Malalamiko ya kuendelea mgao wa Umeme! Kumbe shida sio January Makamba?

Malalamiko ya kuendelea mgao wa Umeme! Kumbe shida sio January Makamba?

Umeme wa Tanzania hautoshi ni mdogo mno. Pia kwenye umeme mafisadi wameweka kambi kwa miaka mingi. Mikataba mingi iliyosainiwa ni ya kipigaji. Kina Makamba hata kama nao walipiga tayari walikuta watu washapiga sana na wanaendelea na upigaji. Cha muhimu ni bwawa la Nyerere kukamilika ili kupunguza ukubwa wa tatizo
 
Hakuna ataekwemdq kuishughulikiw tanesco asionekane "failure" kwa mfumo mbovu wa utawala uliopo.

Ushauri wangu likatwe katwe na kila mkoa wa Tanzania uwe na mashirika yake ya umeme.
Dada mkubwa najua keyboard imecheza, wazo lako linafikirisha sana. Ila udhaifu wake ni kuwa tutakuwa na very big very big unequal distribution ya power na hapo walanguzi wataumiza watu. Sema suluhu huwa ni kuruhusu private sector kuingiza umeme grid ya taifa then kila aliyeleta kwenye hilo kapu anapata hela yake kulingana na watu walivyotumia, so kama kampuni moja ikisema inakarabati mitambo basi ile nyingine ina lamba mpunga balaa. Sema sijui kwa nini nchi wasomi tupo ila serikali haiitishi mijadala ya kisomi. Ningekuwa Dkt Samia ningealika wasomi wa vyuo vikuu vikongwe kama Mzumbe au UDSM then nawapa mikakati na ninawaambia watafute solution
 
Kuharibu ni kazi rahisi kuliko kutengeneza!
 
Umeme wa Tanzania hautoshi ni mdogo mno. Pia kwenye umeme mafisadi wameweka kambi kwa miaka mingi. Mikataba mingi iliyosainiwa ni ya kipigaji. Kina Makamba hata kama nao walipiga tayari walikuta watu washapiga sana na wanaendelea na upigaji. Cha muhimu ni bwawa la Nyerere kukamilika ili kupunguza ukubwa wa tatizo
Wewe unamwona makamba kwenye ufisadi kuanzia alipo kuwa waziri wa nishati! ila hao ndiyo walio kuwa nyuma ya ufisadi toka kipindi cha jk
 
Wewe unamwona makamba kwenye ufisadi kuanzia alipo kuwa waziri wa nishati! ila hao ndiyo walio kuwa nyuma ya ufisadi toka kipindi cha jk
Ufisadi wa Tanesco umeanza tangu enzi za Mwinyi. Kuna watanzania wengi wametupiga mno.
 
Mara paaap!! Makamba Raisi wa Tanzania! [emoji15]
 
Hakuna ataekwemdq kuishughulikiw tanesco asionekane "failure" kwa mfumo mbovu wa utawala uliopo.

Ushauri wangu likatwe katwe na kila mkoa wa Tanzania uwe na mashirika yake ya umeme.
Wewe bibi acha kujisahaulisha ni juzi tu akiwa jpm umeme ulikua wa uhakika Tena Bei ikashuka mpaka elfu ishirini na Tano kuunganisha walivyoingia hao wezi unaowatetea wametufikisha hapa tulipo Leo Kwa mapambio yenu
 
Wewe kipofu kweli kweli. Huoni mgao umepungua. Huyo mdeki wako angekuwa keshatutia gizani.
 
Najua unamaanisha waislamu. Itoshe kusema wewe Lwiva ni mtu mpumbavu unayepaswa kupuuzwa na watanzania wote wasiopenda udini.
Mitume na manabii wote ni wadini ...udini siyo tatizo tatizo ni kukataa kweli na haki ...hata huu ukweli kuwa waisiharamu wanauwezo finyu kuongoza upo bayana kabisa hapa tz
 
Wewe bibi acha kujisahaulisha ni juzi tu akiwa jpm umeme ulikua wa uhakika Tena Bei ikashuka mpaka elfu ishirini na Tano kuunganisha walivyoingia hao wezi unaowatetea wametufikisha hapa tulipo Leo Kwa mapambio yenu
JPM ndiye kaharibu alikuta Kinyerezi l, ll, lll na lV zote zinafanya kazi.
 
Mitume na manabii wote ni wadini ...udini siyo tatizo tatizo ni kukataa kweli na haki ...hata huu ukweli kuwa waisiharamu wanauwezo finyu kuongoza upo bayana kabisa hapa tz
Kwanini usifiche upumbavu wako kwakutoandika mashudu mtandaoni?
 
Back
Top Bottom