Uncle Araali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 950
- 1,262
Nimeamini siku hizi unazidi kuzeeka hadi akili. Rudi Kizimkazi ukalee wajukuu Bi KidudeZaidi ya awamu ya intenashino eyapoti chato?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeamini siku hizi unazidi kuzeeka hadi akili. Rudi Kizimkazi ukalee wajukuu Bi KidudeZaidi ya awamu ya intenashino eyapoti chato?
Tatizo gani?tatizo la umeme aliloliacha January haliwezi kutatulika kwa mwezi mmoja.
Sasa wewe unaye jisifia kuwa ni kijambio cha sa100 wewe ni mzima kichwani kweli [emoji16][emoji16] wewe endelea tu kugawa kwa mparange hapo sisiemu maana yake tunajua kazi zenu chamaniKwanini usifiche upumbavu wako kwakutoandika mashudu mtandaoni?
Msikilize Dotto Mashine za umeme miaka miwili hazifanyiwa matengenezo miaka miwili iliyopita Waziri wa Nishati alikuwa nani?Kuna watu humu kipindi mgao umetamalaki kila siku kulikuwa na kelele dhidi ya January Makamba mara mpigaji mara anauza majenereta.
Kwenur kupanda bei ya mafuta pia maneno hayakupungua.
Tulio na siasa safi tusioangalia mtu tuliposema shida sio makamba wale jamaa zetu roho mbaya fc walituona kama tumelipwa kumtetea makamba
Sasa makamba katoka, mtu waliyesema wa makamba maharage chande katoka na hadi bodi imetoka ila shughuli ipo paleplale
Kikubwa zaidi home boy wa jamaa zangu ndo kapewa Wizara na cheo cha Naibu PM juu ila shida ziko palepale
Sasa wale ndugu zangu mliokuwa kila simu mnaanzisha nyuzi kuhusu January Makamba swali langu kwenu. Je bado mnasmini tatizo la umeme shida ni January au akili zimewakaa sawa?
Nov 16, 2023Kuna watu humu kipindi mgao umetamalaki kila siku kulikuwa na kelele dhidi ya January Makamba mara mpigaji mara anauza majenereta.
Kwenur kupanda bei ya mafuta pia maneno hayakupungua.
Tulio na siasa safi tusioangalia mtu tuliposema shida sio makamba wale jamaa zetu roho mbaya fc walituona kama tumelipwa kumtetea makamba
Sasa makamba katoka, mtu waliyesema wa makamba maharage chande katoka na hadi bodi imetoka ila shughuli ipo paleplale
Kikubwa zaidi home boy wa jamaa zangu ndo kapewa Wizara na cheo cha Naibu PM juu ila shida ziko palepale
Sasa wale ndugu zangu mliokuwa kila simu mnaanzisha nyuzi kuhusu January Makamba swali langu kwenu. Je bado mnasmini tatizo la umeme shida ni January au akili zimewakaa sawa?
Mfafanulie vizuri huyo kiazi sidhani kama amekuelewaUmekurupuka tatizo la umeme aliloliacha January haliwezi kutatulika kwa mwezi mmoja. Labda kama aliyeingia ataleta umeme wa radi