jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Bodi ya ligi ilipaswa kutulia na kuyajadili malalamiko ya Simba kwa mujibu wa kanuni.
Aidha ingethibitika kuna ukweli Yanga au mashabiki wake wamefanya ndivyo sivyo adhabu stahiki ingetolewa ikiwemo kupokwa points kama kanuni za adhabu zinataka hivyo.
Bodi ni lazima itoe tamko la kikanuni kuonesha kuwa Kuna sababu ya kikanuni iliyopelekea mechi kuhairishwa.
Yanga ilivyoenda Congo kuikabili Mazembe ilifanyiwa figisu sana ila wanaume hawa waliingiza timu na wakapata matokeo.
Aidha ingethibitika kuna ukweli Yanga au mashabiki wake wamefanya ndivyo sivyo adhabu stahiki ingetolewa ikiwemo kupokwa points kama kanuni za adhabu zinataka hivyo.
Bodi ni lazima itoe tamko la kikanuni kuonesha kuwa Kuna sababu ya kikanuni iliyopelekea mechi kuhairishwa.
Yanga ilivyoenda Congo kuikabili Mazembe ilifanyiwa figisu sana ila wanaume hawa waliingiza timu na wakapata matokeo.