Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabaunsa wa Yanga ndio maafisa wa uwanja?
Pitch feeling inaenda sambamba na fitnessProper fitness!? Training ya mwisho huwani kwa ajili ya proper fitness au kuuzoea uwanja?
Siku ya mwisho hakuna timu inafanya mazoezi magumu, NEVER!"Pitch feeling inaenda sambamba na fitness
Labda cku ya kikeChadema wataanza kulalamika kwamba hotuba ya Lissu imeharibiwa na Simba na Yanga, haita-trend
Mbona sijaona hiyo coaster ambayo mnaizungumzia?
Yanga hao hao wanaringia uhusiano wao na serikali kiasi cha kuwa sawa na malimbukeni wa mpira.Wewe hufuatilii mpira bila shaka.
Wanaume wako (Yanga) waliwahi kugomea mechi ya derby dhidi ya Simba kisa muda umebadilishwa na bodi kinyume na kanuni.(Yaliongezwa "masaa" tu wala siyo hata siku)
Simba ilikubali kucheza dhidi ya Pamba Jiji juzi tu hapa pamoja na vurugu walizofanyiwa kwa maelekezo ya RC mwanayanga wakati wa mazoezi ya mwisho pale CCM Kirumba.
Umeliona BM?Mbona sijaona hiyo coaster ambayo mnaizungumzia?
Sheria haisemi upige simu kutoa taarifa.View attachment 3263914
Tatizo unafuatilia habari za vijiweni
Kanuni zinasema timu ngeni itafanya mazoezi ya mwisho.Siku ya mwisho hakuna timu inafanya mazoezi magumu, NEVER!"
Ndio Coaster?Umeliona BM?
Hiyo coaster uliiona peke yako?
Ila inafanya mepesi sio..Siku ya mwisho hakuna timu inafanya mazoezi magumu, NEVER!"
Sasa ulitegemea kuona nini kwenye timu ambayo mli share hadi kambi ya pre season?
Taratibu zinalazimisha timu kutoa taarifa kwa wasimamizi wa uwanja ili taratibu zifanyike. Sio kujikurupukia tu kwenda uwanjani.Sheria haisemi upige simu kutoa taarifa.
Simba wangekuja asubuhi kweli wakihitaji kupiga simu kwasababu wapo nje ya taratibu.
Sheria inataja wazi kuwa muda tajwa hapo ni muda ambao uwanja unakuwa kwenye umiliki wa timu ngeni kwa ajili ya kufanya mazoezi.
Maana yake nyinyi mlipaswa kufanya mambo yenu katika uke muda ambao ni halali kwenu halafu baada ya hapo msepe waje Simba kutimiza wajibu wao kisheria.
Kwa hiyo umejifichia kwenye coaster? Jibu swali, umeliona BM?Ndio Coaster?