Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

.................Mzee unazungumzia mtandao wenye vifurushi nafuu huku wengine tunawaza ni mtandao gani hautazima laini zake?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Waheshimiwa Mawaziri TAMISEMI na MAJI hv yale maji mliopeleka Kisarawe mnaonaje mkiyashusha yaelekee Chanika maana hata umeme tunapata huduma kutokea Kisarawe. Naomba kuwasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dakika 100 kupiga mitandao yote hazinitoshi. Natumia wastani wa dakika 500 kwa mwezi. Mambo ya kubaniana eti upige airtel kwenda airtel tu ni ushamba na mambo ya kizamani. Kwani phonebook yangu imejaa watumiaji wa airtel tu?

Mahitaji yako na yangu tofauti.
Unapigwa hapo, huku airtel kwa buku 10 tunapewa dakika elfu tatu kupiga airtel-airtel na dakika 100 mitandao yote kwa siku 30. Halafu hayo mambo ya kufosiana kuongea saa nne za usiku mpaka saa kumi na moja ya alfajiri yameshapitwa na wakati. Kwa vifurushi vya maongezi airtel wako vizuri kuliko mitandao yote. Kwa vifurushi vya data halotel anaongoza.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mana ni majanga! Baada ya kuondoa kifurushi cha chuo, thamani ya jelo unaata dakika 8 tu,
Mimi hua natumia Airtel kupata dakika 100 na GB 1 kwa siku tatu' angalau, leo kulikua na kamiatano kamebaki mahali nikasema nichukue vyocha ile ya kurusha nijiunge, kulikua zamani unapata dakika 30 tigo! Nimeingia kutafuta kifurushi weee nimekosa! Maka sasa kamiatano kamehang tu hata sijui nijiunge nini mana hata kila kifurushi ni majanga
 
Dah mara ya mwisho kabla hawajafanya huu ujinga nilijiunga kifurushi cha 2000 wakanipa GB4 kwa wiki ila sasa sioni hiyo ofa.
 
kwa hizi thread ambazo zimetetwa humu juu ya kukosoa Tigo, nadhani Tigo wanatakiwa kujirekebisha ili wasipoteze wateja wao
 
Back
Top Bottom