sana,ni kijana mdogo na nimejenga"
Means anadharau wengine wote waliopanga.
Mkuu kila mtu Ni tajiri kwa nafasi yake hata wewe unaweza ukasema umetoa elfu hamsin kwa watu kumi wagawane ukaonekana limbukeni kwahyo msichukulie mtu n limbukeni ili hari na wewe Kuna mahali unaonekana limbukeni kwa wale waliokuzidhuyo ni limbukeni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah nimecheka sanahahahaha. hao sikuwahi kuwasikia. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
hivi wale wanaojifanya kuzungumza na simu night club wakati kuna kelele nzito za mziki, tuwaweke kwenye kundi gani?. mimi naona kama huwa wanatuektia. [emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umewaza kama mimiWauza maduka wa makumbusho!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] huwa wanatuonaje sijui wenye tecno spark 2Hao wanaomiliki IPhone nakazia kabisa [emoji102]
Wala....mistakes zipo mkuu mimi nilichukulia kibinaadam na ni mtaani ninapoishi sikutaka nifanane nae akili wote tuonekane mazombie nilimsikilizia labda atajishusha but sivyo nilivyotegemea.yupo tu jirani na kwangu so ipo siku atanipa heshima yangu sina haraka nae.Kwaio hukushughulika nae kabisa?