Malalamiko hayatoshi tusinunue vocha

Malalamiko hayatoshi tusinunue vocha

Mimi bundle nitanunua kama kawaida. Na kiukweli naomba bei zizidi kupaa maradufu, Ili wapiga kelele wapaungue mitandaoni.Wengine ni vijana waliotakiwa kufanya kazi ila mitandao Iliwachukulia muda sana.Sasa hivi yumekuwa na kizazi amacho nimekuwa addicted na simu,unakuta kijana hawezi kuweka simu yake pembeni bila kuigusa hata kwa dk 15 tu.

Leo nimefurahi sana kuona baadhi ya watu waliowahi kinitunishia misuli ya kiuchumi, na wale waliokuwa wanawaambia watu mara oooh unaishi kwa shemeji yako, mara oooh brabra nyingi eti nao wanalia na hizi bei ndogo za vifurushi[emoji23].
 
Huenda kuna faida wameiona na hii nikawaida kwa mtu mweusi kufanya vitu kuwa vigumu ila yote na yote kila jema linamaumivu
 
Hii comparison haina maana, kama mmarekani analipa USD 100 kwa mwezi (TZS 234,000) kwa ajili ya internet lakini median income ya nchi ni USD 31,000 kwa mwaka ( ~ TZS 72,000,000).

Sasa wewe unataka TZ tulipie bei hiyo wakati hiyo 234,000 ndo take home ya mtu?

Ukicompare bei compare na vipato vya nchi au sehemu husika ndo utapata uhalisia sio blind comparisons

Umemjibu vizuri sana mkuu, wapi marekani na wapi Tanzania, mbingu na ardhi. Mama samia ashughulikie swala hili, tunaoumia ni sisi.
 
Wabunge mliowachagua huu ulikuwa ndio wakati wa kuwatetea lakini watakuwa wanakalia seat mjengoni na kusinzia tu na kujijambia hovyo.
 
Mimi bundle nitanunua kama kawaida. Na kiukweli naomba bei zizidi kupaa maradufu, Ili wapiga kelele wapaungue mitandaoni.Wengine ni vijana waliotakiwa kufanya kazi ila mitandao Iliwachukulia muda sana.Sasa hivi yumekuwa na kizazi amacho nimekuwa addicted na simu,unakuta kijana hawezi kuweka simu yake pembeni bila kuigusa hata kwa dk 15 tu.

Leo nimefurahi sana kuona baadhi ya watu waliowahi kinitunishia misuli ya kiuchumi, na wale waliokuwa wanawaambia watu mara oooh unaishi kwa shemeji yako, mara oooh brabra nyingi eti nao wanalia na hizi bei ndogo za vifurushi[emoji23].

Usifikiri wote wana uwezo kama wako kijana,,, tena naomba ukae kimya,, au umetumwa nini???
 
Kabisa na ndio maana HAKUNA wajinga mitandaoni
Ikifikia hatua ya wajingawajinga kuingia mitandaoni angalau kwa wiki mara moja au mbili,hii kitu itakuwa imefanikiwa sana.Nilikuwa nawaza njia nzuri ya kufukuza waropokaji mitandaoni,hii nadhani hii imekaa poa sana.
 
Sisi ni wazee wa "usijali tuko nyuma yako" kumbe hata hatupo tushakimbikia
usiweke hopes kwa wabongo. always wata kuvunja moyo.
jamii ya uoga na unafki hii.

ndio maana sometimes nawaona viongozi wa upinzani wanafanya kazi bure. wanampigia mbuzi ngoma.
 
Wabunge mliowachagua huu ulikuwa ndio wakati wa kuwatetea lakini watakuwa wanakalia seat mjengoni na kusinzia tu na kujijambia hovyo.

Kichwa kimoja kinapiga sio chini ya laki tatu kila kikao bungeni, je, atakuwa na habari na wewe ndugu Chaliifrancisco!!! Mijitu haina huruma, tunayachagua ili huko bungeni watutatulie matatizo yetu lakini wanajali masilahi yao na familia zao, hawana habari na sisi.
 
Ongezeko jipya la bei za vifurushi bila shaka ni matokeo ya mazungumzo baina ya waziri mwenye dhamana na wamiliki wa mitandao ya simu.

Tuoneshe kupinga kwa vitendo tusinunue vocha tuziache simu zetu hewani bila vocha mpaka pale watakaposhusha gharama za vifurushi tunaumizwa kwa kweli.

Wenye mitandao watakosa fedha na hiyo itapelekea hata serikali kukosa fedha ambazo wanapata kama kodi lazima watakaa chini kuangalia upya vifurushi vya simu lakini kama tutakua tunalalamika halafu tunaendelea kununua vifurushi vyao hawatahangaika na sisi.
Nimemsikia mama mmoja anasema ngoja aweke vocha kwa ajiri ya sikukuu ikiisha anapiga kimyaaa
 
Back
Top Bottom