Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Tuwe wakweli Dullah mbabe alichakazwa,astaafu tuu akalime bangi!Alicheza foul iliyopelekea Kidunda kupata injury juu ya jicho but alikuwa anaongoza kwa score board hadi match inahairishwa .
Second fight Katompa alipigwa vizuri tu . Sio unaponda na kusifia
Wageni tu
Muda mchache mambo ni mengi...Mkuu,
Binafsi huwa nafurahishwa na reply zako😂😂 yaani huwa unatoa conclusion hunaga kabisa ku argue 😂😂🙏🏽.
Huna baya mkuu.
Hapo Sasa katompa na stress za kufiwa na baba Bado katuchakazia mtu wetu!Kubali Dullah kuwa umepigwa kama umepiga.Kibaya zaidi kapigwa na mtu aliefiwa na baba yake mzazi siku moja kabla ya mchezo. Yani mtu kaacha maiti ya baba yake mzazi hospitali kaja kukupiga alafu wewe bado unajiona bondia.
Vipi km KATOMPA asingefiwa na mzazi, nadhani Dulla angetoka ulingoni maiti. Yani alipigwa ngumi za huzuni sn lakini bado analalamika badala ya kumshukuru Mungu KATOMPA kufiwa na mzazi. Kwanza wangekuwa wao, jinsi navyowajua Wabongo kuokoteleza sababu angehairisha pambano.
Ha ha ha ha ha Yani Dulla kwa KATOMPA atake atapigwa, asitake atapigwa tu. Hana uwezo wa kumpiga yule Mkongo labda kwa dawa.Hapo Sasa katompa na stress za kufiwa na baba Bado katuchakazia mtu wetu!Kubali Dullah kuwa umepigwa kama umepiga.
Acha uongo kidunda alipigwa kichwa sio ngumi, unaandika uongo kwa faida gn ? Ww jamaa mjinga sana unaandika uongo bila hata hofu[emoji706]Nimewahi kuandika humu jf kuhusu mabondia wa Tanzania kubebwa , nikatoa mifano hai kabisa , lakini nikabezwa , yuko bondia mwingine alipigwa ngumi na Katompa akachanika , Pambano likavunjwa kwa madai ya uongo kwamba Katompa alipiga kichwa .
Siri hii na nyingine bwana Dulla anaijua , yawezekana ilipangwa mpango kama huu leo lakini akageukwa baada ya kuzidiwa mwanzo mwisho ( huwezi kubeba gunia la misumali )
Dulla akijua kachakazwa lakini bado akataka abebwe kama wanavyobebwa wenzake , hii ni aibu kwa familia ya ngumi .
Bado kidogo siri zote za uchafu wanaofanya zitafichuka zaidi .
Kwasabab alimpiga kichwa mbona ipo wazi nenda kaangalie.. tatizo ww utakua una chuki binafs na kidundaKwanini mechi ya kwanza iliahirishwa ?
Hajashuka ndo uwezo wake ,Ajawai kuwa bondia wa maana huyo dullah basi tuDulah mbabe wala sio bondia wa kumtafutia mapambano nje ya nchi anapigana sababu ya njaa tu lkn ameshuka sn kimedani ndio maana mara kwa mara anaomba pambano na anaishia kubondwa tu.
Dula ajikite kupiga ngoma za mchiriku au kama kuna mashamba kwao ajikite kwenye kilimo lkn ngumi zimeshamshinda....
Na akiendekeza njaa atakuja kufia uliongoni
Asijekusema hajaambiawa, shauri yake.
Katompa alimpiga kichwa Kidunda akamsababishia jeraha baya juu ya jicho ndio maana kuondoa utata Waka amua pambano livunjwe , Ilitakiwa Katompa ahesabike amecheza un sportsman faul na kupoteza mchezo ule dhidi ya Kidunda.Kwanini mechi ya kwanza iliahirishwa ?
Achana nae huyu hajui chochote kuhusu boxing chuki chuki zake ndio zimemleta hapa . Huyu mtu yuko happy Mtanzania mwezakeHakuna Bondia hapa Africa anayeweza kumpiga Kidunda.
Umeambiwa pambano la marudiano alipigwa bado unauliza sababu wakati sababu zilikuwa wazi
Ni sahihi. Hata wanavyoongea ni kama watoto wa P3 vile.Nawaza TU mfano angebebwa na akatangazwa mshindi vipi angefurahi na kuruka ruka[emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]!?
Anyway hii kada Yao inasumbuliwa na suala la elimu hata ya ku reason kawaida tu kuwa Nini uongee na Nini usiongee
Alafu akawa anajiliza huku kajilaza kwe ye kifua cha jamaa. Leo Azam walikuwa wanaonesha marudio hadi wife akaniuliza huyu ni nani yake mbona analia huku amelala na kubembelezwa kwenye kifua cha mwanaume mwenzake?Ibra nae sijui kawaje! mtu kachezea hivyo halafu anataka mbeleko.
Achana naye huyo anachojua ni kulamba viatu vya mbowe. Huyo ni bi Mdogo wa Mbowe anaitwa Joyce Mukya.Achana nae huyu hajui chochote kuhusu boxing chuki chuki zake ndio zimemleta hapa . Huyu mtu yuko happy Mtanzania mwezake
Kupigwa na anaogeza uongo ambao haufaham.