Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
wana uwezo huo kabisa. bahati mbaya sio watanzania. na hawaishi tanzania .Yaani hao wenzetu huwa wanagoma kununua vocha?!!!
ila wana umoja sana kiasi kwamba wanaweza ku force serikali isifanye jambo.
ila bongo ni kulalamika mitandaoni