Ndio, inaweza kufanya ama isifanye. Hakuna rekodi ni timu hizi kufanya mazoezi ya mwisho taifa. Lakini pia hata kama wamezuiwa (na msimamizi wa uwanja) kanuni zinasema WASUSIE ama MCHEZO UAHIRISHWE?Ila inafanya mepesi sio..
walikuwa na lengo tofauti likafeli. Mengine ni kupotezeana muda tuKwani Simba haijui uwanja wa Mlapa??
Niwekee nione hizo taratibuTaratibu zinalazimisha timu kutoa taarifa kwa wasimamizi wa uwanja ili taratibu zifanyike. Sio kujikurupukia tu kwenda uwanjani.
Lakini pia, uwanja wa mpira sio kilinge cha wachawi. Timu inaingia na mabasi mawili ya nini?
Halafu kuna KANUNI zinazoongoza ligi. Iwapo timu mwenyeji itazuia mazoezi ya timu nyingine kanuni zinasemaje? Unadhani ni sahihi Simba kugomea mchezo kwa sababu za kitoto namna hiyo?
Nimeliona na sio mara ya kwanza, naliionga sana hapo likiwa limepaki na sio hilo tu kuna magari mengi yanapaki hapo.Kwa hiyo umejifichia kwenye coaster? Jibu swali, umeliona BM?
Waoga ni wale waliotuma mabaunsa kuzuia mazoezi ya timu isiyoogopesha,kwa nini uzuie mazoezi ambayo yapo kwa mujibu wa kanuni?Shangaa sasa!
Yani wiki nzima haijawatosha kupata fitness ila wanaamini masaa yasiyozidi sita yatawapa fitness ya kuifunga Yanga!
Simba wakubali tu wameiogopa Yanga.
Nyingine ni visababu visivyokuwa na kichwa wala miguu.
Soma taarifa ya bodi ya ligi itakusaidia sanaNiwekee nione hizo taratibu
Pole sana.Nimeliona na sio mara ya kwanza, naliionga sana hapo likiwa limepaki na sio hilo tu kuna magari mengi yanapaki hapo.