DOKEZO Malalamiko kwa NHIF: Nashindwa kupata huduma za Afya pamoja na kulipia kifurushi cha Tsh. Milioni 1.4

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mimi pia nawashangaa hawa NHIF. Mtu binafsi anaweza kulipa pesa nyingi kwa mwaka kuishinda muajiriwa, lakini wanapewa huduma za ovyo. Wanawanyanyasa wachangiaji wakati hujuma inafanywa hospitalini kwa kuandika pesa nyingi wakati mgonjwa ametibiwa kwa gharama ndogo. Wafanye utafiti watagundua ukweli huo
 
Mimi siwaelewi watoa maamuzi wa shirika hili kwa hatua yao ya kubariki ubaguzi kinyume cha katiba, sheria na pengine misingi ya utatibu wanayodai kuiwekea bima.

Iweje watu wanaochangia kapu moja, wengine waruhusiwe kupata huduma hospitali yoyote, ilihali wale wenzangu na mimi wakitakiwa kuanzia hospitali ya chini na kisha upewe rufaa, ndio utapata matibabu.

Nimemshuhudia mgonjwa aliyefanyiwa upasuaji BMC na kutakiwa kurudi klinik wiki mbili baadaye, huyu mgonjwa alikataliwa kupokelrwa BMC akitakiwa kuwa na rufaa kutoka hpspitali ya mkoa.
Binafsi najiuliza kwanini kuna ubaguzi baina ya wanachama? Kosa la hawa wengine ni kuchangia wenyewe badala ya mwajiri? Je kuna upigaji katika hospitali kupitia bima? Hii ndio njia ya kupunguza? Au nni namna ya kuzibeba hospitali za ummy?

Naomba kuwakumbusha yaliyotokea wakati wa mwalimu; alitaka serikali iwe na maduka yake ili yashindane na yale binafsi lakini kina kawawa na wenzake sawa na akina ummy na wenzake wakataka kuua maduka binafsi. Kilichotokea kwa maduka ya ujamaa leo ni historia.
 
Kuona vitu ambavyo vipo katika astal plane,unahitaji clairvoyant sight.
Kwa hiyo unawezausali malaika aje mbele yako. Lakinu kama huna clairvoyant vision huwezi kumuona.
Likewise,unaweza kuwaita mashetani,kama Mfalme Suleiman,lakini ili kuwaona lazima uwe na special powers of vision.
Halafu,your Father in Heaven knows what you want even before you ask Him? Well,that may be a true statement,lakini,kama unataka msaada wa Yesu lazima usali umwombe Yesu.
Likewise,Shetani. Shetani hamvizii mtu yoyote,hamshawishi mtu yoyote. If you wany help from Satan, you must pray to Satan. Kama unataka msaada wa Shetani,lazima umuombe,umbembeleze. Hiyo ndiyo dini ya Shetani.
Waumini wa dini ya Shetani,utawatambua kwa jinsi wanavyooongea. Utawasikia mara kwa mara,"Yule mtu anajisahau sana." Yaani,yeye ndiye boss,lakini wewe unajisahau.
Ndio sala yao kila siku,."Shetani,wewe ndiyo
bosi,lakini siku hizi mambo hayaendi vizuri,kwa ajili hawa mapadre wako wanakusaliti. Ndio inatokea hii hali watu wanahisahau sana. Mapadre wako ni wavivu, wanasakusaliti. Mapadre wako ni wavivu na waumini wako wote wamesambaratika,wanakosa msaada. Lakini ipo siku,siku inakaribia,ambapo utaionesha hii Dunia kwamba wewe ndiye bosi."
Hii ndiyo wala yao ya kila siku jioni,na wakimkaribisha mgeni,wakisali naye hii sala,mara baada ya kuisali hii sala,kwa kuisali huu sala,anakuwa mfuasi wa Shetani.
 
Kuna sababu gani isiyo ya kitapeli, kulazimisha wanandoa wote wawili wenye mtoto mmoja tu (hawana mtegemezi mwingine) wakatwe michango ya bima ya afya kutoka kwenye mishahara yao? Au wanaadhibiwa kwa kuwa wao ni waajiriwa wa serikali?
 
@Wizara ya Afya
 
Unaropoka tu ila siku yakikukuta ndo utaelewa umuhimu wake
 
Magonjwa ya Moyo, Kansa, Ini, Figo bima wamejitoa
 
Mi naona bora waweke na vifurushi vya exwcutive ili wanaoweza walipie
 
Unaropoka tu ila siku yakikukuta ndo utaelewa umuhimu wake
Hebu tusiandikie mate jamaa katoa 1.4m na yamemkuta kaingia tena mfukoni haya hayo ambayo yatanikuta mm nisiekata bima ni yapi wakati waliokata yanawakuta na 1.4m sio bima ndogo kwa usawa wa mtanzania. Muda mwingine usiwe muoga sana wa maisha na nimesema kama ustaarabu wako wa pesa ni mzuri bora uweke hiyo hela kwenye ac utumie pale unapopata majanga. Bima kwa bongo ni utapeli fulani ukiona watu zaidi ya 10 wanalalamikia bima inamaana wote wanaonewa mfumo wa bima ni wakitapeli tu
 
Ukiwa na bima ya NHIF ya mwajiri huduma hizo unazipata.

Ila kama una bima ya NHIF ya vifurushi huduma hizo huzipati
Sasa mfano bima ya muajiri gharama yake ni 800k na bima binafsi nimekata 1.4m kama jamaa iweje nikose huduma wakati nimeweka mpunga mrefu zaidi ya wale wa muajiri ukiskia upigaji ndio mambo kama haya. Ajira zenyewe chenga alafu kipaumbele wakapewe walioajiriwa hili kundi la wataftaji binafsi wakatibiwe na bima ipi sasa
 

Mfuko wa bima unaeendeshwa kwa mfumo wa pool la kuchangiana.

Miaka ya nyuma NHIF waliweka pool moja lenye michango ya waajiriwa wanaokatwa kila mwezi na watu walio nje ya ajira ambao wanalipia bima binafsi kila mwaka.

Mbeleni NHIF wakagundua watu wanaokata bima binafsi asilimia kubwa ni wagonjwa tofauti na waajiriwa wao wanalipia bima kwa kulazimishwa na waajiri wao kwa kukatwa hivyo wengi waajiriwa ni wazima ki afya. Hivyo hawatumii pesa za mfuko sana tofauti na watu binafsi wakiwa wazima hawakati bima wakianza kuumwa ndio wanakata bima na kuanza kufilisi mfuko kwa kutumia kingi kuliko walichochangia.


NHIF imeweka pool mbili sasa.. watu wenye bima binafsi kapu lao peke yao.

Na watu waajiriwa wanaokatwa kwenye mishahara yao kapu lao peke yao


Kwenye haya makapu wamegundua kapu la watu binafsi lina matumizi makubwa kuliko michango wanayochangia. Hivyo wamewakatalia magonjwa makubwa yote maana kapu lao lina pesa kiasi kidogo halimudu kuwatibia hayo magonjwa.


Waajiriwa wao kapu lao ni kubwa lina mapesa mengi yanaingia kila mwezi huku wanaooumwa ni wachache sana hivyo kapu lao halifilisiki. Ndio maana wamewaruhusu watibiwe mpaka magonjwa makubwa

NHIF WANAAMINI KAMA MTU BINAFSI UNAONA BIMA YA NHIF INAKUNYONYA HELA ZAKO UNAZOLIPIA KILA MWAKA. ACHANA NA NHIF NENDA KAKATE BIMA YA KAMPUNI ZINGINE MAANA HAWAKULAZIMISHI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…