Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Haichekeshi.Chadema wataanza kulalamika kwamba hotuba ya Lissu imeharibiwa na Simba na Yanga, haita-trend
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haichekeshi.Chadema wataanza kulalamika kwamba hotuba ya Lissu imeharibiwa na Simba na Yanga, haita-trend
mkuu umenufaika na kadi nyekundu mbona hakuna keleleHivi malalamiko baada ya kupoteza mechi kufuatia kukosa proper fitness iliyosababishwa na wapinzani, unadhani consequences yoyote kwenye hayo malalamiko yatampa faida Simba kwenye race ya Ubingwa?
Shangaa sasa!Mechi 4 mfululizo mlizokua na iyo poper fitness mbona mlikandwa? proper fitness lazima ufanyie mazoezi kwa mkapa? Sema tu simba mna inferiority complex mbele ya yanga.
Mabaunsa wa Yanga ndio maafisa wa uwanja?Uwanja una management yake na hao ndio wahusika.
Hata hivyo, msafara una vibabu, mmebeba bundi na mzoga wa kichwa cha mbuzi. Mazoezi gani hayo mlikua mnaenda kufanya?
Kajifunze sheria inasemaje kuhusu swala la muda.Mnaenda usoiku ili mkawange...
Hovyo kabisaaa....
Kwanza una uhakika wale ni Yanga!?
Hovyo kabisaaa
Katika management structure ya yanga hakuna department yoyote inayoitambua cheo cha baunsa wa yangaMabaunsa wa Yanga ndio maafisa wa uwanja?
Lakini kwenye logo wapoKatika management structure ya yanga hakuna department yoyote inayoitambua cheo cha baunsa wa yanga
Mkuu una gubu...Waliotia aibu ni waanzilishi wa tatizo.
Usiangalie wapi umeangukia, angalia wapi ulipo jikwaa.
Hujui taratibu za kimpira kuhusu muda wa kufanya mazoezi unazingatia kitu gani ndio maana unaona kama kuna shida.Mkuu una gubu...
Mtu akiamua kukutafutia kasoro atakupata tu.
Mmelitafuta tatizo mmelipata. Furahini basi.
Nauliza tena... Mlienda usiku ili mgundue nini!?
GUBU...
Ulitaka wacheze bila mazoeziBodi ya ligi ilipaswa kutulia na kuyajadili malalamiko ya Simba kwa mujibu wa kanuni.
Aidha ingethibitika kuna ukweli Yanga au mashabiki wake wamefanya ndivyo sivyo adhabu stahiki ingetolewa ikiwemo kupokwa points kama kanuni za adhabu zinataka hivyo.
Bodi ni lazima itoe tamko la kikanuni kuonesha kuwa Kuna sababu ya kikanuni iliyopelekea mechi kuhairishwa.
Yanga ilivyoenda Congo kuikabili Mazembe ilifanyiwa figisu sana ila wanaume hawa waliingiza timu na wakapata matokeo.
Fujo za DRC zilifanyika baada ya mechi kumalizika ni tofauti na huu ujinga uliofanyika siku moja kabla ya mechi.Bodi ya ligi ilipaswa kutulia na kuyajadili malalamiko ya Simba kwa mujibu wa kanuni.
Aidha ingethibitika kuna ukweli Yanga au mashabiki wake wamefanya ndivyo sivyo adhabu stahiki ingetolewa ikiwemo kupokwa points kama kanuni za adhabu zinataka hivyo.
Bodi ni lazima itoe tamko la kikanuni kuonesha kuwa Kuna sababu ya kikanuni iliyopelekea mechi kuhairishwa.
Yanga ilivyoenda Congo kuikabili Mazembe ilifanyiwa figisu sana ila wanaume hawa waliingiza timu na wakapata matokeo.
Kinachotafutwa ni uhalali wa huo ushindi wa mfululizo.Mechi 4 mfululizo mlizokua na iyo poper fitness mbona mlikandwa? proper fitness lazima ufanyie mazoezi kwa mkapa? Sema tu simba mna inferiority complex mbele ya yanga.
Msafara una coaster imejaza wazee halafu mnasema mnaenda kufanya mazoezi, acheni habari zenuLakini kwenye logo wapo
View attachment 3263828
Hiyo coaster uliiona peke yako?Msafara una coaster imejaza wazee halafu mnasema mnaenda kufanya mazoezi, acheni habari zenu
Proper fitness!? Training ya mwisho huwani kwa ajili ya proper fitness au kuuzoea uwanja?Hivi malalamiko baada ya kupoteza mechi kufuatia kukosa proper fitness iliyosababishwa na wapinzani, unadhani consequences yoyote kwenye hayo malalamiko yatampa faida Simba kwenye race ya Ubingwa?