Hajawauma Simba wamefurahi..... Waajua waikua wanakufa nyingi...Hii kitu imewauma sana Simba, vipigo vinne mfululizo halafu derby waliyokuwa wanategemea watoe hata sare imeahirishwa, mtu kalipia tiketi halafu mechi imeahirishwa.
----A BINGWA TENA
Umemsahau na Che Malone Fondo! Wakatengeneza mchongo wao, ulipotiki tu wakatoa tamko la kususia mechi. Ujinga wa hali ya juu sana huu.Hajawauma Simba wamefurahi..... Waajua waikua wanakufa nyingi...
Camara Mgojwa, Arteba majeruhi.....! Wakaona Bora waweke Mpira kwapani.
jingalaoBodi ya ligi ilipaswa kutulia na kuyajadili malalamiko ya Simba kwa mujibu wa kanuni.
Aidha ingethibitika kuna ukweli Yanga au mashabiki wake wamefanya ndivyo sivyo adhabu stahiki ingetolewa ikiwemo kupokwa points kama kanuni za adhabu zinataka hivyo.
Bodi ni lazima itoe tamko la kikanuni kuonesha kuwa Kuna sababu ya kikanuni iliyopelekea mechi kuhairishwa.
Yanga ilivyoenda Congo kuikabili Mazembe ilifanyiwa figisu sana ila wanaume hawa waliingiza timu na wakapata matokeo.
Chutama Mkuu... Mmetia aibu mnooHivi malalamiko baada ya kupoteza mechi kufuatia kukosa proper fitness iliyosababishwa na wapinzani, unadhani consequences yoyote kwenye hayo malalamiko yatampa faida Simba kwenye race ya Ubingwa?
Mechi 4 mfululizo mlizokua na iyo poper fitness mbona mlikandwa? proper fitness lazima ufanyie mazoezi kwa mkapa? Sema tu simba mna inferiority complex mbele ya yanga.Hivi malalamiko baada ya kupoteza mechi kufuatia kukosa proper fitness iliyosababishwa na wapinzani, unadhani consequences yoyote kwenye hayo malalamiko yatampa faida Simba kwenye race ya Ubingwa?
Sawa naona kuahirishwa mechi ya leo mmefuzu kwenda robo fainaliHajawauma Simba wamefurahi..... Waajua waikua wanakufa nyingi...
Camara Mgojwa, Arteba majeruhi.....! Wakaona Bora waweke Mpira kwapani.
Waliotia aibu ni waanzilishi wa tatizo.Chutama Mkuu... Mmetia aibu mnoo
Hawakuruhusiwa kufanya mazoezi huko Congo?!Bodi ya ligi ilipaswa kutulia na kuyajadili malalamiko ya Simba kwa mujibu wa kanuni.
Aidha ingethibitika kuna ukweli Yanga au mashabiki wake wamefanya ndivyo sivyo adhabu stahiki ingetolewa ikiwemo kupokwa points kama kanuni za adhabu zinataka hivyo.
Bodi ni lazima itoe tamko la kikanuni kuonesha kuwa Kuna sababu ya kikanuni iliyopelekea mechi kuhairishwa.
Yanga ilivyoenda Congo kuikabili Mazembe ilifanyiwa figisu sana ila wanaume hawa waliingiza timu na wakapata matokeo.
Na kwasababu hizo hizo kwanini Yanga wazuie Simba wasifanye mazoezi wakati wao ni giants na Simba ni underdog kwasababu mechi nne zote wameshinda?Mechi 4 mfululizo mlizokua na iyo poper fitness mbona mlikandwa? proper fitness lazima ufanyie mazoezi kwa mkapa? Sema tu simba mna inferiority complex mbele ya yanga.
Wewe ni mpumbavu kama ulichoandika hapa?Chadema wataanza kulalamika kwamba hotuba ya Lissu imeharibiwa na Simba na Yanga, haita-trend
Mnaenda usoiku ili mkawange...Na kwasababu hizo hizo kwanini Yanga wazuie Simba wasifanye mazoezi wakati wao ni giants na Simba ni underdog kwasababu mechi nne zote wameshinda?
Uwanja una management yake na hao ndio wahusika.Na kwasababu hizo hizo kwanini Yanga wazuie Simba wasifanye mazoezi wakati wao ni giants na Simba ni underdog kwasababu mechi nne zote wameshinda?
Hakika..Kilichotokea ndio yaleyake tunayoyapigia kelele kila siku "INCOMPETENCE".
Kilichotokea kwenye mechi ya SIMBA Vs YANGA hakina tofauti na tabia za kiutendaji za kila siku kwenye mifumo ya Serikali.
Walioanzisha tatizo la kuvunja kanuni wenyewe wapo sawa?Mechi 4 mfululizo mlizokua na iyo poper fitness mbona mlikandwa? proper fitness lazima ufanyie mazoezi kwa mkapa? Sema tu simba mna inferiority complex mbele ya yanga.