Malalamiko ya kuendelea mgao wa Umeme! Kumbe shida sio January Makamba?

Malalamiko ya kuendelea mgao wa Umeme! Kumbe shida sio January Makamba?

Makamba na Maharage walikuwa waswahili tu wapiga dili. Wenye maneno mengi yasiyokuwa na tija.

Huyu kijana hana porojo za uswahili swahili. Atatuvusha, msikilize vizuri kwenye hii video clip fupi utaelewa alivyo tofauti na hao wapiga dili waliotufikisha hapa kuwa nchi ya mgawo wa umeme.


View: https://youtu.be/38_STolJjzE?si=bt-Ir0Pvi3pv8GWm
 
Tatizo unaloliona sasa limeletwa na kipara na bendi yake ya kutupiga.
 
Kwanini usifiche upumbavu wako kwakutoandika mashudu mtandaoni?
Sasa wewe unaye jisifia kuwa ni kijambio cha sa100 wewe ni mzima kichwani kweli [emoji16][emoji16] wewe endelea tu kugawa kwa mparange hapo sisiemu maana yake tunajua kazi zenu chamani
 
Kuna watu humu kipindi mgao umetamalaki kila siku kulikuwa na kelele dhidi ya January Makamba mara mpigaji mara anauza majenereta.

Kwenur kupanda bei ya mafuta pia maneno hayakupungua.

Tulio na siasa safi tusioangalia mtu tuliposema shida sio makamba wale jamaa zetu roho mbaya fc walituona kama tumelipwa kumtetea makamba

Sasa makamba katoka, mtu waliyesema wa makamba maharage chande katoka na hadi bodi imetoka ila shughuli ipo paleplale

Kikubwa zaidi home boy wa jamaa zangu ndo kapewa Wizara na cheo cha Naibu PM juu ila shida ziko palepale

Sasa wale ndugu zangu mliokuwa kila simu mnaanzisha nyuzi kuhusu January Makamba swali langu kwenu. Je bado mnasmini tatizo la umeme shida ni January au akili zimewakaa sawa?
Msikilize Dotto Mashine za umeme miaka miwili hazifanyiwa matengenezo miaka miwili iliyopita Waziri wa Nishati alikuwa nani?
 
Kuna watu humu kipindi mgao umetamalaki kila siku kulikuwa na kelele dhidi ya January Makamba mara mpigaji mara anauza majenereta.

Kwenur kupanda bei ya mafuta pia maneno hayakupungua.

Tulio na siasa safi tusioangalia mtu tuliposema shida sio makamba wale jamaa zetu roho mbaya fc walituona kama tumelipwa kumtetea makamba

Sasa makamba katoka, mtu waliyesema wa makamba maharage chande katoka na hadi bodi imetoka ila shughuli ipo paleplale

Kikubwa zaidi home boy wa jamaa zangu ndo kapewa Wizara na cheo cha Naibu PM juu ila shida ziko palepale

Sasa wale ndugu zangu mliokuwa kila simu mnaanzisha nyuzi kuhusu January Makamba swali langu kwenu. Je bado mnasmini tatizo la umeme shida ni January au akili zimewakaa sawa?
Nov 16, 2023
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe Dkt. Doto Biteko ameitaka TANESCO kutojificha kwenye kichaka cha taratibu za manunuzi ambacho kimepelekea mtambo mmoja wa umeme mkoani Mtwara kutofanya kazi kwa miaka miwili na kuongeza kuwa Serikali inaiangalia menejimenti ya TANESCO lakini kwa sasa ijitathmini na ijikite kwenye kupelekea watu umeme na wawe kimbilio la wananchi.Aidha, Dkt Biteko ameitaka TANESCO Makao Makuu kutojilundikia majukumu ikiwemo ya manunuzi ambayo yanarudisha nyuma shughuli za shirika na kuleta urasimu.
 
Back
Top Bottom