lanyese
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 237
- 338
Acha kuponda kila kitu pambano la marudiano Kidunda alimkalisha chini uyo Katompa wako , clear win nenda kaangalie tenaHuyo Kidunda ndiye alipigwa akachanika na kuokolewa , Tanzania hamna bondia .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuponda kila kitu pambano la marudiano Kidunda alimkalisha chini uyo Katompa wako , clear win nenda kaangalie tenaHuyo Kidunda ndiye alipigwa akachanika na kuokolewa , Tanzania hamna bondia .
Kwanini mechi ya kwanza iliahirishwa ?Acha kuponda kila kitu pambano la marudiano Kidunda alimkalisha chini uyo Katompa wako , clear win nenda kaangalie tena
Hivi hata kina Matumla nao walikuwa wanaongea utumbo hadharani? Mimi nilidhani ni Mwakinyo tu ndio hupuyanga kwenye media, kumbe wapo na wengine!Nawaza TU mfano angebebwa na akatangazwa mshindi vipi angefurahi na kuruka ruka[emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]!?
Anyway hii kada Yao inasumbuliwa na suala la elimu hata ya ku reason kawaida tu kuwa Nini uongee na Nini usiongee
Ibra nae sijui kawaje! mtu kachezea hivyo halafu anataka mbeleko.Katompa ata warudiane na Dula mara 10 Bado Dula atapigwa tu. Nime mshangaa Ibra classic kujiingiza kwenye upuuzi wa Dula.
Bondia pekee anayeweza kumtandika Katompa bila shaka youote ni Selemani Kidunda kwakua jamaa ni Boxer mwenye akili na nguvu.
Namshukuru sana Mungu kwa kuniumba Mtanzania,na naipenda Tanzania na watu wake.Dullah mbabe ulipigwa kama unapiga.Huo ndio ukweli na msijidhalilishe Tena kwenye kadamnasi,nenda kajikande maumivu.Nimeskitika sn Dulla na Ibra Classic kulalamikia chama Cha ngumi Tanzania eti Dulla alikuwa ameshinda.
Kibaya zaidi Ibra Classic anaongea bila aibu eti majaji wameshindwa kumbeba Dulla kwa sababu hata wao wanapoenda Ulaya huwapiga wazungu lakini majaji huwabeba wazungu wenzao.
Professionally, hii siyo kauli nzuri, yani ubebwe kisa wewe uko nyumbani kwenu wakati ngumi zinaoneshwa LIVE na ulimwengu unaona!! Au wanataka chama Cha ngumi Tanzania kifungiwe kwa kuboronga ktk maamuzi. Au wanataka mabondia kutoka nje wasije Tanzania kwa kuogopa wenyeji kubebwa.
Sasa huko Ulaya mnakosema huwa mnaonewa ni Mtanzania gani huwa anawaona mkionewa, isije kuwa ni janja janja zenu tu Wabongo maana ndo maisha yenu mlishazoea. Mara utaskia "mabegi yamepotelea airport, mara viatu nilipewa over zise" Nonsense. Na isitoshe kosa moja haliwezi kuhalalisha makosa mengine yaendelee. Km hamtaki kucheza ngumi hameni nchi muaachie wanapoenda haki wapigane.
Nimalizie tu kwa kusema Watanzania wengi wamezoea maisha ya ujanja ujanja sana, ku fake maisha na undugu-naization ndo maan nchi haisongi mbele. Ebu Dulla na kampani yake waache maisha ya ujanja ujanja waende kwenye uhalisia. Mchezo wa ngumi ni mchezo wa wazi kila mtu anaona.
NB: Naomba chama Cha ngumi Tanzania kimfungie Dulla na Ibra Classic au wapewe adhabu kali kwa kutoa shutuma kali dhidi yenu mbele ya kadamnasi tena mbele ya kamera za AZAM TV ili liwe fundisho kwa wale wasiojua mchezo wa ngumi ila wanalazimisha kujua ngumi kwa sababu ya njaa.
BANDOKITITA nimemaliza.
Anamkumbatia katompa kama vile anaitaka cha2!Mimi hili pambano nimeanza kuliangalia round ya 6 kiukweli mpaka niluanza kuona aibu namna Dulla anavyolicheza pambano. Hizi fani zinavamiwa na watu wa ajabu ndio matokeo yake haya. Kuna mazingira hata ukibebwa haina shida ila kwa uchezaji ule ni aibu kubwa kwa tasnia ya ngumi. Inawezekana kwa sababu wanabebwa ndio maana hawajitumi, hawafanyi mazoezi na kadhalika.
Bora anayejifariji kwa kauli mbiu ya"Kupigwa kama umepiga na kupiga kama umepigwa.Dulah mbabe wala sio bondia wa kumtafutia mapambano nje ya nchi anapigana sababu ya njaa tu lkn ameshuka sn kimedani ndio maana mara kwa mara anaomba pambano na anaishia kubondwa tu.
Dula ajikite kupiga ngoma za mchiriku au kama kuna mashamba kwao ajikite kwenye kilimo lkn ngumi zimeshamshinda....
Na akiendekeza njaa atakuja kufia uliongoni
Asijekusema hajaambiawa, shauri yake.
Hakuna Bondia hapa Africa anayeweza kumpiga Kidunda.Kwanini mechi ya kwanza iliahirishwa ?
Mipango siyo ushindi , Dulla alitaka kuanika yote janaHakuna Bondia hapa Africa anayeweza kumpiga Kidunda.
Umeambiwa pambano la marudiano alipigwa bado unauliza sababu wakati sababu zilikuwa wazi
Ila alidundwa!Mipango siyo ushindi , Dulla alitaka kuanika yote jana
Dulla pombe na bangi nyingi akiwa maskani kwao na masela wenzake ndo maana hata pumzi hana yaani round ya 4 tuuh upepo umekataMimi hili pambano nimeanza kuliangalia round ya 6 kiukweli mpaka niluanza kuona aibu namna Dulla anavyolicheza pambano. Hizi fani zinavamiwa na watu wa ajabu ndio matokeo yake haya. Kuna mazingira hata ukibebwa haina shida ila kwa uchezaji ule ni aibu kubwa kwa tasnia ya ngumi. Inawezekana kwa sababu wanabebwa ndio maana hawajitumi, hawafanyi mazoezi na kadhalika.
Alicheza foul iliyopelekea Kidunda kupata injury juu ya jicho but alikuwa anaongoza kwa score board hadi match inahairishwa .Kwanini mechi ya kwanza iliahirishwa ?
Yan jamaa lilikua linanishangaza sana. Halafu kuna muda wa mapumziko akiwa kwemye kona yake badala ya kusikiliza maelekezo ya kocha wake namuona anacheka cheka tu. Onaonekana aliaminishwa atashinda tuAnamkumbatia katompa kama vile anaitaka cha2!
Daah basi ndio maana anakata moto mapemaDulla pombe na bangi nyingi akiwa maskani kwao na masela wenzake ndo maana hata pumzi hana yaani round ya 4 tuuh upepo umekata
Nadhani mibangi inamzingua pumbavu kabisa!Yan jamaa lilikua linanishangaza sana. Halafu kuna muda wa mapumziko akiwa kwemye kona yake badala ya kusikiliza maelekezo ya kocha wake namuona anacheka cheka tu. Onaonekana aliaminishwa atashinda tu
Dulla mbabe ni kina Sele wanaoimbwa na MbossoNadhani mibangi inamzingua pumbavu kabisa!
Mkuu,Yagangwe yajayo...