beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Picha: Rais Samia akihojiwa na DW
Katika Mahojiano Maalum na DW, Rais Samia ameeleza, "Vyombo vikikiuka Sheria vinafungiwa, ndiyo maana Sheria ipo. Hakuna Nchi ambayo ina Vyombo vya Habari vinafanya vinavyotaka bila kufuata Sheria"
Amesema Serikali ipo tayari kupokea Mapendekezo kuhusu Marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016, ambapo baadhi ya vipengele vimekuwa vikilalamikiwa kuwa kandamizi