Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Hueleweki kama unalia au unalalamikaRudi jikoni ujiongeze.. umepwaya na haujawahi kuwa hivyo kivileeee.. π€£π€£π€£
Hii kali.. HONGERA SANA kwa kulitambua hili sasa.. too late.. nawe una kakosea usisingizie viongozi tu. π π π π π
Nimekumbuka picha ulipiga ukiwa Dar siku moja.. za kiupaparazi pale mnahangaika na viongozi wenu.. wa matumbo yao hadi Leo.. mlipotambua mmepwaya tangu enzi zileee.. miaka imeenda sasa..
Mungu akikubariki huna sababu ya kujifichaPunguza kujimwambafai basi. Tuachie sisi tukusifie, siyo wewe mwenyewe kujisifia.
Huyu kibwengo waliomchagua ni wapumbavu kibaya kuliko hata shetani pumbavu zakeMimi ni miongoni mwa watu wenye ushawishi Duniani, ambaye nilipambana kutaka Spika wa Bunge la Tanzania ashindwe IPU , kwa bahati mbaya Tulia alipata Wapinzani dhaifu sana , Wakati ujao tutajitahidi kuweka wapinzani imara (tumejua makosa yetu).
Sababu za Mimi kupambana ili Tulia ashindwe zinafahamika na kila mmoja akiwemo Tulia mwenyewe.
Najivunia Ujasiri wangu huu.
View attachment 2798412
Watanzania hatupendani, ni wanafiki tu.Huu mgawanyiko wa Watanzania usipoangaliwa unaweza kutuingiza kwenye Vita vya sisi kwa sisi.
Sisi Wananchi tuandai KATIBA MPYA wao CCM hawataki.Watanzania hatupendani, ni wanafiki tu.
Katiba sio mwarobaini wa kila tatizo la Tanzania, haiwezi kuondoa ufisadi ambao umekwamisha kusonga mbele kwa mambo mengi.Sisi Wananchi tuandai KATIBA MPYA wao CCM hawataki.
Sisi tunasema hii KATIBA ni ya MFUMO wa CHAMA KIMOJA wao wanatuhadaa kwa mambo ya kilaghai na kupoteza muda
Ni kweli, ushindi wa asilimia 57.Kama mwenyewe amekiri kuponea tundu la sindano wewe unabisha nini?
Mimi ni miongoni mwa watu wenye ushawishi Duniani, ambaye nilipambana kutaka Spika wa Bunge la Tanzania ashindwe IPU , kwa bahati mbaya Tulia alipata Wapinzani dhaifu sana , Wakati ujao tutajitahidi kuweka wapinzani imara (tumejua makosa yetu).
Sababu za Mimi kupambana ili Tulia ashindwe zinafahamika na kila mmoja akiwemo Tulia mwenyewe.
Najivunia Ujasiri wangu huu.
View attachment 2798412
CCM ya sasa si ya kupambania nchi bali maslahi binafsi tena bila uficho.Hapana.
Hiyo vita kamwe haiwezi kuwa "sisi kwa sisi." Itakuwa ni vita kati ya wanaoipenda nchi yao Tanzania, na maadui wakubwa wa nch hiyo.
CCM wamejipambanua wazi wazi kuwa ni maadaui wa nchi hii.
Kama watanzania hawakutaki basi ujue hata uwakilishi wako ni batili asilimia 500.Mimi ni miongoni mwa watu wenye ushawishi Duniani, ambaye nilipambana kutaka Spika wa Bunge la Tanzania ashindwe IPU , kwa bahati mbaya Tulia alipata Wapinzani dhaifu sana , Wakati ujao tutajitahidi kuweka wapinzani imara (tumejua makosa yetu).
Sababu za Mimi kupambana ili Tulia ashindwe zinafahamika na kila mmoja akiwemo Tulia mwenyewe.
Najivunia Ujasiri wangu huu.
View attachment 2798412
Huyu ni spika mjinga kabisa kuwahi kutoka nchi hii.Spika wa kishamba sana kutoka Unyakyusani.An empty set spika, a pumpkin spika.Mimi ni miongoni mwa watu wenye ushawishi Duniani, ambaye nilipambana kutaka Spika wa Bunge la Tanzania ashindwe IPU , kwa bahati mbaya Tulia alipata Wapinzani dhaifu sana , Wakati ujao tutajitahidi kuweka wapinzani imara (tumejua makosa yetu).
Sababu za Mimi kupambana ili Tulia ashindwe zinafahamika na kila mmoja akiwemo Tulia mwenyewe.
Najivunia Ujasiri wangu huu.
View attachment 2798412
Kwenye orodha hiyo Mimi sikosi. Hana la maana baada ya kukubali kuwa dekio la Ikulu.Mimi ni miongoni mwa watu wenye ushawishi Duniani, ambaye nilipambana kutaka Spika wa Bunge la Tanzania ashindwe IPU , kwa bahati mbaya Tulia alipata Wapinzani dhaifu sana , Wakati ujao tutajitahidi kuweka wapinzani imara (tumejua makosa yetu).
Sababu za Mimi kupambana ili Tulia ashindwe zinafahamika na kila mmoja akiwemo Tulia mwenyewe.
Najivunia Ujasiri wangu huu.
View attachment 2798412
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa huyu Bi. Cheusi naye kiongozi?
AmenKwenye orodha hiyo Mimi sikosi. Hana la maana baada ya kukubali kuwa dekio la Ikulu.
Tlaatlaah, kama yeye mwenyewe bi mkora amekiri kuwa hakukubalika na Watanzania walio wengi kwenye kinyang'anyiro kimataifa, unadhani hizi ni dalili nzuri kwake kisiasa?sasa kwa Tundu Lisu si atapita tu bila tashwishwi yeyote mbele ya maombi yako ya kinabii, kama kwenye Tundu la sindano kapenya
Haukuwa uchaguzi wa Chadema na CCM, huyu mtu uongozi wake kama spika unawakera wengi wakiwemo viongozi wa CCM yenyewe. Rejea kauli ya Kinana, "Bunge limeacha jukumu lake la msingi la kuisimamia na kuishauri serikali badala yake linapitisha vitu vya hovyo".Si kweli Chadema hawezi kumpambania CCM haijawahi tokea[emoji16]
Akijibu nistueTlaatlaah, kama yeye mwenyewe bi mkora amekiri kuwa hakukubalika na Watanzania walio wengi kwenye kinyang'anyiro kimataifa, unadhani hizi ni dalili nzuri kwake kisiasa?